Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Wanatafuta vizingizio, wachezaji wao ni wa kawaida sana kushinda mechi chache wamejiona wao wana world class player.

Hicho kipindi cha kupoteana kwenye kila timu kipo hao ndio hawajui tu.

Hauwezi kushinda mechi zote wala kuongoza ligi mwanzo mpaka mwisho wa msimu.

Sasa mashabiki wa chelsea hawataki hayo mambo ya kupokezana.
kabisa mkuu wao wakipoteza wanaanza lawama zisizo kua na maana eti wanamlaum Mendy mara Jorginho mara kocha, Sema tu walipelekewa moto hadi wakapoteana uwanjani, walitucheka sisi kupigwa 3:2 na wao yamewakuta watulie tu. Mbona sisi huwa tukifungwa huwa tunatulia tu? Kama lawama nizamtindo alafu tunavuta pumzi tunasubiri next match.
 
Mkuu hawa rent boyz bado Epl hawaijui vizuri,sasa hivi akili zitawakaa sawa yaani walikuwa wanaamini watakaa juu hapo mpaka ligi iishe kitu ambacho akipo.

Sasa hivi naona wamechoka hata wachezaji wao maana hata mendy anaonesha dalili zote.

Sasa hivi kufungwa magoli machache wataacha kuongea maana wako sawa na man city.


Swala la upepo kukata liko kwa kila timu,ni swala la muda tu naona saizi imefika zamu ya chelsea. Sasa mashabiki hawataki kukubali
Wanataka wawe wanamuweka Kepa na ndipo watakapo kuwa wanaoga magoli
 
Hahahah na bahati yenu.... Mlikuwa mnaenda sare.
Umesha sema tulikuwa ila haikuwa , vp westham wanasemaje kwani?
Usimtukane mamba kabla hujavuka mto zile sare zetu mlikuwa mnazipigia mahesabu kwamba tumefungwa mara kadhaa haya sasa leteni na sasa hizo stastics ili tuone sisi tumefungwa mara ngapi na nyie mara ngapi .
Mkuu msiwe mnatukana mamba kabla hamjavuka mto OllaChuga Oc
 
Mnavolalamikiana mtasema mnashindaga kila siku au mmesahau hizi ndy miezi zilizo mshinda lampard.


All in all kichapo kiendeleee.
Sasa na we umeongea nn!!...Chelsea mpk sasa msimu huu michuano yote kafungwa mara 3 ktk mechi 10+ ..Vs juve , Vs city na westham ....Afu hizo mechi zilizobaki alikuwa anafanya nn? .... Yaan chuki hizi

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Adjustments.jpg
 
Kuna watu waliamini hatutofungwa?

Kama ile Barcelona ya moto ilifungwa na Osasuna! sisi ni nani tusifungwe?

Bayern ya moto imeshapasuliwa mala mbili na vitimu vya kawaida kabisa, Chelsea ni nani asifungwe?

Binafsi nashukuru tumefungwa leo maana huenda tusifungwe tena!

Kwenye kufungwa ndio kwenye kulekebisha makosa.
Man City alishawapasua darajani bado anawapasua tena hapo Etihad
 
Kwa kikosi gan mlichonacho au uwezo gani ....pumzi yenyewe imeshakata saizi tunawabonda nje ndani ...hata tukikutana fa ,uefa hata mtaani ni kuwachapa tu ,hakuna namna.....

Mkuu uko sahihi kabisa ila watakuelewa baadae.

Kwa mtu anaejua mpira chelsea ndio inaanza kupotea hivyo.epl kugumu sana tayari wameshawajulia hao.

Sasa vichapo kwakwenda mbele.msimu ujao huyo kocha wao watamtimua tu,Epl naijua vizuri.
 
Huyo alishaanza kusomwa mbinu zake ukijumulisha na mfumo wake mmoja Kila game ndo kabisaa Afuu na first eleven yake Ileile kila game kitu kinacho fanya overloaded Kwa wachezaji na kusababisha idadi ya injuries kuongezeka,
Cheki hii ng'ombe kwani klopp anamifumo mingapi toka amekuja liverpool ? Unatumia base gani kusema amesomeka wakati tofauti yake na wa kwanza ni chini ya point 3
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom