Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Uongozi wa Chelsea wanasubiri nini kumpa Rudiger mkataba?????????????????????????
TELEMMGLPICT000270908096_trans_NvBQzQNjv4Bq6844extr6dIv-d8O8PIpPjlPXAu0p3NtgZumIx9lFXo.jpeg
 
Lukaku jana hajafunga ila alitengeneza nafasi mbili za wazi sema waliotengenezewa nafasi hawakutumia nafasi hizo.
Ndipo ninapompendea mwamba, kwamba akibanwa huwa anatambua wengine wanaweza kufanya vizuri kwaajili ya timu, so huwa hana uchoyo.

Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
 
Hiyo gemu na man shity ni droo
Huyo city tumpige Mara ngap mkuu? Wiki ijayo tunakamilisha ratiba tu hadi sasa tunaongoza 2 bila. Wewe kuku tulikukosa kosa kwa sababu mlikuwa uwanjani wachezaji 12 na refaree wakati sisi tulikuwa 10 tu
 
Spurs sasa wanavuna jeuri yao ya kumzuia Kane asihame, Kane tangu ligi ianze yaani yuko butu, anajichezea tu uwanjani ili muda upite, hadi januari, Spurs hawatakuwa na hamu naye na itabidi walazimike kumuuza kwa bei chee. Wapuuzi wale wangepokea pesa nyingi msimu wa kiangazi wakazembea
Hata wangeturuhusu sisi tungetoa pesa za kutosha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom