Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

😂

07C37396-C06B-4EE7-A1FA-E32B11B0E20A.jpeg
 
Tuyaache haya maneno, tukiwa tunashinda huwa hatuyasemi ila siku tukifungwa tunaanza tim yetu imejaza matakataka,
Kuna game unacheza vibaya unapata matokeo na kuna game unacheza vizuri hupati matokeo na kuna game unacheza vibaya na unaadhibiwa

Tumekuwa tukifanya individual mistake hiv karibun,

Remember injury nazo zinaturudisha nyuma, chilwell,kova,kante,chalobah na leo tena kai kaumia tena

Bado tupo kwenye mbio, if tukistahimili vizuri huu mwezi .
Tangu hizo takataka za top 4 ziwe zinaanza kila mechi tumekuwa tukibahatisha matokeo na leo bahati haikuwa yetu. Hii iko wazi, pale gap itakapoongezeka ndio mtaelewa nina maana gani. Siajsema hao wachezaji sio wazuri, ni lugha ya msisitizo tu nimetumia na ndio maana nikayaita takataka za top 4
 
Poleni wana Chelsea fans wenzangu.

Asiyekubali kushindwa si mshindani. Nimekubali kiroho safi kushindwa siku ya leo. Vijana wamecheza kadri wawezavyo lakini point imeenda upande mwingine.

Lets focus for next match Chelsea foreva
 
Jorginho ndiye aliyetoa boko, lawama kwa kipa mnamsingizia bure tu
Usimtetee Mendy kabisa kama umeangalia mpira, alikuwa na golden chances mbili za kuutoa huo mpira nje yeye akang'ang'ana kuulinda kwenye miguu. Sawa primary mistake ni ya Jo lakini naye akaongezea silly mistakes. Kukosea kwa Jo hakumuachi salama Mendy
 
Westham kawafunga ....

Man utd
Liverpool
Chelsea ..


Except the cityzen ....harafu ile game yetu against westaham tuliimaliza mapema kabisa tuliwamaliza wakati snow inamwagika Hatari ,yaan hata mpira hauonekani vzuri
Na man utd siyo kweli alipasuka goli mbili ila alimfunga man utd FA
 
Tangu hizo takataka za top 4 ziwe zinaanza kila mechi tumekuwa tukibahatisha matokeo na leo bahati haikuwa yetu. Hii iko wazi, pale gap itakapoongezeka ndio mtaelewa nina maana gani. Siajsema hao wachezaji sio wazuri, ni lugha ya msisitizo tu nimetumia na ndio maana nikayaita takataka za top 4
Wasiojua mpira utawafahamu tu
 
Mimi tu baada ya kuiona Chelsea vs Watford last week nikaaanza kuiona Chelsea ya kawaida na upepo umekata .....

Sasa muache wanaume waendelee na mbio pep Vs klopp

Mendy amekuwa hana lolote wataanza kumlaumu .kipindi chao cha mpito kimefika
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom