Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Sioni tukifanya sajil za kufika 300M

Hapa tufanye sajil za makini tu, tusikomalie wc player, tuwe tunaangalia na wachezaj wanaondan na style ya tuchel, wachezaj wako wengi tu wamaana

Sajil za hela nyingi kwetu zimekuwa zikiishia kuwa flop,
Tutafanye usajil kwa umakin na sikwamihemko

Hao wakina bakayot,barkley,kennedy etc hawa wote ni wakuuza

Tunaonekana tunakikosi kikubwa ila kimejaa takataka na si quality
Tukifanikiwa kuuza kwa nini isiwezekane
Unless kama Chelsea wakiamua kuwang'ang'ania hizo takataka
 
Unachanganya mambo
Kama CEO sio share holder basi atakuwa purely ni mwajiriwa na akiboronga anatimuliwa kweupe
Ila hata CEO atakuwa sio share holder atakuwa anaendehswa kwa remote na mmiliki hii haikwepeki kwa sababu ya kulinda maslahi ya mwekezaji
Mfano Marina aliaminiwa na kupewa majukumu makubwa ndani ya Chelsea lakini bado Abramovich alikuwa akiingiza miguu yake humo
Mbona umeongea kama hicho kitu ni kigeni wakati ni kitu kipo kinafanya kazi kwenye makampuni mengi tu.

Kutenganisha management na Ownership wala si kitu cha ajabu....

Na kampuni nyingi ndo zinaendeshwa hivyo ili kusiwe na conflict of interest [Kama yale ya Roman kumleta Torres].

Wenzetu wanaacha professionalism ifanye kazi.

Af huwezi kuta timu inatimua CEO, burden zote huwa anazibeba kocha.
 
Mbona umeongea kama hicho kitu ni kigeni wakati ni kitu kipo kinafanya kazi kwenye makampuni mengi tu.

Kutenganisha management na Ownership wala si kitu cha ajabu....

Na kampuni nyingi ndo zinaendeshwa hivyo ili kusiwe na conflict of interest [Kama yale ya Roman kumleta Torres].

Wenzetu wanaacha professionalism ifanye kazi.

Af huwezi kuta timu inatimua CEO, burden zote huwa anazibeba kocha.
CEO anateuliwa na AGM kama CEO atakuwa ni tofauti na mmiliki, mkutano mkuu wa share holders na kura huwa inabeba weight ya hisa alizonazo huyo mpiga kura. Mengine utajua mwenyeqe
Hata inapofika wakati wa kumsimamisha kazi utaratibu ni huo huo wa kupiga kura kwenye AGM
Kama huyo CEO atakuwa ndie mwenyekiti wa bodi ila kama CEO ni ordinary employee basi bodi ndie inamuajiri. Ila kutokana na mifumo ya hizi biashata kubwa CEO anateuliwa na AGM na ndie huyo huyo anasimamia bodi
Hili la Boehly kuwa CEO wakati yeye ni shareholder tayari ni big COI na kwa maneno yako asingefaa kabisa kuwa CEO
 
Kesho tunakiPiga na CP ila Hawa liverkuku aise wanatisha, kama tukipita kesho naamini sisi tutakuwa underdog kwao, kama tukibeba FA mbele Yao basi nasema itakuwa ni bahati TU.
#CFC💙💙💙
 
Tubadlke asee tumepoteza final ya carabao tukajivunia tumepambana

Jana hivyo tumejivunia tumepambana

Hata Arsenal aliendekeza hizi kaulii sasa hv huyo hapo anajitafuta karibu misimu mi4 hachez uefa

Tunataka FA cup msimu huu tumepoteza mara mbili mfululizo
Situation aliyonayo Chelsea nje ya uwanja unaifahamu lakin
 
TT nae pia muda mwingine anaujinga wake flani hivi. Unamtoa Wener ambae alikua moto unamuingiza yule mmarekan anaekata viuno tu uwanjani.
Halafu watu wanasema tumetoka kiume, ni ujinga. Ukweli ni tumetoka kifala. Timu y kiboya sana hii. Mchezaji mmoja anafunga magoli matatu yanayofanana si ufala huo.
Hamia kwingine
 
Kwa hiyo huyo ederson na bekker hawafungiki,acheni uchambuzi uchwara
Hizo rersponse zako ndizo za uchwara
kwa taarifa yako tu hadi sasa EPL tu Alisson na Ederson wana cleansheet 17 wanaofuata Hugo na Mendy 12, sasa uchambuzi wa nani ndio uchwara kijana usifikiri kabla hujaongea
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom