wanapeana sifa tu wnaobeba makombe makocha wa kigen..!!Hakuna kocha wa kiingereza alie fanya vizuri
wanapeana sifa tu wnaobeba makombe makocha wa kigen..!!Hakuna kocha wa kiingereza alie fanya vizuri
Tulia wwe lamupedi ni mkubwa kuliko ako katimu kenuLampard afukuzwee awezi leta komba lolote darajani
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app


Lampad ni kocha bora apewe mitano tenaApewe muda wa kutosha et
Daraja lishavunjikaTunakuja kuvunja daraja
Citizen chairman
Wanatak kufungwa gemu zoteSasa nyie Chelsea msimu huu mnataka nini
Mimi naona bora muanze kuvuta Bangi Kama Lampard tu
Hakuna namna nyingine
Tuwape williamFununu za usajili zinasema Chelsea inamfukuzia Donnaruma. Yaani ikimsajili itakua na makipa wawili ambao kiwango chao kinawaruhusu kua first team.
Nafasi ya ukipa hadi umpiku mwenzako ni ngumu sana. Martinez akaona bora aende Villa ili awe kikosi cha kwanza, Mendy alikubali kuja chelsea akijua wazi anakua kikosi cha kwanza.
Donnaruma hawezi kuja kama hatohakikishiwa kuanza. Au labda recruitment ya chelsea ina mpango wa kumtimua mendy.
So chelsea itakua na mendy, kepa, cech na donnaruma kwenye benchi
Wote hakuna kitu tumsubili brendan RogersTofauti ya Tushel na Lampard ni upara tu. Kwenye hiyo list afadhali Allegri wengine tia maji tia maji
Sasa si bora nibaki na Chelsea yangu ..hii arsenal hata mwinyi mahera anaeza kufundishaOlachuga a.k.a ole chunya karibu chama kubwa aseno de guners mabigwa wa epl usiulize epl ipi ila karibu mno
London is red![]()



Kuna mchezaji anaeza mkata namba Kante apo man u?Wakuu hivi kante bado anacheza mpira
Kwani kuuza mikate kauzwa mazima?Bakari muuza mikate kaacha pengo cheltako siyo kwa Vipigo hivi
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Kuna mchezaji anaeza mkata namba Kante apo man u?
Hii ishu ya Lampard kugewa ultimatum niliiona sehemu. Katika hao makocha bora Allegri, Tuchel miyeyusho, ligi ya wakulima na kikosi kama kile aliyoyafanya hata hayampendezi Mungu.Watatu hawa kumridhi Lampard, Mazungumzo ya kumtimua yameanza
Madai ni kwamba Lampard kapewa muda na hakuna hata dalili za mbinu zake kuleta matunda yeyote pale darajani
- Tuchel - Katika timu kubwa alishaifundisha Dotmund miaka miwili na PSG miaka miwili na nusu ligi ya wakulima wining %age ni 74 akiwa PSG
- Allegri amefundisha muda mrefu vitimu vidogo, Juve kifundisha miaka 5 na wining %age ya 70% akiwa Juve
- Avram Grant - Hana uzoefu wowote zaidi ya kuifundisha Chelsea 2007/8 na Westham 2010/11. Hakutoka Chelsea vizuri kwani wachezaji hawakumpenda kwa sababu ufundishaji wake ni wa kizamani mno miaka 25 iliyopita na hakuwa na mbinu zozote za kisasa kwa wakati huo wa 2007/8. Sasa tuko 2021, si atakuja na mbinu za miaka 40 iliyopita?
Giroud ajaflop sema nafasi apewi na hata akipewa nafasi hizo chache anafanya kweli kwahiyo mtoe kwenye Hiyo list.Chelsea fc under LAMPARD
Werner flop
Ziyech flop
Pulisic flop
Giroud flop
Odoi flop
Kante flop
Joginho flop
Azipu flop
Kovacic flop
Keppa flop
Rudger flop
Barkley flop
Abraham flop
Harvetz flop
Basi Lampard apewe pesa ya usajili anunue wachezaji 8 wapya.
Chelsea fc under LAMPARD
Werner flop
Ziyech flop
Pulisic flop
Giroud flop
Odoi flop
Kante flop
Joginho flop
Azipu flop
Kovacic flop
Keppa flop
Rudger flop
Barkley flop
Abraham flop
Harvetz flop
Basi Lampard apewe pesa ya usajili anunue wachezaji 8 wapya.
mimi wakinipa kai tu hapo, nabeba epl mapema tu....Mbinu bana hao hawajafloap unafikir akipewa rogers au yule kocha wa spurs wa zaman darajan patakuwa sehem rahisi?
Kwani mmepona?chelsea kazaneni hiko kijiti mumpe liverpool, wakati arsenal tunazingua mlijiona wajanja, mlituacha point 11, muda huu zimebaki 2,
au nasema uongo ndugu zangu?
msema kweli ni mpenz wa Mungu....
Pepe mnao, Kai wa nini tenamimi wakinipa kai tu hapo, nabeba epl mapema tu....