Mondela
JF-Expert Member
- Aug 20, 2021
- 2,567
- 3,780
Vipi mbona jana sijakuona kwenye uzi wa Liverpool? Njoo basi utuchangamsheMe sijaanza kufungwa leo...


Vipi mbona jana sijakuona kwenye uzi wa Liverpool? Njoo basi utuchangamsheMe sijaanza kufungwa leo...


Kwenye uzi wenu nilikuja wewe tu ndio hukunionaVipi mbona jana sijakuona kwenye uzi wa Liverpool? Njoo basi utuchangamshe![]()


Kochaa ameapaa kabisaa mbele ya waandishi wa habari,Msimu huu Sio wa mazoea kwamba top four lazima akae flani na flani.Chezea notes ww kocha wao sio mchezo aisee, walijipanga kufanya maangamizi kwa chelsea kabisaaaa.
HUWEZI kuachaa kufungwaaa tena Kati ya timu hizi Southampton, Brighton,Wolves au Aston villa.Ushindi wako utakuwa drawKuna watu waliamini hatutofungwa?
Kama ile Barcelona ya moto ilifungwa na Osasuna! sisi ni nani tusifungwe?
Bayern ya moto imeshapasuliwa mala mbili na vitimu vya kawaida kabisa, Chelsea ni nani asifungwe?
Binafsi nashukuru tumefungwa leo maana huenda tusifungwe tena!
Kwenye kufungwa ndio kwenye kulekebisha makosa.
Kwahiyo ushazoea maumivu sio? Mendy na lukaku ni wakawaida mno subirini muda ni hakimu mzuri sanaMe sijaanza kufungwa leo...
Huyo alishaanza kusomwa mbinu zake ukijumulisha na mfumo wake mmoja Kila game ndo kabisaa Afuu na first eleven yake Ileile kila game kitu kinacho fanya overloaded Kwa wachezaji na kusababisha idadi ya injuries kuongezeka,Morning The Blues fans.
Poleni na maumivu ya kupoteza game jana.
Nina imani TT(The Goffer) yupo jikoni anapika mwarobaini wa hizi mistakes zilizojitokeza kwa mechi 2 zilizopita, tuwe na imani naye we will bounce back
Wewe una chuki tu na TT mbona anatumia wachezaji wengi tu sio first 11 ile ile tukumbali tu westham was good teamHuyo alishaanza kusomwa mbinu zake ukijumulisha na mfumo wake mmoja Kila game ndo kabisaa Afuu na first eleven yake Ileile kila game kitu kinacho fanya overloaded Kwa wachezaji na kusababisha idadi ya injuries kuongezeka,
Mimi na huyo jamaa ni brother's from another mother mkuu .....Ila kutambiana kwa mashabiki wa timu pinzani mara nyingi unafurahisha sana.
Kuna jamaa kule Telegram kwenye channel ya Chelsea, jana alisema furaha yake Daima ni kuona mashabiki wa Chelsea wakiwa wanalia
Mkuu Pain killer au ni wewe ndiye uliyesema hivyo...!?





Ulijitutumua wakati tunacheza na wolvermton tena tulikuwa wolves 0 liver 0 ukapiga dua lakini uokovu wa Origi ukatuweka juu.Kwenye uzi wenu nilikuja wewe tu ndio hukuniona
Hahahah na bahati yenu.... Mlikuwa mnaenda sare.Ulijitutumua wakati tunacheza na wolvermton tena tulikuwa wolves 0 liver 0 ukapiga dua lakini uokovu wa Origi ukatuweka juu.
Kwasababu hafanyi mabadiliko kwenye kikosi chake,Yeye iwe uefa,Epl,Fa,League cup kikosi ni kile kilee.Kwanini injury zisitokee... ?List ya majeruhi imeongezekaView attachment 2033393
Kama angekuwa anatumia wachezaji wengi,Mbona unalalamika kuwa first eleven Ina injury?ndo chanzo Cha matokeo mabayaWewe una chuki tu na TT mbona anatumia wachezaji wengi tu sio first 11 ile ile tukumbali tu westham was good team
Mbona unajijibu mwenyewe sasa watachezaje wa kua majeruhi?......manaake amerotate team mara nyingiKama angekuwa anatumia wachezaji wengi,Mbona unalalamika kuwa first eleven Ina injury?ndo chanzo Cha matokeo mabaya
Amerotate vipii wakati wachezaji wa first eleven wengi ni majeruhi??? Na mnasema matokeo ni mabaya Kwa sababu wachezaji wa first eleven ni injury ko analazimika kutumia wachezaji ambao sio first eleven ndo maana matokeo siyo mazuri.Mbona unajijibu mwenyewe sasa watachezaje wa kua majeruhi?......manaake amerotate team mara nyingi
Mpuuuz mie kanikwaza sana wala siwezi kumsameheHili BOKO la Mendy la mwaka aisee. Dah View attachment 2033414
Naby keita
Roberto Firmino
Curtis Jones
Joe Gomez
Harvey Elliot
Naona hao sio majeruhi kwa liverpool
Naona akili zimeanza kurudi Sasa
.....kutwa nzima ,unamjua Mendy wewe ,sisi hatujaruhusu goli nyingi,maraa ohhh sisi anafunga yeyote ....
Chelsea upepo umekata tu ..
Over
Kuna watu waliamini hatutofungwa?
Kama ile Barcelona ya moto ilifungwa na Osasuna! sisi ni nani tusifungwe?
Bayern ya moto imeshapasuliwa mala mbili na vitimu vya kawaida kabisa, Chelsea ni nani asifungwe?
Binafsi nashukuru tumefungwa leo maana huenda tusifungwe tena!
Kwenye kufungwa ndio kwenye kulekebisha makosa.