Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hahaha wamelala tena
 

Attachments

  • FB_IMG_16385151147320421.jpg
    FB_IMG_16385151147320421.jpg
    32.9 KB · Views: 11
Tangu hizo takataka za top 4 ziwe zinaanza kila mechi tumekuwa tukibahatisha matokeo na leo bahati haikuwa yetu. Hii iko wazi, pale gap itakapoongezeka ndio mtaelewa nina maana gani. Siajsema hao wachezaji sio wazuri, ni lugha ya msisitizo tu nimetumia na ndio maana nikayaita takataka za top 4
Hivi nikuulize kweli ODOI NI BORA KWA PULISC? NIJIBU PLZZZ
 
That's it. That seals the deal. I am no longer a Chelsea fan. I’ve been a fan since 1992 and a season ticket holder since 1996. I won't be renewing my plan next season, nor will I watch on TV ever again. Mendy is officially the worst goalkeeper in football history.
ESPN FC on Twitter: "West Ham have beaten Chelsea, Liverpool, Man City, Man United, Tottenham and Leicester this season. David Moyes 👏 https://t.co/JLbIZz5JAr" / Twitter
 
Sasa tunahitaji miujiza kurudi kwenye top
Tufanye maombi Liverpool na Man city wapate majeruhi
Tuombe Mungu Liverpool na Man city wadrop form ya wachezaji muhimu
Haya maombi yakijibiwa tutarudi pale juu
Otherwise form ya Liverpool na Man city haitupi fursa hiyo
 
Tunaendelea kukumbushana tu ya kwamba mpaka muda huu Chelsea anshika nafasi ya tatu nyuma ya mabingwa wa epl.
Screenshot_20211204-210957.jpg
 
Baada ya mechi TT anasema
  1. Kai na Alonso wametolewa kwa sababu ya maumivu
  2. Jorginho anacheza akiwa anaumwa
  3. Mendy anapitia rough period na leo hakuwa kwenye ubora wake katika kufanya maamuzi sahihi
  4. Mechi na Manure tungeshinda ila makosa yametugharimu
  5. Leo tena makosa yametugharimu kupoteza mchezo
  6. Tuna wachezaji waliozidiwa (Overloaded) kwa sababu ya ukaribu wa mechi zetu
  7. Ubora wa uchezaji wetu haujaporomoka ila ukiwa unatoa magoli marahisi kama hizi sio kawaida yetu. Tumefanya makosa makubwa yaliyopelekea nafasi kubwa na magoli marahisi kwa wapinzani wetu
  8. Tusipofanya makosa makubwa kama hizi, tuna nafasi kubwa sana ya kushinda mechi zetu
 
Yaan Sijui Ntaambia nini watu, hapa nilipo nipo kama Nimepigwa na Kitu kizito sana Kichwani..... Natamani kulia Nashindwa, Hasira sijui nizihakishie wap hizii yaan nimevurugwa kbsa na haya matokeo...

Poleni sana Chelsea wenzangu pia poleni sana wale ambao mko kweny hali kama yangu
Mudi yangu imeharibika vibaya kwa Liverpool kuchomoka kwenye dakika za majerihu loh!!!!! Ila mie nawakika epl tunaibabe tu kwasabb zifuayazo:

First 11 yetu majerihu wengi.
Tuna kikosi kipana hatumtegemee mchazaji moja
Sala na Mane wakirudi Africa Liverpool inakua aina meno tena.
Mancity inafungwa sio timu inaotisha kivile, kwenye epl.
TT ana binu nyingi za kubadili team na aina ya mchezo.
Kwahiyo wana Chelsea msihofu sana tuwe na roho ngumu kama arsenal na Man u, hatawakiwa kwenye nafasi ya uropa wanaendelea kushangilia tu.
 
Sasa tunahitaji miujiza kurudi kwenye top
Tufanye maombi Liverpool na Man city wapate majeruhi
Tuombe Mungu Liverpool na Man city wadrop form ya wachezaji muhimu
Haya maombi yakijibiwa tutarudi pale juu
Otherwise form ya Liverpool na Man city haitupi fursa hiyo
Huna haja ya kumuombea adui Yako njaa... Inatakiwa uangalie umekosea wapi upambane na Hali yako,,,
 
Ficha ujinga wako, Mendy bado ni bora. Kufugwa leo magoli 3 haimaanishi kuwa sio bora. Kwa sasa ukimtoa Salah, Mendy ndio anaefuatia kwa ubora.
Ubora unakuwepoo na unaondoka,ubora hufi nao
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom