Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Man city vs Chelsea. % kubwa alitabiriwa Man city ndo atachukua kombe,Mategemeo yakageuka.CHELSEA AKACHUKUA.

Psg vs Bayern.% kubwa alitabiriwa Psg ndo atachukua kombe, Mategemeo yakageuka.BAYERN AKACHUKUA.

Liverpool vs R.Madrid.% kubwa alitabiriwa Liverpool ndiye atakae chukua kombe,Mategemeo yakageuka.R.MADRID AKANYANYUA

Chelsea vs Bayern munchen.% kubwa alitabiriwa Bayern ndiye atakae chukua kombe, Mategemeo yakageuka.CHELSEA AKANYANYUA

Hata Spurs alitabiriwa kuwa atachukua mbele ya Liverpool kipindi kile Spurs ni ya moto na alitawala mechi lakini Liverpool Kwa goli la dk ya mwisho la bobby, Liverpool akabeba

Hata kipindi kile Intermilan chini ya Mourinho anabeba,Hakufikiriwa kabisa kama atabeba lakini Milito aka sema hapana ,Mourinho akanyanyua kikombe.

Na fainal nyingine nyingii tuu...

No, you're very wrong! Tunaposema Timu isiyotarajiwa tunamaanisha Timu ambayo haina uwezo, haina ukubwa wala ubora wa kupambania Kombe lakini ikaibuka na ubingwa.

Mfano hakuna aliyetarajia Leicester City kuwa itabeba ubingwa wa EPL.

Au msimu huu Villarreal abebe ubingwa ndiyo tunaweza kusema Timu isiyotarajiwa.

Lakini mifano uliyotoa wewe yote siyo sahihi kwani ni Timu zenye uwezo mkubwa ndiyo imelinganisha.

Huwezi kusema Bayer, Chelsea na Liverpool kubeba ubingwa ni Timu zisizotarajiwa wakati in nature linapokuja suala la Champion League Timu kama PSG, Man City, Spurs, Arsenal hata ziwe bora vipi basi walio wengi hawazipi nafasi ya kutwaa ubingwa.
 
Uza wafuatao
  1. Jorginho uza hata mil 30
  2. Pulisic uza hata mil 50
  3. Christensen - asepe bure
  4. Lukaku uza hata mil 70
  5. Saul arudi kwake
  6. Azpilicueta asepe bure
  7. Kepa uza hata mil 40
  8. Emerson auzwe mil 15
  9. Sarr uza hata mil 20
  10. Barkley uza hata mil 10
  11. Kenedy uza hata mil 5
  12. Bakayoko uza hata mil 10
  13. Billy Gilmour uza hata mil 10
  14. Ethan Ampadu uza hata mil 15
  15. Michy Batshuayi uza hata mil 5
  16. Baba Rahman uza hata mil 5
  17. Matt Miazga uza hata mil 5
  18. Jumla hapo tunayo mil. 290
Rudisha
  1. Broja
  2. Gallagher
Ongeza
  1. Harvey Vale
  2. Lewis Hall
Tumsajili game changer striker kama Darwin mil 60
Tuwasajili mabeki wanne wazuri
2 CBs - 120
2 FBs - 120
Jumla ya manunuzi mil 300 (Kumbuka tunayo ya mauzo ya mil 290) biashara imekwisha
Hapo tutakuwa tuko tayari kugombania kombe lolote hadi mwisho kama ilivyo Man city na Liverpool
Kwa maoni yangu tuache kwanza viungo tunao wengi sana
  1. Kovacic
  2. Kante
  3. RLC
  4. Mount
  5. Gallagher
Winga pia wako wengi na kwa mfumo wa TT mara chache sana winga wanahitajika
  1. Havertz
  2. Ziyech
  3. Werner

Joginho umemu-underrate but Pulisic kwa £50M na Lukaku kwa £70M?

You're not serious
 
No, you're very wrong! Tunaposema Timu isiyotarajiwa tunamaanisha Timu ambayo haina uwezo, haina ukubwa wala ubora wa kupambania Kombe lakini ikaibuka na ubingwa.

Mfano hakuna aliyetarajia Leicester City kuwa itabeba ubingwa wa EPL.

Au msimu huu Villarreal abebe ubingwa ndiyo tunaweza kusema Timu isiyotarajiwa.

Lakini mifano uliyotoa wewe yote siyo sahihi kwani ni Timu zenye uwezo mkubwa ndiyo imelinganisha.

Huwezi kusema Bayer, Chelsea na Liverpool kubeba ubingwa ni Timu zisizotarajiwa wakati in nature linapokuja suala la Champion League Timu kama PSG, Man City, Spurs, Arsenal hata ziwe bora vipi basi walio wengi hawazipi nafasi ya kutwaa ubingwa.
Wewe ndio umeongea facts mwenzako hana uzoefu wa kuujua mpira vizuri
 
No, you're very wrong! Tunaposema Timu isiyotarajiwa tunamaanisha Timu ambayo haina uwezo, haina ukubwa wala ubora wa kupambania Kombe lakini ikaibuka na ubingwa.

Mfano hakuna aliyetarajia Leicester City kuwa itabeba ubingwa wa EPL.

Au msimu huu Villarreal abebe ubingwa ndiyo tunaweza kusema Timu isiyotarajiwa.

Lakini mifano uliyotoa wewe yote siyo sahihi kwani ni Timu zenye uwezo mkubwa ndiyo imelinganisha.

Huwezi kusema Bayer, Chelsea na Liverpool kubeba ubingwa ni Timu zisizotarajiwa wakati in nature linapokuja suala la Champion League Timu kama PSG, Man City, Spurs, Arsenal hata ziwe bora vipi basi walio wengi hawazipi nafasi ya kutwaa ubingwa.
HUWEZI kuelewa.
 
Joginho umemu-underrate but Pulisic kwa £50M na Lukaku kwa £70M?

You're not serious
Kama hujui
  1. Jorginho miaka 30, kwa umri huo ukipandisha bei hakuna timu hata Manure hawatamnunua, hata hiyo mil 30 ni kubwa
  2. Lukaku may 13 anafikisha miaka 29
 
No, you're very wrong! Tunaposema Timu isiyotarajiwa tunamaanisha Timu ambayo haina uwezo, haina ukubwa wala ubora wa kupambania Kombe lakini ikaibuka na ubingwa.

Mfano hakuna aliyetarajia Leicester City kuwa itabeba ubingwa wa EPL.

Au msimu huu Villarreal abebe ubingwa ndiyo tunaweza kusema Timu isiyotarajiwa.

Lakini mifano uliyotoa wewe yote siyo sahihi kwani ni Timu zenye uwezo mkubwa ndiyo imelinganisha.

Huwezi kusema Bayer, Chelsea na Liverpool kubeba ubingwa ni Timu zisizotarajiwa wakati in nature linapokuja suala la Champion League Timu kama PSG, Man City, Spurs, Arsenal hata ziwe bora vipi basi walio wengi hawazipi nafasi ya kutwaa ubingwa.
Kiingereza chake ndio imekaa vizuri, wanaita "underdog"
 
Oky nimekupata. Na kama operation zote za club zitakuwa chini ya Toddy Boehly inawezekana hawa Clearlake capital watakuwa wameingia kwenye hii consortium kwa ajili kufund ununuaji wa club kwa maana nusu ya cash ndio wametoa wao.

Toddy Na wale wengine wawili wamechangia nusu iliyobaki.

Pia inawezekana Toddy na wenzake huko mbeleni wakanunua hizo hisa za Clearlake.
May be atakuwa mwenyekiti wa bodi
 
Oky nimekupata. Na kama operation zote za club zitakuwa chini ya Toddy Boehly inawezekana hawa Clearlake capital watakuwa wameingia kwenye hii consortium kwa ajili kufund ununuaji wa club kwa maana nusu ya cash ndio wametoa wao.

Toddy Na wale wengine wawili wamechangia nusu iliyobaki.

Pia inawezekana Toddy na wenzake huko mbeleni wakanunua hizo hisa za Clearlake.
In short zipo kampuni ambazo zina CEO's ambao wana zero shares.
 
Kwa wenzetu siyo kama sisi.

Huyo jamaa wanasema atakuwa Boss sababu operations zote za club ndio zitakuwa chini yake.
Hata kule nje, unajua mifumo ya makampuni kuen deshwa kwa hisa, hisa ni maslahi ya mmiliki. Hakuna mtu duniani ataacha interest zake ziwe hatarini. Kwa mifumo hiyo huwa sio realistic kabisa. Tod Boehly akiendesha timu vizuri inaweza ikawa amani. na kuendesha timu smoothly nayo sio realistic lazima kutakuwepo ups and downs. Changamoto zikizidi, kobe lazima atafichua kichwa chake na kuanza kutoa za moyoni. Hicho ndicho kitakachotokea
 
Oky nimekupata. Na kama operation zote za club zitakuwa chini ya Toddy Boehly inawezekana hawa Clearlake capital watakuwa wameingia kwenye hii consortium kwa ajili kufund ununuaji wa club kwa maana nusu ya cash ndio wametoa wao.

Toddy Na wale wengine wawili wamechangia nusu iliyobaki.

Pia inawezekana Toddy na wenzake huko mbeleni wakanunua hizo hisa za Clearlake.
Kiongozi hicho kitu sahau, hakuna mtu ktk sayari hii atarisk fedha zake halafu mbele mambo yakiwa mazuri auze na kama mambo yataenda vibaya hakuna pia mtu kwenye hii hii sayari atakayekubali kuwekeza kwenye mradi unaofeli. So forget about that
 
In short zipo kampuni ambazo zina CEO's ambao wana zero shares.
Unachanganya mambo
Kama CEO sio share holder basi atakuwa purely ni mwajiriwa na akiboronga anatimuliwa kweupe
Ila hata CEO atakuwa sio share holder atakuwa anaendehswa kwa remote na mmiliki hii haikwepeki kwa sababu ya kulinda maslahi ya mwekezaji
Mfano Marina aliaminiwa na kupewa majukumu makubwa ndani ya Chelsea lakini bado Abramovich alikuwa akiingiza miguu yake humo
 
Ni UCL ya mwaka jana
Mwaka huu bingwa wake wa dunia ni mwakani
Hamta chukua kombe lolote,FA hata ukimtoa CP nakupiga Wembley
Acha maneno kabla hujavuka mto, utaliwa na mamba ukiwa macho
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom