Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Picha lenyewe
255784913241_status_2a83f9c57cea4b9ea34c254002a3a57d.jpg
 
𝐓𝐔𝐂𝐇𝐄𝐋 𝐀𝐋𝐈𝐇𝐈𝐓𝐀𝐉𝐈 𝐃𝐊 𝟒𝟓 𝐓𝐔 ....

Kipindi cha kwanza Nuno Santo alipatia mbinu na shape ya timu yake ..alitengeneza shape ya Diamond ( Alli, Lo Celso, Ndombele na Pierre ) ..kwenye mbinu ni pale alipoamua kuwa press Chelsea wakianza nyuma ( Kane, Son na Lo Celso ) wote wanawapa presha Silva, Christensen na Rudiger huku Alli akifanya " Man Marking " kwa Jorginho na matokeo yake Chelsea walikuwa wanapoteza mipira kirahisi . ....

Kwanini Spurs walishindwa kutumia hiyo faida kipindi cha kwanza ?? Tunaamini hakuna mtu mmoja anaweza kuzuia peke yake ... lakini Thiago Silva alikuwa daraja la pekee yake, alinusa hatari vizuri kuondoa mipira, alifika kwenye mwili wa Kane na Son pale alipotakiwa na aliondoa presha kwa kuchukua mipira kwa Kepa kuanzisha mashambulizi kwa mipira mirefu ili kukabiliana na press ya Spurs .

Kipindi cha pili Thomas Tuchel alijibu mapigo kuingia kwa Kante kuliongeza idadi ya viungo kwa Chelsea ili kukabiliana na namba ya Spurs ...lakini Kante alichofanya ni kuomba mipira nyuma ya safu ya kiungo ya Spurs ...lakini sio katikati bali kulia na kushoto kwa Pierre na hapo shida ndio ilianza kwasababu Alli harudi nyuma wala Lo Celso wala Ndombele . Kante alikuwa nusu kiungo mshambuliaji na nusu kiungo wa kati ( katika hali mbili Chelsea wakiwa na mpira na bila mpira ) .

Hii ni mechi ambayo pia Santo angetamani kuwa na Lucas Moura ...mchezaji ambaye anaweza kukimbia na mpira lakini pia anaweza kushambulia " space " nyuma ya viungo . Ndombele , Lo Celso na Alli wote kipindi cha pili walikuwa wanacheza mbele ya viungo wa Chelsea kitu ambacho rahisi kukabiliana nacho

NOTE

1: Muundo wa uzuiaji wa Chelsea ni hatari upo imara sana hasa wakipoteza mpira ...kila mchezaji anajua nini cha kufanya

2: Harry Kane ndio maana alitaka kuondoka Spurs ...sasa hivi anatamani angekuwa jezi ya Blue ( Chelsea ) au Blue bahari ( City )

3: Uimara wa Chelsea unaokoa kiwango cha chini cha Mount, Havertz, Ziyech

4: Thiago Silva ...umri ni namba tu , kwangu mimi ndio Man of the Match

5: ATAKAYEMALIZA JUU YA CHELSEA NI BINGWA .....CHELSEA NI BEST TEAM IN THE LAND Hands up
 
𝐓𝐔𝐂𝐇𝐄𝐋 𝐀𝐋𝐈𝐇𝐈𝐓𝐀𝐉𝐈 𝐃𝐊 𝟒𝟓 𝐓𝐔 ....

Kipindi cha kwanza Nuno Santo alipatia mbinu na shape ya timu yake ..alitengeneza shape ya Diamond ( Alli, Lo Celso, Ndombele na Pierre ) ..kwenye mbinu ni pale alipoamua kuwa press Chelsea wakianza nyuma ( Kane, Son na Lo Celso ) wote wanawapa presha Silva, Christensen na Rudiger huku Alli akifanya " Man Marking " kwa Jorginho na matokeo yake Chelsea walikuwa wanapoteza mipira kirahisi . ....

Kwanini Spurs walishindwa kutumia hiyo faida kipindi cha kwanza ?? Tunaamini hakuna mtu mmoja anaweza kuzuia peke yake ... lakini Thiago Silva alikuwa daraja la pekee yake, alinusa hatari vizuri kuondoa mipira, alifika kwenye mwili wa Kane na Son pale alipotakiwa na aliondoa presha kwa kuchukua mipira kwa Kepa kuanzisha mashambulizi kwa mipira mirefu ili kukabiliana na press ya Spurs .

Kipindi cha pili Thomas Tuchel alijibu mapigo kuingia kwa Kante kuliongeza idadi ya viungo kwa Chelsea ili kukabiliana na namba ya Spurs ...lakini Kante alichofanya ni kuomba mipira nyuma ya safu ya kiungo ya Spurs ...lakini sio katikati bali kulia na kushoto kwa Pierre na hapo shida ndio ilianza kwasababu Alli harudi nyuma wala Lo Celso wala Ndombele . Kante alikuwa nusu kiungo mshambuliaji na nusu kiungo wa kati ( katika hali mbili Chelsea wakiwa na mpira na bila mpira ) .

Hii ni mechi ambayo pia Santo angetamani kuwa na Lucas Moura ...mchezaji ambaye anaweza kukimbia na mpira lakini pia anaweza kushambulia " space " nyuma ya viungo . Ndombele , Lo Celso na Alli wote kipindi cha pili walikuwa wanacheza mbele ya viungo wa Chelsea kitu ambacho rahisi kukabiliana nacho

NOTE

1: Muundo wa uzuiaji wa Chelsea ni hatari upo imara sana hasa wakipoteza mpira ...kila mchezaji anajua nini cha kufanya

2: Harry Kane ndio maana alitaka kuondoka Spurs ...sasa hivi anatamani angekuwa jezi ya Blue ( Chelsea ) au Blue bahari ( City )

3: Uimara wa Chelsea unaokoa kiwango cha chini cha Mount, Havertz, Ziyech

4: Thiago Silva ...umri ni namba tu , kwangu mimi ndio Man of the Match

5: ATAKAYEMALIZA JUU YA CHELSEA NI BINGWA .....CHELSEA NI BEST TEAM IN THE LAND Hands up
Nimependa alivyomaliza mwshoni,
 
Hawa liverkuku wapo serious aisee. Huyu ni kwenda naye jino kwa jino tusipoteze mechi kizembe

Nyumbu wanatania/masihara mengi Kwenye kupambania ubingwa

City hayuko tayari kutetea ubingwa
Liverpool and Chelsea are matching each other this season

Week 1:
Liverpool win 3-0
Chelsea win 3-0

Week 2:
Liverpool win 2-0
Chelsea win 2-0

Week 3:
Liverpool draw 1-1
Chelsea draw 1-1

Week 4:
Liverpool win 3-0
Chelsea win 3-0

Week 5:
Liverpool win 3-0
Chelsea win 3-0

IMG_20210919_215858_096.jpg
 
Leo nitakuwa na kvant bapaa kubwa kabisa pembeni nikashuhudie jinsi hawa madogo wa darajan wanavoteseka na mashot ya son &kane.,..


Hakuna Raha Kama kuona Chelsea inafungwa



Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Thomas Tuchel is now unbeaten in 6 straight away games against the ‘big six’…

0-1 vs Tottenham
0-1 vs Liverpool
1-2 vs Man City
0-2 vs Arsenal
1-1 vs Liverpool
0-3 vs Tottenham
 
Nimeanza kuamini maneno ya Thomas Tuchel ya kwamba anataka kutengeneza timu ambayo hakuna timu itapenda kucheza na wao!


Yaani ni shida yaani ni shida....


Alafu nimemsikia Michael Owen akichambua mchezo wa leo kasema kwa uwazi kabisa kuwa Chelsea atakuwa Bingwa kutokana na ubora wao na wanavyocheza. Na kwamba ili timu iweze kuwafunga Chelsea lazima iwe na ubora kuwazidi wao...
 
Kumbe Mount katoka ndio maana Chelsea imebadilika
Hivi kwanini wachezaji wengi wa U.K huwa hawana uwezo wa kutetea vipani vyao kiubora kwa muda mrefu?

Mount tuliyenaye msimu huu ni tofauti sana kwa 50% ya yule tuliyekuwa naye msimu uliopita.

Kanikumbusha Bahanuz wa Yanga FC

Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom