Gpili
JF-Expert Member
- May 18, 2020
- 2,179
- 2,084







acheni utani nyie 



pepe sio typical no.10, si unaona namtumia kijana mdogo tu smith rowe , natoa vichapo, sasa nikiwaPepe mnao, Kai wa nini tena
ohooo jiulize ujijibu, kwasasa linapigwa kandanda safi, mlituachw point 11 now zimebaki 2, liverpool alituacha point 17 , now zimebaki 7 nitinge top 4.....Kwani mmepona?
Wewe siyo ndugu yetu.chelsea kazaneni hiko kijiti mumpe liverpool, wakati arsenal tunazingua mlijiona wajanja, mlituacha point 11, muda huu zimebaki 2,
au nasema uongo ndugu zangu?
msema kweli ni mpenz wa Mungu....



Naomba niseme kinachomuua Lampard
Hawa wachezaji wanaifanya Chelsea ikose Consistency
- Reece James - Tatizo lake kubwa ni kwenye kukaba hasa kwa kuacha space, mfano mechi na Leicester alikuwa kila mara akitoka out of position wakati Chelsea inashambuliwa na hivyo kumpa Barnes nafasi ya kushusha mashambulizi atakavyo
- Rudiger - Japo kaiprove tangu atoke majeruhi mwaka jana Rudiger amekuwa na tatizo la concetration na kujisahau na kuacha space kubwa kwenye final third ya Chelsea
- Viungo wote wa Chelsea hawako creative, hawajui kupeleka mashambulizi mbele, hawajui kutengeneza nafasi. Kovacic ule moto wake wa mwaka jana umezima kabisa, Kante mbinu zake za kupress na kuintercept ni kama imeshapitwa na wakati, Jorginho sijui kinachomsibu ni nini kwa sababu ule uwezo wake wa kuthibiti na kuamua mpira pale katikati uchezweje haupo tena
- Havertz ndio legelege toka aje kwenda mbele ni kama hana hamu ya kuichezea Chelsea. Mtu pekee ninayemuaona anajitahidi pale katikati ni Mason Mount
- Winga na strikers wetu ovyo kabisa. Odoi akitokea sub anakuwa mzuri ila akianza anakuwa kama kiazi, Ziyech bado hajarudi kwenye form kabla ya majeruhi, Pulisic anafight lakini mambo bado kabisa. Werner kila siku inapokucha ndio anazidi kuwa wa hovyo kabisa. Katika mechi kama tatu zilizopita na kwenda huko nyuma tatizo la Werner ilikuwa ni kosakosa kwenye kufunga, sasa tatizo lake limeongozeka hata kwenye kupasi amekuwa hajiamini, butua butua kwenye kufunga na butuabutua kwenye kutoa pasi. Tammy Abraham kama kawaida yakeanajitahidi ila uwezo wake ni mdogo, bado hajakoma kwenye Big matches. Giroud wa kawaida sana lakini kwa ukweli bado hajatumiwa kama inavyotakiwa na Lampard ni kama hana mpango naye tena anafocus kuwatumia wenye umri mdogo
- Wachezaji pekee wenye consistency ni Silva,Mount, Zouma, Mendy, Giroud**
Mitano tenalampard apewe muda
au nasema uongo ndugu zangu?
Mbinu bana hao hawajafloap unafikir akipewa rogers au yule kocha wa spurs wa zaman darajan patakuwa sehem rahisi?
Shida sio wachezaji shida ni kocha ndie anawafanya wachezaji waonekane wameflopChelsea fc under LAMPARD
Werner flop
Ziyech flop
Pulisic flop
Odoi flop
Kante flop
Joginho flop
Azipu flop
Kovacic flop
Keppa flop
Rudger flop
Barkley flop
Abraham flop
Harvetz flop
Basi Lampard apewe pesa ya usajili anunue wachezaji 8 wapya.
Havertz sidhan kama shida ni kuwa legelege bali ni jinsi lampard anavyomtumiaNaomba niseme kinachomuua Lampard
Hawa wachezaji wanaifanya Chelsea ikose Consistency
- Reece James - Tatizo lake kubwa ni kwenye kukaba hasa kwa kuacha space, mfano mechi na Leicester alikuwa kila mara akitoka out of position wakati Chelsea inashambuliwa na hivyo kumpa Barnes nafasi ya kushusha mashambulizi atakavyo
- Rudiger - Japo kaiprove tangu atoke majeruhi mwaka jana Rudiger amekuwa na tatizo la concetration na kujisahau na kuacha space kubwa kwenye final third ya Chelsea
- Viungo wote wa Chelsea hawako creative, hawajui kupeleka mashambulizi mbele, hawajui kutengeneza nafasi. Kovacic ule moto wake wa mwaka jana umezima kabisa, Kante mbinu zake za kupress na kuintercept ni kama imeshapitwa na wakati, Jorginho sijui kinachomsibu ni nini kwa sababu ule uwezo wake wa kuthibiti na kuamua mpira pale katikati uchezweje haupo tena
- Havertz ndio legelege toka aje kwenda mbele ni kama hana hamu ya kuichezea Chelsea. Mtu pekee ninayemuaona anajitahidi pale katikati ni Mason Mount
- Winga na strikers wetu ovyo kabisa. Odoi akitokea sub anakuwa mzuri ila akianza anakuwa kama kiazi, Ziyech bado hajarudi kwenye form kabla ya majeruhi, Pulisic anafight lakini mambo bado kabisa. Werner kila siku inapokucha ndio anazidi kuwa wa hovyo kabisa. Katika mechi kama tatu zilizopita na kwenda huko nyuma tatizo la Werner ilikuwa ni kosakosa kwenye kufunga, sasa tatizo lake limeongozeka hata kwenye kupasi amekuwa hajiamini, butua butua kwenye kufunga na butuabutua kwenye kutoa pasi. Tammy Abraham kama kawaida yakeanajitahidi ila uwezo wake ni mdogo, bado hajakoma kwenye Big matches. Giroud wa kawaida sana lakini kwa ukweli bado hajatumiwa kama inavyotakiwa na Lampard ni kama hana mpango naye tena anafocus kuwatumia wenye umri mdogo
- Wachezaji pekee wenye consistency ni Silva,Mount, Zouma, Mendy, Giroud**
Kwani hii timu bado ina mashabiki tu?.
Jitahidini basi mushinde, aseno ana kuja huyo.Tupo mkuu chelsea ni yetu hatuwezi kuiacha. Tunarudi mchezoni kuanzia kesho
Jitahidini basi mushinde, aseno ana kuja huyo.
Wewe sio bingwa wa FA tena, wewe ni takataka tu..Wachezaji wenu ni wa LIGI NDOGO.... vimechi kama. Hivi na Luton utasikia HatTrick ya mchezaji wenu KALAVATI MAVUZI sijui Havezi
#COYG
#COYG
Leo unatobolewa viwili tuLeo munashinda, ila kwa mbinde.
Hawa bila kuwapa mechi na akina LUTON wanaweza kuingia mwaka 2021 bila ushindiLeo munashinda, ila kwa mbinde.

View attachment 1685036View attachment 1685037View attachment 1685038