Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Usiwe kigeugeu huyu keppa magoli ya ujinga kama hayo alipigwa mengi tu, medy hana kosa alicheza vizuri, kwanini alete kona wakati mpira alikua ameumudu, isipo kua yule striker ndo alikua mjanja kulazimisha fauli...........ila mjifunze kua na misimamo msiwe kama wale man na arsenal wanao fuata upepo wamatokeo.
Koma kabisa, kuwa na adabu bwege wewe
 
images (9).jpeg
images (9).jpeg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom