ryana fan
JF-Expert Member
- Apr 27, 2018
- 2,632
- 3,056
Mkuu KANTE ni mchezaji wa Dunia. Anajua apeleke mpira wapi. Kante bado anTamani kushinda Mataji mengiWakuu hbr za leo... Uchambuzi wangu wa leo ni huu hii sub ya kumtoa Mount na kumuingiza Kante ni bomba la Sub yaani Spurs wamepotea kabisa!
TT ni master wa mbinu....
Tuendelee kushangilia ushindi
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app

