Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

IN FL WE TRUST
Lampard apewe muda, msimu uishe ndio tupige mahesabu

Hahahaha ngoja mkapigie hasebu mkiwa championship huko mkuu natania bana mtakaa sawa tu Muombeni Mungu sana mfunge kula na kunywa miezi 6
 
Habr zenu wana Blues wenzangu. Heri ya Mwaka mpya; poleni sana kwa kuufunga Mwaka na Kuufungua kwa Vipigo. Siku izi hadi naliogopa hili jukwaa nalipita kwa majonzi makubwa bila kuwa na Udhubutu hata wa kulifungua.

Huku mtaani, Kazini na kila kona wanaonifahamu ushabiki wangu kwa Chelsea kila nionanapo nao nakuwa na Fadhaa tupu maana nachekwa na kukejeliwa mpka na Mashabiki wa Arsenal! Naumia sana ila naona kwa haya yaliyotukuta kwa Game za mzunguko wa kwanza yanatoshaa. Nina Imani mzunguko wa pili utakuwa na Mwanga sana kwetu. Tuzidi kuwa Na Moyo na Timu yetu. Tumeipenda wenywe kama ni kutuua acha ituue
 
Nakumbuka MONACO WALIMPA KAZI TIERY HENRY LAKIN WAKAMFUKUZABAADA YA MECHI 3 AKAONDOKA ULA ALIKUWA ANACHAMBUA SANA KUWAKOSOA MAKOCHA WENGINE YYE AKASHINDWA KUIFUNDISHA NA YYE HUYU MTOTO WA MALKIA NAE AFUKUZWA HANA KIPYA
 
Tumejua ww si shabiki wa Chelsea we
Ndg kwani kuna kadi za uanachama au usiposema Lampard Out ndio wewe sio shabiki wa Chelsea. MIchango yangu mingi nilishasema akitupa top 4 au UEFA abaki, tukikosa zote mbili atimuliwe na kama FL ana ugomvi na baadhi ya wachezaji muhimu atimuliwe mapema maana hatutapata matokeo mazuri kama kuna wachezaji muhimu hawaridhjiki na kocha. Mfano low form ya Kante, Kovacic, Werner, Havertz, Pulisic inaweza kuwa iko related na kutokuwepo na mahusiano mazuri na kocha wao. If that is the case atimuliwe. SO mimi ni mshabiki ndaki ndaki wa Chelsea na kama mshabiki yeyote ninataka raha ambayo huletwa timu ikishinda na kubeba makombe. Lampard sio mama yangu wala baba yangu
 
Frank lampard ni moja katika ya makocha wazuri sana, yupo na
Vision, systematic, intellectual, skills bila kusahau ability

Anajenga timu ambayo naiona itakua tishio sana, trust the process.
Pengine anaweza kujenga timu tishio zaidi ya hii Liverpool ambayo klop alipambana zaidi ya miaka mitatu
Maandazi ya buza au majowe hawawezi kuelewa.

Pep guardiola msimu wake wa kwanza aliharibu sana
Arteta amedakia katika katika ya msimu. Na amefanya maajabu and still he doing fine.
Huyu ni special case tumuacheni kama alivyo

Lazima lampard apewe muda, kufanya kitu. Timu haijengwi kama nyumba kwamba kupandisha tofali tu

Mashabiki wa Chelsea mnatia aibu sana kuanzia matokeo yenu hadi jinsi mnavyofikiria
Eti "lampard atuachie timu" nyie wapuuzi mnachangia nini kwenye club??
Mwingine elimu ya msingi alimaliza kwa nguvu za viboko, et hapa nae anakosoa taaruma ya Frank

Kushabiki Chelsea kuungana na mashabik hawa nayo ni aina nyinge ya kujidhalilisha tu
 
Frank lampard ni moja katika ya makocha wazuri sana, yupo na
Vision, systematic, intellectual, skills bila kusahau ability

Anajenga timu ambayo naiona itakua tishio sana, trust the process.
Pengine anaweza kujenga timu tishio zaidi ya hii Liverpool ambayo klop alipambana zaidi ya miaka mitatu
Maandazi ya buza au majowe hawawezi kuelewa.

Pep guardiola msimu wake wa kwanza aliharibu sana
Arteta amedakia katika katika ya msimu. Na amefanya maajabu and still he doing fine.
Huyu ni special case tumuacheni kama alivyo

Lazima lampard apewe muda, kufanya kitu. Timu haijengwi kama nyumba kwamba kupandisha tofali tu

Mashabiki wa Chelsea mnatia aibu sana kuanzia matokeo yenu hadi jinsi mnavyofikiria
Eti "lampard atuachie timu" nyie wapuuzi mnachangia nini kwenye club??
Mwingine elimu ya msingi alimaliza kwa nguvu za viboko, et hapa nae anakosoa taaruma ya Frank

Kushabiki Chelsea kuungana na mashabik hawa nayo ni aina nyinge ya kujidhalilisha tu
Ila kama hana mahusiano mazuri na wachezaji muhimu atimuliwe kwa sababu hata akipewa miaka 10 hataleta mabadiliko. Mimi naamini FL ana ugomvi baridi na wachezaji muhimu ndani ya kambi ya Cobhan
 
Ila kama hana mahusiano mazuri na wachezaji muhimu atimuliwe kwa sababu hata akipewa miaka 10 hataleta mabadiliko. Mimi naamini FL ana ugomvi baridi na wachezaji muhimu ndani ya kambi ya Cobhan
Wachezaji wanasema wanafuraha na kocha,
Kama mnavyojua wazungu wanazingatia sana furaha kuliko flyover

Na pia hakuna mchezajj alielalamika


Tupaze sauti tukisema lampard apewe muda, kwa sasa yule ndio kocha wa Chelsea
 
Ndg kwani kuna kadi za uanachama au usiposema Lampard Out ndio wewe sio shabiki wa Chelsea. MIchango yangu mingi nilishasema akitupa top 4 au UEFA abaki, tukikosa zote mbili atimuliwe na kama FL ana ugomvi na baadhi ya wachezaji muhimu atimuliwe mapema maana hatutapata matokeo mazuri kama kuna wachezaji muhimu hawaridhjiki na kocha. Mfano low form ya Kante, Kovacic, Werner, Havertz, Pulisic inaweza kuwa iko related na kutokuwepo na mahusiano mazuri na kocha wao. If that is the case atimuliwe. SO mimi ni mshabiki ndaki ndaki wa Chelsea na kama mshabiki yeyote ninataka raha ambayo huletwa timu ikishinda na kubeba makombe. Lampard sio mama yangu wala baba yangu
Kwa hiyo unafikiri Lampard ana uwezo wa kutufikisha top4??! Achilia mbali UEFA.
Lampard sidhani kama na ugomvi wowote na wachezaji, ni uwezo tu wake wa ukocha ni mdogo. Ukiwa mtu wa kuangalia games za chelsea tu peke yake hautakaa ukaelewa.
 
Frank lampard ni moja katika ya makocha wazuri sana, yupo na
Vision, systematic, intellectual, skills bila kusahau ability

Anajenga timu ambayo naiona itakua tishio sana, trust the process.
Pengine anaweza kujenga timu tishio zaidi ya hii Liverpool ambayo klop alipambana zaidi ya miaka mitatu
Maandazi ya buza au majowe hawawezi kuelewa.

Pep guardiola msimu wake wa kwanza aliharibu sana
Arteta amedakia katika katika ya msimu. Na amefanya maajabu and still he doing fine.
Huyu ni special case tumuacheni kama alivyo

Lazima lampard apewe muda, kufanya kitu. Timu haijengwi kama nyumba kwamba kupandisha tofali tu

Mashabiki wa Chelsea mnatia aibu sana kuanzia matokeo yenu hadi jinsi mnavyofikiria
Eti "lampard atuachie timu" nyie wapuuzi mnachangia nini kwenye club??
Mwingine elimu ya msingi alimaliza kwa nguvu za viboko, et hapa nae anakosoa taaruma ya Frank

Kushabiki Chelsea kuungana na mashabik hawa nayo ni aina nyinge ya kujidhalilisha tu
Wewe jamaa una matusi ya rejareja
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom