Kitoabu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 11,079
- 12,319
Unaongea na simu?
Tulia wewe sisi tutabeba UEFA
Tulia wewe sisi tutabeba UEFA
Usifananishe Newcastle na Utopolooo mzee...

akale wap na familia yakeLampard apewe Muda gani tena atimuliwe mapema sana
Sikusema anao uwezo pia huna ushahidi kuwa hana ugomvi kwa sababu sio mpaka usemwe, Wachezaji kucheza kimlenda mlenda mlenda ni ushahidi kuwa hawakao pamoja ni swala la muda tu itakuja dhihirika.Kwa hiyo unafikiri Lampard ana uwezo wa kutufikisha top4??! Achilia mbali UEFA.
Lampard sidhani kama na ugomvi wowote na wachezaji, ni uwezo tu wake wa ukocha ni mdogo. Ukiwa mtu wa kuangalia games za chelsea tu peke yake hautakaa ukaelewa.
Kazi za field zimeisha baada ya timu kuanza kuokota points eh. Karibu ila usikimbie tena timu ikianza kuborongaachen ajenge timu, shida kinachomuhukumu ni zile pound mil 230
Aende championship akapate uzoefu, mwenzake ole ashawahi kushusha timu daraja ..sasa anataka makubwa wakati wenzie wameanzia chini kabisa.akale wap na familia yake
Mkuu ukipiga mahesabu unaona kabisa UEFA ni game of chance hivyo tukikaza tuna chance ya kuchukua.Unaongea na simu?
hahaaaaaaaaaaAende championship akapate uzoefu, mwenzake ole ashawahi kushusha timu daraja ..sasa anataka makubwa wakati wenzie wameanzia chini kabisa.
Hata Juliana hawezi mzidi Simeoni bora Mou angerudiHapo hakuna kocha hata mmoja wa maana, tunatakiwa tumsajili Julian Nagelsmann FULL STOP
View attachment 1683122





Tofauti ya Tushel na Lampard ni upara tu. Kwenye hiyo list afadhali Allegri wengine tia maji tia majiWatatu hawa kumridhi Lampard, Mazungumzo ya kumtimua yameanza
Madai ni kwamba Lampard kapewa muda na hakuna hata dalili za mbinu zake kuleta matunda yeyote pale darajani
- Tuchel - Katika timu kubwa alishaifundisha Dotmund miaka miwili na PSG miaka miwili na nusu ligi ya wakulima wining %age ni 74 akiwa PSG
- Allegri amefundisha muda mrefu vitimu vidogo, Juve kifundisha miaka 5 na wining %age ya 70% akiwa Juve
- Avram Grant - Hana uzoefu wowote zaidi ya kuifundisha Chelsea 2007/8 na Westham 2010/11. Hakutoka Chelsea vizuri kwani wachezaji hawakumpenda kwa sababu ufundishaji wake ni wa kizamani mno miaka 25 iliyopita na hakuwa na mbinu zozote za kisasa kwa wakati huo wa 2007/8. Sasa tuko 2021, si atakuja na mbinu za miaka 40 iliyopita?
Arteta siyo kwamba anamwonea huruma Lampard, ni kujenga huruma kwa makocha ambao timu zao hazifanyi vizuri sana kwani bundi hajatoka viunga vya Arsenal.Arteta (Lampard) “I have known Frank for a few years and I spent some time with him and I would like the club to support him and give him a chance,”
Wenye akili timamu tunaposema lampard apewe muda muwe mnatuelewa.
Ukipinga tu, basi ushajijua akili zako zipoje![]()
ushaur huu peleka arsenal..!!IN FL WE TRUST
Lampard apewe muda, msimu uishe ndio tupige mahesabu
Ollachunya analijua hiliEPL 20/21 - TOP 4
1. Liverpool Fc (Klopp System)
2. Manchester utd (Bruno Impact)
3. Manchester City (Pep Tactics)
4. Chelsea Fc (Players Ability + Mkono wa Mungu)