Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Naomba niseme kinachomuua Lampard
Hawa wachezaji wanaifanya Chelsea ikose Consistency
  1. Reece James - Tatizo lake kubwa ni kwenye kukaba hasa kwa kuacha space, mfano mechi na Leicester alikuwa kila mara akitoka out of position wakati Chelsea inashambuliwa na hivyo kumpa Barnes nafasi ya kushusha mashambulizi atakavyo
  2. Rudiger - Japo kaiprove tangu atoke majeruhi mwaka jana Rudiger amekuwa na tatizo la concetration na kujisahau na kuacha space kubwa kwenye final third ya Chelsea
  3. Viungo wote wa Chelsea hawako creative, hawajui kupeleka mashambulizi mbele, hawajui kutengeneza nafasi. Kovacic ule moto wake wa mwaka jana umezima kabisa, Kante mbinu zake za kupress na kuintercept ni kama imeshapitwa na wakati, Jorginho sijui kinachomsibu ni nini kwa sababu ule uwezo wake wa kuthibiti na kuamua mpira pale katikati uchezweje haupo tena
  4. Havertz ndio legelege toka aje kwenda mbele ni kama hana hamu ya kuichezea Chelsea. Mtu pekee ninayemuaona anajitahidi pale katikati ni Mason Mount
  5. Winga na strikers wetu ovyo kabisa. Odoi akitokea sub anakuwa mzuri ila akianza anakuwa kama kiazi, Ziyech bado hajarudi kwenye form kabla ya majeruhi, Pulisic anafight lakini mambo bado kabisa. Werner kila siku inapokucha ndio anazidi kuwa wa hovyo kabisa. Katika mechi kama tatu zilizopita na kwenda huko nyuma tatizo la Werner ilikuwa ni kosakosa kwenye kufunga, sasa tatizo lake limeongozeka hata kwenye kupasi amekuwa hajiamini, butua butua kwenye kufunga na butuabutua kwenye kutoa pasi. Tammy Abraham kama kawaida yakeanajitahidi ila uwezo wake ni mdogo, bado hajakoma kwenye Big matches. Giroud wa kawaida sana lakini kwa ukweli bado hajatumiwa kama inavyotakiwa na Lampard ni kama hana mpango naye tena anafocus kuwatumia wenye umri mdogo
  6. Wachezaji pekee wenye consistency ni Silva,Mount, Zouma, Mendy, Giroud**
lampard apewe muda

au nasema uongo ndugu zangu?
Mitano tena
 
Chelsea fc under LAMPARD

Werner flop
Ziyech flop
Pulisic flop
Odoi flop
Kante flop
Joginho flop
Azipu flop
Kovacic flop
Keppa flop
Rudger flop
Barkley flop
Abraham flop
Harvetz flop

Basi Lampard apewe pesa ya usajili anunue wachezaji 8 wapya.
Shida sio wachezaji shida ni kocha ndie anawafanya wachezaji waonekane wameflop
Unategemea aje kocha mkubwa tu unategemea tutakuwa tunapoteza point kirahisi rahis

Uwezo wa lampard ni mdogo sana kuifundisha hii timu, yule ingefaa akae kwanza huko alipokuwepo kabla hajaja
Mwangalie mwenzake Gerrard yupo rangers sahiv hawakamatiki kule scotland kwa sababu katulia kule ila lampard alihisi ukiwa na wachezaji wazuri hata bila mbinu atapata mafanikio ni kitu ambacho hakipo

Mbinu za kocha ni muhimu
 
Naomba niseme kinachomuua Lampard
Hawa wachezaji wanaifanya Chelsea ikose Consistency
  1. Reece James - Tatizo lake kubwa ni kwenye kukaba hasa kwa kuacha space, mfano mechi na Leicester alikuwa kila mara akitoka out of position wakati Chelsea inashambuliwa na hivyo kumpa Barnes nafasi ya kushusha mashambulizi atakavyo
  2. Rudiger - Japo kaiprove tangu atoke majeruhi mwaka jana Rudiger amekuwa na tatizo la concetration na kujisahau na kuacha space kubwa kwenye final third ya Chelsea
  3. Viungo wote wa Chelsea hawako creative, hawajui kupeleka mashambulizi mbele, hawajui kutengeneza nafasi. Kovacic ule moto wake wa mwaka jana umezima kabisa, Kante mbinu zake za kupress na kuintercept ni kama imeshapitwa na wakati, Jorginho sijui kinachomsibu ni nini kwa sababu ule uwezo wake wa kuthibiti na kuamua mpira pale katikati uchezweje haupo tena
  4. Havertz ndio legelege toka aje kwenda mbele ni kama hana hamu ya kuichezea Chelsea. Mtu pekee ninayemuaona anajitahidi pale katikati ni Mason Mount
  5. Winga na strikers wetu ovyo kabisa. Odoi akitokea sub anakuwa mzuri ila akianza anakuwa kama kiazi, Ziyech bado hajarudi kwenye form kabla ya majeruhi, Pulisic anafight lakini mambo bado kabisa. Werner kila siku inapokucha ndio anazidi kuwa wa hovyo kabisa. Katika mechi kama tatu zilizopita na kwenda huko nyuma tatizo la Werner ilikuwa ni kosakosa kwenye kufunga, sasa tatizo lake limeongozeka hata kwenye kupasi amekuwa hajiamini, butua butua kwenye kufunga na butuabutua kwenye kutoa pasi. Tammy Abraham kama kawaida yakeanajitahidi ila uwezo wake ni mdogo, bado hajakoma kwenye Big matches. Giroud wa kawaida sana lakini kwa ukweli bado hajatumiwa kama inavyotakiwa na Lampard ni kama hana mpango naye tena anafocus kuwatumia wenye umri mdogo
  6. Wachezaji pekee wenye consistency ni Silva,Mount, Zouma, Mendy, Giroud**
Havertz sidhan kama shida ni kuwa legelege bali ni jinsi lampard anavyomtumia
Havertz sio mchezaj anayepaswa kukaba kwa uchezaj wake, uchezaji wake ni kama wa ozil vile sio wakabaji

Ila ukiangalia lampard anavyomtumia havertz sio kabisa, ukiangalia hata kule leverkusen nyuma ya havertz kulikuwa na 2 dm ambao kazi kubwa ya kukaba walikuwa wanafanya wao havertz yeye alikuwa anapokea mipira kuipeleka sehem sahihi

Wakina oscar walikuwa legelege ila jinsi walivyokuwa wanatumika waliweza kungara

Kingine kinachoonekana baadhi ya wachezaji wanaconsisten ni kucheza mara kwa mara
Thiago,mendy,mount na zouma hawa mechi nyingi wanacheza ni tofauti na wengine mechi hii wamo mechi ijayo hawamo
Soon zouma na yeye ataingia katika huo mkondo labda arudi tena kikosin mechi zinazofata ila kama ndio ile leo upo kesho haupo tutegemee kuona yale makosa yake ya mara kwa mara

Lampard ndie anawafanya wacheza wasiwe na consistency kila mechi lazima kuwe na mabadiliko
 
Wachezaji wenu ni wa LIGI NDOGO.... vimechi kama. Hivi na Luton utasikia HatTrick ya mchezaji wenu KALAVATI MAVUZI sijui Havezi

#COYG
#COYG
 
Snow is falling in London, where Stamford Bridge is hosting Chelsea v Luton Town... View attachment 1685036View attachment 1685037View attachment 1685038
IMG_20210124_151925_972.jpg
 
Mnatakiwa kushinda leo. Maana kuna surprise ya Wolves inawajia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom