Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Unaweza kutoa mfano?
Man city vs Chelsea. % kubwa alitabiriwa Man city ndo atachukua kombe,Mategemeo yakageuka.CHELSEA AKACHUKUA.

Psg vs Bayern.% kubwa alitabiriwa Psg ndo atachukua kombe, Mategemeo yakageuka.BAYERN AKACHUKUA.

Liverpool vs R.Madrid.% kubwa alitabiriwa Liverpool ndiye atakae chukua kombe,Mategemeo yakageuka.R.MADRID AKANYANYUA

Chelsea vs Bayern munchen.% kubwa alitabiriwa Bayern ndiye atakae chukua kombe, Mategemeo yakageuka.CHELSEA AKANYANYUA

Hata Spurs alitabiriwa kuwa atachukua mbele ya Liverpool kipindi kile Spurs ni ya moto na alitawala mechi lakini Liverpool Kwa goli la dk ya mwisho la bobby, Liverpool akabeba

Hata kipindi kile Intermilan chini ya Mourinho anabeba,Hakufikiriwa kabisa kama atabeba lakini Milito aka sema hapana ,Mourinho akanyanyua kikombe.

Na fainal nyingine nyingii tuu...
 
Chelsea want to sign Darwin Gabriel Núñez Ribeiro
Full Name: Darwin Gabriel Núñez Ribeiro
Country: Uruguay
Current team: Benfica
Age: 22
Position - Striker
Goals scored so far in 2022 season all comps: 33
 
Steve Pagliuca: "Chelsea is a world-class team, in a world-class city, with world-class fans: it deserves a world-class stadium."
 
Chelsea want to sign Darwin Gabriel Núñez Ribeiro
Full Name: Darwin Gabriel Núñez Ribeiro
Country: Uruguay
Current team: Benfica
Age: 22
Position - Striker
Goals scored so far in 2022 season all comps: 33
Dogo anafaa kwa style yetu ya uchezaj ila sion tukimsajil, sioni tukitoa 60-70M
 
Nadhani sources za habari yako sio realistic au umeelewa vibaya, I belief main reasons iko kwenye masharti waliopewa kutokana na second round bids, masharti mojawapo nilisema mwanzoni wataconsider kipima joto ya mashabiki. Success ya timu ya mpira iko kwa mashabiki. mashabiki wasiporidhika na timu yao wataadhiri hadi mapato. Hii reason hawawezi kuweka wazi kwa sababu ina maslahi ya kibiashara. Ricket Family wameshindwa kukubaliana submission ya bid yao although reasons are hiden but mainly ni aibu ya kukataliwa kwa sababu ya hiyo kipengele cha mashabiki - still guassing but muda unavyokwenda utaniprove wrong

Statement yao waliotoa ni hii hapa, maelezo mengine zaidi ya hii ni interpretation tu:
“In the process of finalising the proposal, it became increasingly clear that certain issues could not be addressed given the unusual dynamics around the sales process.
Huyu ni mmoja wapo ya walioreport, reason kubwa ni kwenye share split
Screenshot_20220416-072515_Twitter.jpg
 
Chelsea want to sign Darwin Gabriel Núñez Ribeiro
Full Name: Darwin Gabriel Núñez Ribeiro
Country: Uruguay
Current team: Benfica
Age: 22
Position - Striker
Goals scored so far in 2022 season all comps: 33
.bila umakini WA kutosha itapotea pesa nyingine km Kwa Lukaku na kuishia kuwa laughing stock....Bora tuimarishe maeneo mengine Kwanza kama mrithi WA Kante, back up za James n chilwell,na central defenders...pmj na hata winger mmoja .. striker tumrudishe hata broja km mambo yakiwa magumu kumpata striker WA maana...na tuuze au kutoa Kwa mkopo fringe players
 
.bila umakini WA kutosha itapotea pesa nyingine km Kwa Lukaku na kuishia kuwa laughing stock....Bora tuimarishe maeneo mengine Kwanza kama mrithi WA Kante, back up za James n chilwell,na central defenders...pmj na hata winger mmoja .. striker tumrudishe hata broja km mambo yakiwa magumu kumpata striker WA maana...na tuuze au kutoa Kwa mkopo fringe players
Uza wafuatao
  1. Jorginho uza hata mil 30
  2. Pulisic uza hata mil 50
  3. Christensen - asepe bure
  4. Lukaku uza hata mil 70
  5. Saul arudi kwake
  6. Azpilicueta asepe bure
  7. Kepa uza hata mil 40
  8. Emerson auzwe mil 15
  9. Sarr uza hata mil 20
  10. Barkley uza hata mil 10
  11. Kenedy uza hata mil 5
  12. Bakayoko uza hata mil 10
  13. Billy Gilmour uza hata mil 10
  14. Ethan Ampadu uza hata mil 15
  15. Michy Batshuayi uza hata mil 5
  16. Baba Rahman uza hata mil 5
  17. Matt Miazga uza hata mil 5
  18. Jumla hapo tunayo mil. 290
Rudisha
  1. Broja
  2. Gallagher
Ongeza
  1. Harvey Vale
  2. Lewis Hall
Tumsajili game changer striker kama Darwin mil 60
Tuwasajili mabeki wanne wazuri
2 CBs - 120
2 FBs - 120
Jumla ya manunuzi mil 300 (Kumbuka tunayo ya mauzo ya mil 290) biashara imekwisha
Hapo tutakuwa tuko tayari kugombania kombe lolote hadi mwisho kama ilivyo Man city na Liverpool
Kwa maoni yangu tuache kwanza viungo tunao wengi sana
  1. Kovacic
  2. Kante
  3. RLC
  4. Mount
  5. Gallagher
Winga pia wako wengi na kwa mfumo wa TT mara chache sana winga wanahitajika
  1. Havertz
  2. Ziyech
  3. Werner
 
Marina akiendelea na utendaji baada ya mmiliki mpya, sidhani kama Marina atakubali hii hasara uliyoianisha hapa:-

1. Jorginho uza hata mil 30

Hapa tunapata 50

2. Pulisic uza hata mil 50

Hapa tunapata 65

3. Christensen - asepe bure

4. Lukaku uza hata mil 70

Hapa tunapata 80

5. Saul arudi kwake

6. Azpilicueta asepe bure

Hapa tunamuongezea mwaka 1

7. Kepa uza hata mil 40

Aendelee kubaki stanford akisaidiana na Mendy, labda aamue mwenyewe kuondoka. Akiondoka hatukosi 60

8. Emerson auzwe mil 15

9. Sarr uza hata mil 20

10. Barkley uza hata mil 10

11. Kenedy uza hata mil 5

12. Bakayoko uza hata mil 10

Hapa tunapata 35

13. Billy Gilmour uza hata mil 10
Hapana aendelee kubaki kwa mkopo

14. Ethan Ampadu uza hata mil 15

15. Michy Batshuayi uza hata mil 5
Hapa tunapata 20

16. Baba Rahman uza hata mil 5

17. Matt Miazga uza hata mil 5
Timu ina rundo wa wachezaji wengine daah wapo wapo tu wanakula mishahara.

Pruning inahitajika tubaki na kikosi chenye tija
 
Hakuna mifumo am,bayo ni idealist ndg.
Labda uniambiue inategemea falsafa ya kocha na uwezo wa wachezaji waliopo ndani ya disposal yake
Mfano unaweza kuwa na wachezaji wenye uwezo wa kushambulia na kudefense hao wote lazima watacheza kama CM kwa sababu CM haikuzuii kudefense. Kwanza mpira wa kisasa kila mcheza anatakiwa kujua kudefend hasa wakati wa kuzidiwa
So kuwa na CM wote it is normal provided wachezaji ulionao ndio capacities zao hizo. Huwezi kulazimisha kuwa Holding midfield mmoja wakati hayupo wa kufanya hiyo kazi. Chelsea tunapata shida hiyo kwa sababu Kova hawezi kuwa Holding MF, Jorgninho ndio kabisa, Labda Kante naye kwa uzee wake hawezi tena

Hizo mifumo zinazidiana kulingana na popularity yake lakini kusema idelaist ni kukufuru soka

For me 4231 na 433 ni kitu kile kile
Mfumo mama ni 433
433 ina zaa 4-2-3-1, 4-3-2-1, 4-1-3-2
Timu itachezaje bila kuwa na DM? Without a DM how can you control games off the ball? Kama kuna CM kati ya hao watatu anafanya defensive chores ili kucontrol game off the ball basi inabadili maana nzima ya yeye kuwa CM instead anakuwa DM, tactical excution ndio inaleta maana ya mpira sio kitu unakiona kwenye karatasi unadhani kinaenda hivyo, ndio maana nasema angalia mpira in a real sense usiandike vitu idealistic.

433 haiwezi kuwa kitu kilekile na 4231
433 ina two #8s.
4231 ina two #6s. moja defensive ingine ni offensive.
 
Uza wafuatao
  1. Jorginho uza hata mil 30
  2. Pulisic uza hata mil 50
  3. Christensen - asepe bure
  4. Lukaku uza hata mil 70
  5. Saul arudi kwake
  6. Azpilicueta asepe bure
  7. Kepa uza hata mil 40
  8. Emerson auzwe mil 15
  9. Sarr uza hata mil 20
  10. Barkley uza hata mil 10
  11. Kenedy uza hata mil 5
  12. Bakayoko uza hata mil 10
  13. Billy Gilmour uza hata mil 10
  14. Ethan Ampadu uza hata mil 15
  15. Michy Batshuayi uza hata mil 5
  16. Baba Rahman uza hata mil 5
  17. Matt Miazga uza hata mil 5
  18. Jumla hapo tunayo mil. 290
Rudisha
  1. Broja
  2. Gallagher
Ongeza
  1. Harvey Vale
  2. Lewis Hall
Tumsajili game changer striker kama Darwin mil 60
Tuwasajili mabeki wanne wazuri
2 CBs - 120
2 FBs - 120
Jumla ya manunuzi mil 300 (Kumbuka tunayo ya mauzo ya mil 290) biashara imekwisha
Hapo tutakuwa tuko tayari kugombania kombe lolote hadi mwisho kama ilivyo Man city na Liverpool
Kwa maoni yangu tuache kwanza viungo tunao wengi sana
  1. Kovacic
  2. Kante
  3. RLC
  4. Mount
  5. Gallagher
Winga pia wako wengi na kwa mfumo wa TT mara chache sana winga wanahitajika
  1. Havertz
  2. Ziyech
  3. Werner
Mrithi WA Kante naona ni muhimu pia hao kina Declan au tchouamen
 
Timu ina rundo wa wachezaji wengine daah wapo wapo tu wanakula mishahara.

Pruning inahitajika tubaki na kikosi chenye tija
Wako hadi akina Drinkwater ila mkataba wake utaisha June 30 mwaka huu
 
Marina akiendelea na utendaji baada ya mmiliki mpya, sidhani kama Marina atakubali hii hasara uliyoianisha hapa:-

1. Jorginho uza hata mil 30

Hapa tunapata 50

2. Pulisic uza hata mil 50

Hapa tunapata 65

3. Christensen - asepe bure

4. Lukaku uza hata mil 70

Hapa tunapata 80

5. Saul arudi kwake

6. Azpilicueta asepe bure

Hapa tunamuongezea mwaka 1

7. Kepa uza hata mil 40

Aendelee kubaki stanford akisaidiana na Mendy, labda aamue mwenyewe kuondoka. Akiondoka hatukosi 60

8. Emerson auzwe mil 15

9. Sarr uza hata mil 20

10. Barkley uza hata mil 10

11. Kenedy uza hata mil 5

12. Bakayoko uza hata mil 10

Hapa tunapata 35

13. Billy Gilmour uza hata mil 10
Hapana aendelee kubaki kwa mkopo

14. Ethan Ampadu uza hata mil 15

15. Michy Batshuayi uza hata mil 5
Hapa tunapata 20

16. Baba Rahman uza hata mil 5

17. Matt Miazga uza hata mil 5
Ndg kumbuka umri wa wachezaji na pia timu nyingi bado zina ukata kwa sababu ya COVID-19
  1. Jorginho miaka 30
  2. Lukaku may 13 anafikisha miaka 29
  3. Bakayoko August 2022 anafikisha miaka 28
  4. Hao wengine waliobaki ni miradi iliyofeli, lengo ni kuwaondoa
 
Timu itachezaje bila kuwa na DM? Without a DM how can you control games off the ball? Kama kuna CM kati ya hao watatu anafanya defensive chores ili kucontrol game off the ball basi inabadili maana nzima ya yeye kuwa CM instead anakuwa DM, tactical excution ndio inaleta maana ya mpira sio kitu unakiona kwenye karatasi unadhani kinaenda hivyo, ndio maana nasema angalia mpira in a real sense usiandike vitu idealistic.

433 haiwezi kuwa kitu kilekile na 4231
433 ina two #8s.
4231 ina two #6s. moja defensive ingine ni offensive.
4231 imefafanua tu 433 in practical player arangement kwamba kutakuwa na striker mmoja mbele nyuma yake wakiwemo winga wawili na katikati CAM huku nyuma kukiwa na DM wawili
On top of that uchaguzi wa kwamba formation ipi itumike ni uwepo wa hao wachezaji wenye uwezo huo na falsafa ya kocha, hakuna zaidi
Ukisema hakuna formation isiyo na DM sio kweli, ziko hata formation ambazo not yet explored

Halafu tunaposema CM tuna maana kiungo mwenye uwezo wa sehemu zote mbili. kudefend na kushambulia so bado uko sawa timu haiwezi cheza ikashinda bila ya DM na kwenye hizo 433 isiyo na DM ni kwa specilaization tu but in practice wote hao wanafanya kazi ya DM kwa maelekezo ya kocha.

Ni sawa na kusema timu inacheza bila striker kwa sababu false namba 9 anafanya kazi ya ustriker, uwinga na saa nyingine attacking midfielder
 
George Osborne ambaye alikuwa chancellor kwenye serikali ya Cameron atakuwa mshauri mkuu wa bwana Tod Boehly ikiwa atafanikiwa kuimiliki Chelsea
1650106567369.png
 
Nadhani owner mpya kazi yake ya kwanza ni kukamilisha mkataba wa Rudiger, hata aje CB mzuri hadi azoee ni kazi na anaweza asiwe mzuri kwa TT, Rudiger ameprove kuwa anaendana na falsafa ya TT
 
Uza wafuatao
  1. Jorginho uza hata mil 30
  2. Pulisic uza hata mil 50
  3. Christensen - asepe bure
  4. Lukaku uza hata mil 70
  5. Saul arudi kwake
  6. Azpilicueta asepe bure
  7. Kepa uza hata mil 40
  8. Emerson auzwe mil 15
  9. Sarr uza hata mil 20
  10. Barkley uza hata mil 10
  11. Kenedy uza hata mil 5
  12. Bakayoko uza hata mil 10
  13. Billy Gilmour uza hata mil 10
  14. Ethan Ampadu uza hata mil 15
  15. Michy Batshuayi uza hata mil 5
  16. Baba Rahman uza hata mil 5
  17. Matt Miazga uza hata mil 5
  18. Jumla hapo tunayo mil. 290
Rudisha
  1. Broja
  2. Gallagher
Ongeza
  1. Harvey Vale
  2. Lewis Hall
Tumsajili game changer striker kama Darwin mil 60
Tuwasajili mabeki wanne wazuri
2 CBs - 120
2 FBs - 120
Jumla ya manunuzi mil 300 (Kumbuka tunayo ya mauzo ya mil 290) biashara imekwisha
Hapo tutakuwa tuko tayari kugombania kombe lolote hadi mwisho kama ilivyo Man city na Liverpool
Kwa maoni yangu tuache kwanza viungo tunao wengi sana
  1. Kovacic
  2. Kante
  3. RLC
  4. Mount
  5. Gallagher
Winga pia wako wengi na kwa mfumo wa TT mara chache sana winga wanahitajika
  1. Havertz
  2. Ziyech
  3. Werner
Sioni tukifanya sajil za kufika 300M

Hapa tufanye sajil za makini tu, tusikomalie wc player, tuwe tunaangalia na wachezaj wanaondan na style ya tuchel, wachezaj wako wengi tu wamaana

Sajil za hela nyingi kwetu zimekuwa zikiishia kuwa flop,
Tutafanye usajil kwa umakin na sikwamihemko

Hao wakina bakayot,barkley,kennedy etc hawa wote ni wakuuza

Tunaonekana tunakikosi kikubwa ila kimejaa takataka na si quality
 
Uza wafuatao
  1. Jorginho uza hata mil 30
  2. Pulisic uza hata mil 50
  3. Christensen - asepe bure
  4. Lukaku uza hata mil 70
  5. Saul arudi kwake
  6. Azpilicueta asepe bure
  7. Kepa uza hata mil 40
  8. Emerson auzwe mil 15
  9. Sarr uza hata mil 20
  10. Barkley uza hata mil 10
  11. Kenedy uza hata mil 5
  12. Bakayoko uza hata mil 10
  13. Billy Gilmour uza hata mil 10
  14. Ethan Ampadu uza hata mil 15
  15. Michy Batshuayi uza hata mil 5
  16. Baba Rahman uza hata mil 5
  17. Matt Miazga uza hata mil 5
  18. Jumla hapo tunayo mil. 290
Rudisha
  1. Broja
  2. Gallagher
Ongeza
  1. Harvey Vale
  2. Lewis Hall
Tumsajili game changer striker kama Darwin mil 60
Tuwasajili mabeki wanne wazuri
2 CBs - 120
2 FBs - 120
Jumla ya manunuzi mil 300 (Kumbuka tunayo ya mauzo ya mil 290) biashara imekwisha
Hapo tutakuwa tuko tayari kugombania kombe lolote hadi mwisho kama ilivyo Man city na Liverpool
Kwa maoni yangu tuache kwanza viungo tunao wengi sana
  1. Kovacic
  2. Kante
  3. RLC
  4. Mount
  5. Gallagher
Winga pia wako wengi na kwa mfumo wa TT mara chache sana winga wanahitajika
  1. Havertz
  2. Ziyech
  3. Werner
Sioni tukifanya sajil za kufika 300M

Hapa tufanye sajil za makini tu, tusikomalie wc player, tuwe tunaangalia na wachezaj wanaondan na style ya tuchel, wachezaj wako wengi tu wamaana

Sajil za hela nyingi kwetu zimekuwa zikiishia kuwa flop,
Tutafanye usajil kwa umakin na sikwamihemko
Sajili za pesa ndogo kwetu ndio zinapiga kazi,

Hao wakina bakayo,barkley,kennedy etc hawa wote ni wakuuza,


Tunaonekana tunakikosi kikubwa ila kimejaa takataka na si quality,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom