ryana fan
JF-Expert Member
- Apr 27, 2018
- 2,632
- 3,056
Tulia hapo hapo next meeting anatolewa mtu roho
Sawa sawa ivi unakutana na nani next weekend
Tulia hapo hapo next meeting anatolewa mtu roho
Mtaongea yoteUjue nyi vinabo kimasihara mnaweza nyanyuka na ligi wa kuwazuia ni liva nafikiri
Leo siku yake haikuwa nzuriPale mbele combination ni:-
WERNER - LUKAKU - MOUNT/PULISIC (Full fit)
SUB:- Harvetz, Ziyech
Halafu huyu dogo MOUNT sijui nini kimempata anavurunda ile mbaya
Wewe unaharibu karamu yako kwa ajili ya hao vibondeMtaongea yote
Spurs au liva sina uhakikaSawa sawa ivi unakutana na nani next weekend
Kila kituMtaongea yote
Msiwe mnakuja na matokeo mfukoni akipangwa mchezaji fulani.Sina la kuongea kuhusu Kepa ila Chelsea naipenda sana
Nisamehe leo sikuwa na imani na Kepa, Pamoja na mabeki kucheza vizuri hasa Silva (MOTM) naona leo Kepa kajitahidi, amedhibitisha kuwa bado yupo na anafaa kuwa sub ya MendyKeppa leo anatoa clean sheet.
Mzee Chelsea kule nyuma kumebalance kabisa shida waliokuwa wanakwamisha n kina. Mount kule mbeleImebidi niende kuangalia mechi baada ya goli la pili
Naimani Tuchel atalisorve vzuriMimi sina imani na kule mbele LUKAKU hapati huduma inavyotakiwa
Mbona kama unajisifia kupigwa tanoTuache na team yetu, kwan baada ya kufungwa 5 ikawaje.? Tumechukua UCL + super league na sasa tunapambania EPL tukiwa tunaongoza ligi na huyo aliyetufunga 5 yupo championship ligi tarajiwa ya arsenal