Goli la 3 na la 4 yote ni uzembe wake.Penalt ya kijinga sana hii, azplicueta mjinga sana,
Magoal yote leo tuliyofungwa ni ya kijinga sana ukitoa
Pale hakuna kocha pale hana mbinu za kufundisha simuoni msimu ujao maaana ni kocha mjinga kabisa hajui kuchagua kikosi hovyo kabisa malng sarr' Christian Lukaku azplicueta naona kma timu ya Chelsea imeoza hata mendy nae hanisi anahitaji ssa kukaaaa benchTuchel kazingua sana leo na hiki kikosi
Hakuna mwalimu hapo mkuuiMjinga sana yani mechi serious analeta upuuzi wa namna hii nimechukia sana
Tumetoka kushindwa mechi mbili mfululiza pale darajani, Arsenal hawataweza kutufanya kichwa cha mwendawazimu
Kuwafung ni lazima hakuna namna nyingine
- Uwezo tunao
- Sababu tunayo
- Nia tunayo
- Imebaki kazi moja tu
- Ni kumpiga huyo nduli
Hua nasema Arsenal vibonde vyetu vinajulikana.
Jana mwalimu wa gegen press kabakwa nne leo mwanafunzi wake kabakwa nne pia.
Braza Lembua hichi kikosi imekuaje hakijaua?KIKOSI CHA MAUAJI LEO
343
WERNER --LUKAKU--MOUNT
ALONSO--CHEEK--KANTE--JAMES
SARR---CHRISTANSEN--AZPILICUETA
MENDY
Kweli kabisa sijui alikuwa anawaza nn kutupangia takataka zilePale hakuna kocha pale hana mbinu za kufundisha simuoni msimu ujao maaana ni kocha mjinga kabisa hajui kuchagua kikosi hovyo kabisa malng sarr' Christian Lukaku azplicueta naona kma timu ya Chelsea imeoza hata mendy nae hanisi anahitaji ssa kukaaaa bench
Labda itokee team yetu wameingia wakiwa wamepiga mbususu zakutosha na ulanzi lakini tofauti na hapo hakuna namna Unaweza kusema Arsenal anapata matokeo dhidi ya Chelsea
Unasema Arsenal amfunge Chelseafc? au sijakuelewa vizuri,ebu kuwa seriously unaona nikitukinachowezekana!.
Ingawa sitegemei Hilo lakini mpira hauna adabu unaweza kufungwa pale usipotegemea! Hivi Arsenal itokezee Akubahatishe akupige je leo utajisikiaje kina WillJr na Castr watakapojazana hapa?