Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Ivi chelsea nayo timu?ushindi wa magumashi ndo unawafanya muwe wehu ivo subilini kihama chenu kwenye makundi kama mtapita nta ku.nya barabarani.
 
BREAKING NEWS: Chelsea fans have signed a 2 year extension at the club. The fans, who joined the club in 2003 had been linked with
Man City.
 
ukitaka kujua chelsea inapendwa subili kesho uone watu watakavyo pendeza kwenye pamba za bluee...hahahaaaa...sijui Paw kanuna au kafurahi...weraweraaaaa...
dubu I am happy for Drogba kufanikisha ndoto aliyokuwa nayo kitambo....
 
Last edited by a moderator:
G8 Leaders Watch Soccer Game At Camp David

World leaders: they're just like us.
After this year's G8 summit concluded in Camp David, President Obama joined Angela Merkel and David Cameron to watch the end of the Champions League final.
David Cameron cheered on underdog Chelsea as they scored a dramatic win over Germany's Bayern Munich. Merkel looked less than pleased.
The victory was a first for the UK team, who won in overtime.
Check out photos of Obama, Merkel, Cameron, Francois Hollande and European Commission President José Manuel Barroso watching the game below. Images are courtesy of the White House's Flickr account.
o-G8-LEADERS-SOCCER-570.jpg




o-G8-LEADERS-SOCCER-570.jpg
 
...Watani wetu kina Idimi, Belo, BelindaJacob...Man U hivi walishinda nini vile msimu huu?....:lol:

@Ab-Titchaz, Acha uchokozi, sie tumetulia kimyaaaaa!
Kumbuka kwamba hili kombe Chelsea walilikosa mikononi mwa Man U tar 21 mwezi kama huu 2008, kwa hiyo mmefuata nyayo zetu.
By the way nimefurahi kwamba kombe limebaki Uingereza
 
hata mimi nimefuai kombe kubaki England ila ................................
 
If Di Mateo was in the titanic would have saved it! There is only one team in London
kweli ulisema mnaedna kama chipolopolo,niliamini maneno yako toka mlivyomtoa fc barcelona iliniuma sana ndio timu yangu,ila hongereni sana.
 
Big up sana Chelsea! Waungwana ndo nimerejea toka peponi, baada ya bao la penati ya Droga kunuhamisha kabisa duniani! nasikitika nimerejea ila sauti yangu nadhani bado nimeiacha peponi, kwa furaha na makelele! Ilikuwa raha iliyoje! nashukuru pia kuwa throughout the game hata tulipokuwa a goal down, bado nilijua game bado ni letu na eventually tuingeshinda! hata penati ya Robben niliwaeleza washikaji kuwa hapati goli jamaa!!! sijui ni confidence aliyoijenga Di Mateo imeniingia na mimi au ni lady lucky ambaye amekuwa nasi kila mechi za Ligi ya Ulaya, ila kwa kweli niliweza kuona jinsi jamaa walivyokuwa wakijituma kuhakikisha mechi tunashinda! Asante Chelsea nzima. Ila my men of the match ni Mikel Obi, David Luiz na Cech! siwezi kumchagua mmoja kati ya hao!
 
They weren't better than Benfica, Napoli, Barca and Bayern, but they did it. What a miracle!
 
Kwa mara nyengine tena, HONGERA SANA WANA CHELSEA WOTE - Kuanzia wachezaji, kocha, meneja, wanachama, wapenzi, hasa muanzisha uzi huu Sanda Matuta na Ab-Titchaz, Bantugbro, CUTE, Dark City, dilu, Erickb52, escober, GITWA, Invisible, ITEGAMATWI, Level, Kongosho, Saint Ivuga, Mentor, Mnandi, MPAMBANAJI.COM, Nyamizi, palalisote, Peasant, utantambua....orodha inaendelea; bila ya kuwasahau WAPINZANI.

Ningependa wanaoelewa kinachoendelea ndani ya Chelsea, kulikoni Torres? Amekuwa mramba benchi kwa muda mrefu, enzi zake zimekwisha? Hana maslahi tena kwa timu? Kuna mpango gani juu yake, anabaki au atahamia kwengine?
 
Kwa mara nyengine tena, HONGERA SANA WANA CHELSEA WOTE - Kuanzia wachezaji, kocha, meneja, wanachama, wapenzi, hasa muanzisha uzi huu Sanda Matuta na Ab-Titchaz, Bantugbro, CUTE, Dark City, dilu, Erickb52, escober, GITWA, Invisible, ITEGAMATWI, Level, Kongosho, Saint Ivuga, Mentor, Mnandi, MPAMBANAJI.COM, Nyamizi, palalisote, Peasant, utantambua....orodha inaendelea; bila ya kuwasahau WAPINZANI.

Ningependa wanaoelewa kinachoendelea ndani ya Chelsea, kulikoni Torres? Amekuwa mramba benchi kwa muda mrefu, enzi zake zimekwisha? Hana maslahi tena kwa timu? Kuna mpango gani juu yake, anabaki au atahamia kwengine?

Mammamia,kuwa bingwa kuna raha yake asikwambie mtu na hasa ukizingatia majority walikuwa wanatudharau.Kilichofanyika siku hiyo Munich (home groud ya Buyern) ni sawa na baba kupigwa na mwanaume mwenzio tena nyumbani kwako na kunyang'anywa mke lol!
 
Mammamia,kuwa bingwa kuna raha yake asikwambie mtu na hasa ukizingatia majority walikuwa wanatudharau.Kilichofanyika siku hiyo Munich (home groud ya Buyern) ni sawa na baba kupigwa na mwanaume mwenzio tena nyumbani kwako na kunyang'anywa mke lol!
Chelsea walsaidiwa sana na vitu viwili - uzoefu wa timu na imani.
Kwa uzoefu wa timu, Chelsea ina historia kubwa zaidi kuliko Bayern. Kwa imani, (Ref: Faith moves mountains) hata mara moja hawakupoteza imani hata mara moja hadi kick ya mwisho ya Didier.

Pamoja na yote hayo, ninachoamini ni kuwa historia imejirudia - kuwa hakuna timu yoyote ya nyumbani iliyowahi kuchukua kombe - Bayerns were to make history, but history has made them history.
 
Chelsea walsaidiwa sana na vitu viwili - uzoefu wa timu na imani.
Kwa uzoefu wa timu, Chelsea ina historia kubwa zaidi kuliko Bayern. Kwa imani, (Ref: Faith moves mountains) hata mara moja hawakupoteza imani hata mara moja hadi kick ya mwisho ya Didier.

Pamoja na yote hayo, ninachoamini ni kuwa historia imejirudia - kuwa hakuna timu yoyote ya nyumbani iliyowahi kuchukua kombe - Bayerns were to make history, but history has made them history.

nimeipenda hiyo.. sorry to robben n schwasteitger...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom