Kuhusu kutengeneza nafasi chache za kufunga jibu ni kwamba pale mbele kuna uzembe au ubinafsi unaanza kutamalaki.
Kabla ya Lukaku kuja pale mbele vijana walikuwa wanapambana haswa kufunga na kutoa assists, kosa kosa za kumwaga
Huyu Mount wa sasa ni tofauti na Mount wa msimu ulioisha, Werner amepunguziwa dakika za kucheza ule utengenezaji wake wa nafasi za kufunga upo benchi, Pulisic spana mkononi, Ziyech anajulikana ni pure selfishness
Chief ujio wa Lukaku kuna watu wanategea pale mbele, wamemtwisha Lukaku mzigo wote. Mount, Ziyech hawawajibiki kumtengenezea Lukaku magoli
Ukiangalia magoli aliyofunga Lukaku hakuna assists hata moja kutoka pale mbele (Ziyech, Mount, Kai).
Pale mbele kuna tatizo kubwa sana, Pulisic angekuwa full fit, Ziyech ni benchi na auzwe kabisa dirisha lijalo.
TT amrudishe Werner 1st eleven atamsaidia sana Lukaku.