Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mpira haupo hivyo wewe kwenye TV unaona mpira upo karibu ila waliokua uwanja ndo wanajua, huo mpira upo mbali sana alafu piah ulikua na speed
Mkuu angalia hiyo video kipande walichoonyesha Kwa nyuma.
Mpira ulikuwa karibu ila tu hakuwa amejiandaa kuruka maana hakutegemea kama ungepigwa tena.
Speed nakubali.
 
Variants ya 433 ziko zaidi ya 4 na ktk hizo ni 2 tu zinazotumia CDM aidha katikati au CDM wawili wa pembeni
View attachment 2187811
Hii mifumo uliyoweka ni idealistic zaidi huwezi kuwa na CMs watatu uwanjani, namna unavyoposition wachezaji ni muhimu ila muhimu zaidi ni roles zao, huwezi kucheza mpira without a Holding midfieder, alternatively ni Kuwa na DM wawili and that's double pivot inatumika kwenye 4231 rather than 433
 
Hii mifumo uliyoweka ni idealistic zaidi huwezi kuwa na CMs watatu uwanjani, namna unavyoposition wachezaji ni muhimu ila muhimu zaidi ni roles zao, huwezi kucheza mpira without a Holding midfieder, alternatively ni Kuwa na DM wawili and that's double pivot inatumika kwenye 4231 rather than 433
Hakuna mifumo am,bayo ni idealist ndg.
Labda uniambiue inategemea falsafa ya kocha na uwezo wa wachezaji waliopo ndani ya disposal yake
Mfano unaweza kuwa na wachezaji wenye uwezo wa kushambulia na kudefense hao wote lazima watacheza kama CM kwa sababu CM haikuzuii kudefense. Kwanza mpira wa kisasa kila mcheza anatakiwa kujua kudefend hasa wakati wa kuzidiwa
So kuwa na CM wote it is normal provided wachezaji ulionao ndio capacities zao hizo. Huwezi kulazimisha kuwa Holding midfield mmoja wakati hayupo wa kufanya hiyo kazi. Chelsea tunapata shida hiyo kwa sababu Kova hawezi kuwa Holding MF, Jorgninho ndio kabisa, Labda Kante naye kwa uzee wake hawezi tena

Hizo mifumo zinazidiana kulingana na popularity yake lakini kusema idelaist ni kukufuru soka

For me 4231 na 433 ni kitu kile kile
Mfumo mama ni 433
433 ina zaa 4-2-3-1, 4-3-2-1, 4-1-3-2
 
Hakuna wala haijawahi kutokea Kocha yoyote Duniani kupatiwa wachezaji walewale kama alivyowataka! Hata Mourinho kipindi ambacho Abramovic aliisapoti Timu kuliko kipindi chochote kile basi alijikuta kaletewa Shevchenko from nowhere mpaka akasababisha ugomvi na Tajiri.

NAKUMBUSHA:
Mwisho wa siku kocha ni mwajiriwa tu hawezi kuwa na Final say kama munavyotaka kuaminishana.
Na timu ambazo hazimsikilizi kocha zinakuwa na matokeo mabaya daima, hatusemi 100% kocha apewe anachotaka. Mfumo wa scouting mpaka kuchukua mchezaji kocha anatakiwa awe na big say, ndivyo ilivyokuwa kwa MOU Chelsea na wachezaji wengio waliofanya vizuri ni wale kocha aliwakubali. KOcha ndie technical persona anayejua timu inauhitaji wa nini na ni nani anaweza kufit kwenye hizo vacancies. Usipomsikiliza kocha so bad timu itaendelea kuwa kama Manure
 
Kwa mara nyingine tena UCL final itazikutanisha timu za EPL na kwa bahati mbaya kwa mara nyingine tena City anaweza kukosa hili kombe
 
Wamepima maji wakayaona kuwa kina kirefu kuliko walivyofikiri mwanzo. kuinvest kwenye clubu kubwa yenye washabiki wengi huku mkiwa na reputation mbaya za kibaguzi ni ngumu mno. Hata hivyo watakuwa wameshauriwa wajitoe ili kupunguza aibu ambayo wangepata kama wangeendelea hadi watakapokataliwa kwa sababu ya mashabiki wanaopinga ubaguzi. Hata hivyo wamefanya publicity ya nguvu, mimi nilkuwa siwajui hao Ricket Family
 
Wamepima maji wakayaona kuwa kina kirefu kuliko walivyofikiri mwanzo. kuinvest kwenye clubu kubwa yenye washabiki wengi huku mkiwa na reputation mbaya za kibaguzi ni ngumu mno. Hata hivyo watakuwa wameshauriwa wajitoe ili kupunguza aibu ambayo wangepata kama wangeendelea hadi watakapokataliwa kwa sababu ya mashabiki wanaopinga ubaguzi. Hata hivyo wamefanya publicity ya nguvu, mimi nilkuwa siwajui hao Ricket Family
Mkuu wameshindwa kukubaliana nani atakuwa na hisa nyingi kati ya gilbert,griffin n rickett family, na si kwa sababu ya tuhuma walizokuwa nazo.

Kila mmoja hakutaka kukubaliana na mwenzake juu ya ya ugawaj wa hisa

Hivyo ikasababisha bwana Griffin aombe wajitoe

Kama ingekuwa tuhuma + fans protest wangejitoa kuanzia mwanzo kabisq
 
Hii consortium ya Toddy Boehly mbona haeleleweki kama pesa nane.

Huyu Clearlake capital atakuwa na umiliki wa hisa nyingi 50% kuliko kinara mwenyewe Toddy, tajiri wa uswis na yule tajiri wa UK. View attachment 2188550
Wenye hisa kubwa ndio wako tayari kununua hisa nyingi, ila mimi naona ya kuwa na hisa nyingi halafu mwenye hisa chache ndie anatawala kuna siku timu itadoda kwa sababu ya maamuzi na kushindana kwingi. Mfano Boehly ana hisa chache lakini atakuwa na sauti kwenye management huu ni mtego. kwa muundo wa makampuni ya hisa, mwenye hisa nyingi ndie mwenye sauti. Sasa hii ya Boehly kuwa na hisa chache halafu eti yeye ndie atakuwa na sauti kwenye utawala ni uongo mtupu, wataanza vizuri leo ila kesho wataanza kuonyeshana misuli huku muadhirika mkubwa ni timu na fans
 
Mkuu wameshindwa kukubaliana nani atakuwa na hisa nyingi kati ya gilbert,griffin n rickett family, na si kwa sababu ya tuhuma walizokuwa nazo.

Kila mmoja hakutaka kukubaliana na mwenzake juu ya ya ugawaj wa hisa

Hivyo ikasababisha bwana Griffin aombe wajitoe

Kama ingekuwa tuhuma + fans protest wangejitoa kuanzia mwanzo kabisq
Nadhani sources za habari yako sio realistic au umeelewa vibaya, I belief main reasons iko kwenye masharti waliopewa kutokana na second round bids, masharti mojawapo nilisema mwanzoni wataconsider kipima joto ya mashabiki. Success ya timu ya mpira iko kwa mashabiki. mashabiki wasiporidhika na timu yao wataadhiri hadi mapato. Hii reason hawawezi kuweka wazi kwa sababu ina maslahi ya kibiashara. Ricket Family wameshindwa kukubaliana submission ya bid yao although reasons are hiden but mainly ni aibu ya kukataliwa kwa sababu ya hiyo kipengele cha mashabiki - still guassing but muda unavyokwenda utaniprove wrong

Statement yao waliotoa ni hii hapa, maelezo mengine zaidi ya hii ni interpretation tu:
“In the process of finalising the proposal, it became increasingly clear that certain issues could not be addressed given the unusual dynamics around the sales process.
 

What have the Ricketts group said about their decision?​

“The Ricketts-Griffin-Gilbert group has decided, after careful consideration, not to submit a final bid for Chelsea FC.
“In the process of finalising the proposal, it became increasingly clear that certain issues could not be addressed given the unusual dynamics around the sales process.
“We have great admiration for Chelsea and its fans and we wish the new owners well.”

Why did their bid cause such controversy?​

The bid from the Ricketts-led consortium provoked an angry response from Blues supporters after historic emails from family patriarch Joe Ricketts surfaced recently.
The Chelsea Supporters Trust released a statement when the content of the controversial emails became clear.
It read:

“At present, it is clear that our membership neither supports nor has confidence in the Ricketts family’s bid for the club.
“This is reflective of wider concerns articulated by large, vocal sections of Chelsea’s supporter base.
“The CST Board is guided by our membership, and thus we do not currently believe it is in the best interests of our members for the Ricketts family’s bid to succeed.
“We await further public detail from the Ricketts family on concrete steps they will take to address the well-documented concerns of Chelsea supporters.
“Should the Ricketts publicly set out clear and detailed plans on how they will address support concerns, we may survey our members again in the next week.”
Supporters also held a demonstration against the interest ahead of the club’s home game with Brentford earlier this month - but it is believed the unrest did not play any part of the decision to withdraw their offer.

Source: Chelsea takeover news: why the Ricketts family has withdrawn
 
Kwa mara nyingine tena UCL final itazikutanisha timu za EPL na kwa bahati mbaya kwa mara nyingine tena City anaweza kukosa hili kombe
Hili kombe huwa linachukuliwa na na mtu ambaye hategemewi kabisa .....


Keep watching
 
Mwa lwalwaje na hali humh ndani.
20220409_152116.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom