Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mudi yangu imeharibika vibaya kwa Liverpool kuchomoka kwenye dakika za majerihu loh!!!!! Ila mie nawakika epl tunaibabe tu kwasabb zifuayazo:

First 11 yetu majerihu wengi.
Tuna kikosi kipana hatumtegemee mchazaji moja
Sala na Mane wakirudi Africa Liverpool inakua aina meno tena.
Mancity inafungwa sio timu inaotisha kivile, kwenye epl.
TT ana binu nyingi za kubadili team na aina ya mchezo.
Kwahiyo wana Chelsea msihofu sana tuwe na roho ngumu kama arsenal na Man u, hatawakiwa kwenye nafasi ya uropa wanaendelea kushangilia tu.
Wagonga nyundo baada ya kuvunja daraja, naona kenge wanakimbiakimbia tu hovyo maskini, hata uelekeo wao hawajui ni wapi.
Poleni makenge ya darajani, ndio ukubwa huo taratibu tu mtazoea,
Mwakani tukutane Europa League.
 
Mudi yangu imeharibika vibaya kwa Liverpool kuchomoka kwenye dakika za majerihu loh!!!!! Ila mie nawakika epl tunaibabe tu kwasabb zifuayazo:

First 11 yetu majerihu wengi.
Tuna kikosi kipana hatumtegemee mchazaji moja
Sala na Mane wakirudi Africa Liverpool inakua aina meno tena.
Mancity inafungwa sio timu inaotisha kivile, kwenye epl.
TT ana binu nyingi za kubadili team na aina ya mchezo.
Kwahiyo wana Chelsea msihofu sana tuwe na roho ngumu kama arsenal na Man u, hatawakiwa kwenye nafasi ya uropa wanaendelea kushangilia tu.
Izo mbinu mbona dhidi ya west ham hazikutumikaa
 
Mkuu mpira sasa hivi umebadilika sana, ndio maana unawaona kuna timu zinacheza bila striker mfano city.

Nowdays mastiker wamejeuka kuwa wapika mabao na kufunga pia, zile zama za striker kukaa pale mbele kusubiria aletewe mpira, uwalalie mabeki zimeshapitwa na wakati.

Lukaku ana style yake ya uchezaji anahitaji space, anahitaji mipira ya counter attach, anahitaji kushambulia kwa kasi.

Ukiangalia uchezaji wetu wa sasa pass fupi fupi na washambuliaji wanaingia Lundo golini mabeki, mawinga, viungo wote wanataka kufunga goli.
Mkuu badilini mfumo aisee mkiona 3 4 2 1 imewashinda kuna mifumo mingi tu mbona? Ila sasa hiyo mifumo sijui mtaipataje maana sio kwa injury hizo.
 
Jorginho mchezaji mzuri sana ila kuna wakati anaboa na akiboa anaboa kweli kweli. Mechi na Manure nilidhani ni bahati mbaya, sasa inajirudia rudia. Ningekuwa karibu yake ningemtusi, hana adabu

Mendy naye kuna wakati anazingua, wewe mpira uko golini kwako halafu unatumia juhudi kuuproteck mpira ambao hata kuudaka haruhusiwi. Alikuwa na nafasi ya kutoa nje wa kurushwa akauproteck, akapata nafasi tena ya kuutoa kona akijifanya anauprotect tena hadi anasababisha penalti. Naomba iwe mwanzo na mwisho kwa hao wazembe wawili wa game ya leo
Mkuu Mendy yeye huwa anawaza kudaka hata nje ya 18 anadaka tu , sasa wanamrudishia mipira ya nini? All in all mjifunze kukubali matokeo hata kama mmepigwa hakuna tim itakayo chukua ubingwa bila kupelekewa moto wewe
 
Usiwe kigeugeu huyu keppa magoli ya ujinga kama hayo alipigwa mengi tu, medy hana kosa alicheza vizuri, kwanini alete kona wakati mpira alikua ameumudu, isipo kua yule striker ndo alikua mjanja kulazimisha fauli...........ila mjifunze kua na misimamo msiwe kama wale man na arsenal wanao fuata upepo wamatokeo.
Kabisa hawa jamaa wanalaum tu wanacho takiwa nikukubali matako eo tu.
 
Kuna watu waliamini hatutofungwa?

Kama ile Barcelona ya moto ilifungwa na Osasuna! sisi ni nani tusifungwe?

Bayern ya moto imeshapasuliwa mala mbili na vitimu vya kawaida kabisa, Chelsea ni nani asifungwe?

Binafsi nashukuru tumefungwa leo maana huenda tusifungwe tena!

Kwenye kufungwa ndio kwenye kulekebisha makosa.
 
Poleni wana Chelsea fans wenzangu.

Asiyekubali kushindwa si mshindani. Nimekubali kiroho safi kushindwa siku ya leo. Vijana wamecheza kadri wawezavyo lakini point imeenda upande mwingine.

Lets focus for next match Chelsea foreva
Mpunguze kelele sasa, yaani mnavihere here mno
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom