lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,383
- 25,492
Hivi mlikuwa wapi? mliwekwa mahabusu na sasa mmepata dhamana eh!!
Hivi mlikuwa wapi? mliwekwa mahabusu na sasa mmepata dhamana eh!!
Unaukubwa gani kenge wewe, na ukubwa wako umefanya kitu gani cha maana kumzidi huyo unayemsema kuwa ni mdogo, London siku zote ni bluu tuMdogo ni mdogo tu kwa braza wake haijalishi katoboa maisha au ana elimu kubwa
Arsenal is a brother, timu ya 2002 mtupigie makelele sisi!!!!
Pumbavuuuuuuuuuu........


njoo mniuwe niko home.Meza mate, kunywa maji kiasi alafu tulia.....We jamaa ni mpuuzi sana,ndio mana nakuonaga huna akili vizuri. Sasa huyo Nketiah ana talent gani? kw kufunga magoli kw makosa ya mabeki kugongana gongana ndio afunge. Na angepiga pasi kama ile ya modric au ile y Mane. Ungesemaje.
Arsenal wametufunga sababu ya ubwege wa Tuchel. Yule kocha sometym ni mduanzi sana. na masikio yake kama amepulizwa na upepo.
Tulia weweHivi mlikuwa wapi? mliwekwa mahabusu na sasa mmepata dhamana eh!!
Naona leo angalau mmepata haueni ya kufanya shereheThom akaona beki iko hovyo akamuingiza Silva ili kukomelea ulinzi.
Arteta akafanya nini? Akawawekea wimbo wa Kanyaga wa Diamond, katika dakika 15 za mapumziko 10 zimetumika kusikiliza huo wimbo.
Mwamba kwenye Hili nakuunga mkonoWe jamaa ni mpuuzi sana,ndio mana nakuonaga huna akili vizuri. Sasa huyo Nketiah ana talent gani? kw kufunga magoli kw makosa ya mabeki kugongana gongana ndio afunge. Na angepiga pasi kama ile ya modric au ile y Mane. Ungesemaje.
Arsenal wametufunga sababu ya ubwege wa Tuchel. Yule kocha sometym ni mduanzi sana. na masikio yake kama amepulizwa na upepo.
Binafsi natamani katika mechi tatu tulizopoteza tungeshinda mbili, tusuluhu moja kisha hii na nyinyi tungefungwa wala nisingelalamika.Naona leo angalau mmepata haueni ya kufanya sherehe
Kikosi Cha wahuniHapa hakuna team

Eeeh komaa na theory kwa sababu in theory hata ubingwa mnaweza kumvua Man City.In theory ni kwamba Arsenal na Spurs wana nafasi ya kuifikia nafasi ya tatu.
Zimebaki mechi ngapi?Eeeh komaa na theory kwa sababu in theory hata ubingwa mnaweza kumvua Man City.
Practical baba, Practical
Practical ndio kama ile ya jana pale daraja la mabuaEeeh komaa na theory kwa sababu in theory hata ubingwa mnaweza kumvua Man City.
Practical baba, Practical
Hawa wajinga wakifungwa 5 na West Brom hawana tatizo.
Wakifungwa nne na Brentford hawana tatizo.
Wakifungwa na Arsenal kikosi ndiyo kinaonekana hakifai, Tuchel out, Lukaku hafai agawiwe bure.
Na yule jamaa atakuja na uchang'ombe wake akielezea utumbo mpya.

