Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Marina abaki tu kuwa kama negotiator ila kwenye scouting tutafute mtu mwingine,

Wampe tuchel maamuzi ya yupi anamtaka na na nani hamtaki, wakimpa wachezaj anaowataka naamini atakuwa na mafanikio kuliko hata josee kwa pale chelsea,
Scouting team iwe chini ya manager
 
Conte kwa sasa ndie kocha anayeongoza kwa counter attack football na pale spurs kwa Moura, Kane na Son ndio kafika
 
TT nae pia muda mwingine anaujinga wake flani hivi. Unamtoa Wener ambae alikua moto unamuingiza yule mmarekan anaekata viuno tu uwanjani.
Halafu watu wanasema tumetoka kiume, ni ujinga. Ukweli ni tumetoka kifala. Timu y kiboya sana hii. Mchezaji mmoja anafunga magoli matatu yanayofanana si ufala huo.
 
TT nae pia muda mwingine anaujinga wake flani hivi. Unamtoa Wener ambae alikua moto unamuingiza yule mmarekan anaekata viuno tu uwanjani.
Halafu watu wanasema tumetoka kiume, ni ujinga. Ukweli ni tumetoka kifala. Timu y kiboya sana hii. Mchezaji mmoja anafunga magoli matatu yanayofanana si ufala huo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nikatalie kwa facts ukiniandikia ivyo na mimi nasema Camavinga ni DM. Otherwise homework niliyokupa hujaifanyia kazi karudie tena. Take ur time bro
Kwenye 433 una mid 3 triangle (two #8s & a lone #6) yani Controller, creator & a holding one, hapa camavinga ni controller kama alivyo Pedri Barca, that's why anachukua nafasi ya Toni kroos sio DM, DM ni casemeiro, future DM Real Madrid wanahusishwa na Tchouameni. Ukimuangalia tu inatosha kukuonesha hana profile ya kuwa DM. Muangalie Rodri / Partey/ Fabinho afu fananisha na huyo dogo utaona utofauti mkubwa.
 
Kwenye 433 una mid 3 triangle (two #8s & a lone #6) yani Controller, creator & a holding one, hapa camavinga ni controller kama alivyo Pedri Barca, that's why anachukua nafasi ya Toni kroos sio DM, DM ni casemeiro, future DM Real Madrid wanahusishwa na Tchouameni. Ukimuangalia tu inatosha kukuonesha hana profile ya kuwa DM. Muangalie Rodri / Partey/ Fabinho afu fananisha na huyo dogo utaona utofauti mkubwa.
Umesema sahihi kabisa ila umezungumzia role anayoplay sasa ivi kwa hilo siwezi kukukatalia. Defensive anacheza Casemiro lakini toka alipokua Rennes alikua anacheza Defensive Midfield sasa ivi unamuona anacheza juu kidogo na anafanya vizuri hiyo ni added advantage yake kama kiraka tu lakini position iliyomtambulisha ni DM
 
Nikatalie kwa facts ukiniandikia ivyo na mimi nasema Camavinga ni DM. Otherwise homework niliyokupa hujaifanyia kazi karudie tena. Take ur time bro
Alisema mwenyewe

Camavinga said that he loves to play ahead of the defence, as a pivot, in his first press conference as a Madridista. And he did get to start in his favourite position soon, as he got a play as a DM alongside Valverde and Asensio in his first Real Madrid start against RCD Mallorca.

22 Jan 2022

Eduardo Camavinga vs Mallorca | La Liga 21-22

Camavinga made his first start for Madrid against Mallorca, playing as the lone pivot. He showcased his abilities on the ball & frequently roamed forwards as well. His crisp passing helped Madrid move the ball quickly.

Starboy! pic.twitter.com/1loffhU3ty

— Yash (@Odriozolite) September 23, 2021

Ila Ancelotti anatumia zaidi CM katika mfumo wa 433 na kwa hiyo practically Camavinga anacheza kama CM

Camavinga is more suited to Real Madrid’s system as a central midfielder​

 
Kwenye 433 una mid 3 triangle (two #8s & a lone #6) yani Controller, creator & a holding one, hapa camavinga ni controller kama alivyo Pedri Barca, that's why anachukua nafasi ya Toni kroos sio DM, DM ni casemeiro, future DM Real Madrid wanahusishwa na Tchouameni. Ukimuangalia tu inatosha kukuonesha hana profile ya kuwa DM. Muangalie Rodri / Partey/ Fabinho afu fananisha na huyo dogo utaona utofauti mkubwa.
Variants ya 433 ziko zaidi ya 4 na ktk hizo ni 2 tu zinazotumia CDM aidha katikati au CDM wawili wa pembeni
1649971166690.png
 
Nimependa hii kwamba THE BLUES haitanunuliwa kwa mkopo

Sorry, huyo jamaa unayechukua tweets zake una uhakika na chanzo chake cha habari?
Utalishwa Matango pori ndugu! Kuna Reliable sources nyingi tu za kufuatilia jaribu hata kwa SkySports, Goal.com na Fabrizio.
 
Marina abaki tu kuwa kama negotiator ila kwenye scouting tutafute mtu mwingine,

Wampe tuchel maamuzi ya yupi anamtaka na na nani hamtaki, wakimpa wachezaj anaowataka naamini atakuwa na mafanikio kuliko hata josee kwa pale chelsea,

Hakuna wala haijawahi kutokea Kocha yoyote Duniani kupatiwa wachezaji walewale kama alivyowataka! Hata Mourinho kipindi ambacho Abramovic aliisapoti Timu kuliko kipindi chochote kile basi alijikuta kaletewa Shevchenko from nowhere mpaka akasababisha ugomvi na Tajiri.

NAKUMBUSHA:
Mwisho wa siku kocha ni mwajiriwa tu hawezi kuwa na Final say kama munavyotaka kuaminishana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom