Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Du injuries nazo ni mtihani mkubwa sana TT inabdi abadilike mendy nae leo kacheza hovyo sana hakuna hata wa kumtetea


Game moja tumeruhusu goli 3???
Ugumu wa Chelsea wachezaji wake muhimu sana wameumia ilihali Man City na Liverpool hawana majeruhi ya wachezaji muhimu.
 
Usiwe kigeugeu huyu keppa magoli ya ujinga kama hayo alipigwa mengi tu, medy hana kosa alicheza vizuri, kwanini alete kona wakati mpira alikua ameumudu, isipo kua yule striker ndo alikua mjanja kulazimisha fauli...........ila mjifunze kua na misimamo msiwe kama wale man na arsenal wanao fuata upepo wamatokeo.
Jorginho ndiye aliyetoa boko, lawama kwa kipa mnamsingizia bure tu
 
Yaan Sijui Ntaambia nini watu, hapa nilipo nipo kama Nimepigwa na Kitu kizito sana Kichwani..... Natamani kulia Nashindwa, Hasira sijui nizihakishie wap hizii yaan nimevurugwa kbsa na haya matokeo...

Poleni sana Chelsea wenzangu pia poleni sana wale ambao mko kweny hali kama yangu
 
Uenyekiti wa EPL umeishia rasmi leo kwenye uwanja wa London Stadium, tunaanza upya tukiwa nafasi ya tatu.
Mentality ya wachezaji kwenye ubingwa ulishaisha siku nyingi, kama mechi nne au tano hivi zilizopita tumeponea tu chupuchupu
Hata Silva ameanza kucheza hovyo, Jorginho ndio huyo karibu tunazoea ufyongo wake,
Timu imejaa matakata mengi ya top 4 sio wachezaji wa ubingwa
From RLC, Odoi, Ziyech, Alonso,
Tuombe Mungu majeruhi zetu warudi kabla gap haijawa kubwa
Tuyaache haya maneno, tukiwa tunashinda huwa hatuyasemi ila siku tukifungwa tunaanza tim yetu imejaza matakataka,
Kuna game unacheza vibaya unapata matokeo na kuna game unacheza vizuri hupati matokeo na kuna game unacheza vibaya na unaadhibiwa

Tumekuwa tukifanya individual mistake hiv karibun,

Remember injury nazo zinaturudisha nyuma, chilwell,kova,kante,chalobah na leo tena kai kaumia tena

Bado tupo kwenye mbio, if tukistahimili vizuri huu mwezi .
 
Lukaku without Conte!.





#TrollFootball
IMG_20211204_174508.jpg
 
Yaan Sijui Ntaambia nini watu, hapa nilipo nipo kama Nimepigwa na Kitu kizito sana Kichwani..... Natamani kulia Nashindwa, Hasira sijui nizihakishie wap hizii yaan nimevurugwa kbsa na haya matokeo...

Poleni sana Chelsea wenzangu pia poleni sana wale ambao mko kweny hali kama yangu
Muone Doctor

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Ng'olo Kante, Kovacich na Chilwel wamechangia sana Chelsea kuyumba namna ya kushinda hivi karibuni.
Chilwel ndie mchezaj tutakaemmiss sana, Alonso hawezi tupa vitu anavyotupa chilwel

Chilwel + James ndio wanafanya mfumo wetu uonekane imara kwenye kushambulia, kutokuwepo kwa chilly upande wa alonso hakuna hatari yoyote
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom