Bosi anataka timu yake icheze kama Barcelona!! De Mateo hawezi kuifanya timu iwe na staili hiyo ya uchezaji!Chalsea bana pamoja na mafanikio yote aliyoonyesha De mateo eti bado wanasuasua kumpa kazi parmanent
FAREWELL DIDIER DROGBA
It's sad to see our legend Didi leaving the club. Thanks for your fantastic service to club, I can't forget all those finals goals and 13 you put up the fat Arses in 13.
We wish you all the best in your new challenge.
KTBFFH
Peasant, Masanilo, Ab-Titchaz, Invisible, Sanda na hata wale watesi wetu haswa Wacha na Arsene Wenger, ilikuwa ni furaha isiyo kifani! Mpaka nikatoka mekoni!
KIla nikipata dakika tano na-rewing the final 3 minutes of the game na zile penati, and I wish there was a 360 coverage to see everything happening at the same minute!
Farewell Drogba, Kalou, Bosingwa, Maluda and so is Essien who I think if Modric moves to the Bridge, Essien ndo kwaheri! Pale nyuma Obi keshakwaa namba! Betrand ndo anapanda, Sturridge, anaweza temwa tuu, we need few new faces to join Cech , Cole, Brani, Terry, Obi, Mata, Laps, Torres, Ramires the Mchawi, Mireles na wengine wasugua benchi wa kawaida!
HATIMAYE TUMEMNASA EDEN HAZARD HULK NA MARIN ni full shwange msimu ujao wapinzani wetu mlie tu ni mwendo wa full shangwe
kweli ulisema mnaedna kama chipolopolo,niliamini maneno yako toka mlivyomtoa fc barcelona iliniuma sana ndio timu yangu,ila hongereni sana.
Hongereni wakuu kwa kununua CL khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
nasikia Abraham O vich anataka kutumia tena £1 billion ili mshinde tena. Phew who want to watch any game you play anyway?
Nasikia Peas of ant baada ya kupotea kwa msimu wote ati naye yupo amerudi kwa aibu kubwa bila ya kumsahau Invisible na Mungiki brother et al muwe basi mnakaa hapa na kuonekana wakati wa msimu sio mnarudi tu mnaponunua ushindi.
BTW nimeona leo mmemfungulia Wacha1 nitamtaarifu ili aje awape vidonge vyenu.
chelsick! msimu ukianza thread inakuwa jumba bovu kwa vichapo mnavyopokeaa!!