Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Acha unafiki kipindi kile sisi tunamponda Lampard kuwa hafai kuifundisha Chelsea, wewe na wenzako si ndio mlikuwa msitari wa mbele Kumtetea. Leo hii ndio umegundua hafai, toka Mwanzo nilikuwa nawambia LAMPARD hafai kuifundisha Chelsea mkaniona mm sijui mpira wengine mpaka mkaniita plastiki fan
Kocha hajui chochote ukiangalia hata mpira wake ni cross juu ya cross na pass za pembeni
Mpira anaocheza yuko predictable na watu washajua,

Unamiliki possession ila hkuna chance unazocreate na wachezaji wa kucreat chances wapo, shida hapa sio wachezaji shida ni lampard
 
Tuliaaaa dawa iingie
Akiendelea kuwepo hapa Chelsea..mimi nitahamia rasimi Leicester.
#CFC
20210103_230211.jpeg
 
Acha unafiki kipindi kile sisi tunamponda Lampard kuwa hafai kuifundisha Chelsea, wewe na wenzako si ndio mlikuwa msitari wa mbele Kumtetea. Leo hii ndio umegundua hafai, toka Mwanzo nilikuwa nawambia LAMPARD hafai kuifundisha Chelsea mkaniona mm sijui mpira wengine mpaka mkaniita plastiki fan
Hakuna unafiki, mwanzon ndio nilikuwa namtetea kutokana na hali iliyokuwepo ila kitu cha kujua mambo huwa yanabadilika, na si unafiki kutokana n mwenendo wa tim jinsi ulivyo

Hata leo hii lamps angekuwa anafanya vizuri wapo ambao wangempongeza japo huko mwanzo walimkataa,

Ushabiki wa mpira ni kama bendera vile, naweza leo nikasema hivi ila baada ya muda kupita nikaja kusema vingine kinyume na vile nilivyosema mwanzoni.
 
Tukimpata kocha mzuri tukashinda kama mechi 4 mfulilizo tunarudi kwenye title contender mchana kweupe.

Timu yetu ina wachezaji wazuri sana yaani tukipata kocha mzuri akawaorganize vizuri, akawapa confidence, akaboresha viwango vyao, formations, styles na mbinu bora za uchezaji mechi zilizobaki tungefanya vizuri.

----------------- Werner------------

Pulisic ---- Harvetz ---- Ziyech

----------Kante ----- Joginho ------

Chilwell ----Thiago --- Zouma --- James

SUB:- Giroud, Odoi, Glimor, Kovacic, Mount, Giroud, Emerson, Keppa

Hivi kwa kikosi hiki mpinzani gani anachomoka hapa. Lampard aache kututania kabisa.

View attachment 1682308

naona bado mtamtafuta mchawi nani
 
IN FL WE TRUST
Lampard apewe muda, msimu uishe ndio tupige mahesabu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom