2012 UEFA CUP CHAMPIONS!!!!
We are simply the best in the world
Kusema kweli ninamhurumia sana Matta; laiti kukosa kwake kungekuwa sababu sababu ya kupoteza kombe, majuto angekwenda nayo hadi kaburini,na kama ni South Amerika...(malizeni wenyewe). Lakini ndio hivyo tena, Didie kavusha kombe salama kutoka Allianz Aren hadi Stamford Bridge bila ya kuwasahau 1st&2nd Rear Admirals Abramovich & Di Mateo.both of them miss out penalty kick..
Hongereni sana Bluz, bro Peasant, Ab Tchaz, Invisible et al, you guys i seconded you till day one, u made it. Sipati picha Peasant jana alikua na hali gani....
Very best for that matter, everyone wrote us off... ba sasa tumewaonyeshaWe are simply the best in the world
No t London, we are the Kings of EuropeIf Di Mateo was in the titanic would have saved it! There is only one team in London
If Di Mateo was in the titanic would have saved it! There is only one team in London
Aaa wapi!! Na hao utakaowatambia labda hawajacheki ball fresh weweee au wale wakusimuliwa.....Chelsea kesho hata hamniambii kitu atii, japo nakubali nyota nyeupe ilikuwa upande wenu!
If Di Mateo was in the titanic would have saved it! There is only one team in London
It plays in blue.
Fantastic Chelsea, the pride of London.
Aaa wapi!! Na hao utakaowatambia labda hawajacheki ball fresh weweee au wale wakusimuliwa.....Chelsea kesho hata hamniambii kitu atii, japo nakubali nyota nyeupe ilikuwa upande wenu!