Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Dirisha leo limefunguliwa, je Chelsea tunahitaji kwenda sokoni?
Kwa maoni yangu tunahitaji hata usajili mmoja tu wa CAM mwenye uwezo wa kufunga na kuassists
Huyu CAM asinunuliwe mwenye jina kubwa au bei kubwa ili asije na presure ya bei kama ya Havertz
Tukiwauza akina Alonso na Kepa tunaweza tukapata pesa za manunuzi
 
Dirisha leo limefunguliwa, je Chelsea tunahitaji kwenda sokoni?
Kwa maoni yangu tunahitaji hata usajili mmoja tu wa CAM mwenye uwezo wa kufunga na kuassists
Huyu CAM asinunuliwe mwenye jina kubwa au bei kubwa ili asije na presure ya bei kama ya Havertz
Tukiwauza akina Alonso na Kepa tunaweza tukapata pesa za manunuzi
Tim yetu haina balance
Tunahitaj CM/DM mungine atakae leta balance kwenye timu
Declan rice au zakaria wa monchengladbach watafaa zaidi

Nyuma tuanze kutafuta mrith wa thiago bado mapema,

Tutafute na winga mungine kama back up yakina pulisic n ziyech maana hawa wenyewe mda wowote tu utaskia washarudi wodini, odoi peke yake hatoshi.
 
Dirisha leo limefunguliwa, je Chelsea tunahitaji kwenda sokoni?
Kwa maoni yangu tunahitaji hata usajili mmoja tu wa CAM mwenye uwezo wa kufunga na kuassists
Huyu CAM asinunuliwe mwenye jina kubwa au bei kubwa ili asije na presure ya bei kama ya Havertz
Tukiwauza akina Alonso na Kepa tunaweza tukapata pesa za manunuzi
Mfano Yule ericsen pale inter
 
Hawa ndio Chelsea fans, wanaamini tatizo la Chelsea ni kuingia tena sokoni
Mendy, Chilwel, Kai, Werner, T. Silva, Ziyech,
Hao wote inamaana hakuna impact


Lampard aachie timu.
Tumefikia hatua kuwa shabiki wa Chelsea ni tusi kubwa sana.
Kama hauja taga std7 basi dishi limeyumba by nature

Binafsi huwa nawakubali sana the bluez
 
Hawa ndio Chelsea fans, wanaamini tatizo la Chelsea ni kuingia tena sokoni
Mendy, Chilwel, Kai, Werner, T. Silva, Ziyech,
Hao wote inamaana hakuna impact


Lampard aachie timu.
Tumefikia hatua kuwa shabiki wa Chelsea ni tusi kubwa sana.
Kama hauja taga std7 basi dishi limeyumba by nature

Binafsi huwa nawakubali sana the bluez
Lampard bado yupo sana ndo kwanza anaanza kuirudisha Chelsea inapotakiwa
 
Unajua na wewe unajichanganya. Mashabiki wengi the blues wanapaza kelele kuhusu nafasi ya kocha, tunafahamu tatizo ni Kocha, wenye mamlaka ya kumuajiri hawataki kumfukuza sisi tufanye nini?

Kama kocha bado yupo sanaa basi aendelee kusajili tuu tupate matokeo kwa uwezo zaidi wa wachezaji na sio kwa uwezo kocha.
Lampard ana uwezo mkubwa tu na ni mzuri sana
Leo kesho, man u wanaomba wangempata lampard kuliko oleguna japo wapo nafas ya pili. Au unakataa
Sasa niambie unaanzaje kusema lampard ni mbaya!!!!
 
Sasa nyie Chelsea msimu huu mnataka nini


Mimi naona bora muanze kuvuta Bangi Kama Lampard tu

Hakuna namna nyingine
 
Fununu za usajili zinasema Chelsea inamfukuzia Donnaruma. Yaani ikimsajili itakua na makipa wawili ambao kiwango chao kinawaruhusu kua first team.

Nafasi ya ukipa hadi umpiku mwenzako ni ngumu sana. Martinez akaona bora aende Villa ili awe kikosi cha kwanza, Mendy alikubali kuja chelsea akijua wazi anakua kikosi cha kwanza.

Donnaruma hawezi kuja kama hatohakikishiwa kuanza. Au labda recruitment ya chelsea ina mpango wa kumtimua mendy.

So chelsea itakua na mendy, kepa, cech na donnaruma kwenye benchi
 
Leo tunacheza mfumo wa ulinzi shirikishi 343

Pulisic - Werner/Giroud - Odoi/Ziyech

Chilwell - Kante - Kovacic - Azipu

Thiago - Christensen - Zouma
Mimi nasema chelsea ikitaka kushinda bila kuhofia mechi icheze 4 3 1 2 au 3 4 1 2. 1 awe Kai na 2 ni Werner na yeyote yule.

Hizi formations zingine mtashinda games kadhaa kisha mnarudi square one.
 
Yah Chelsea fc tunayo pesa mzigo wa kutosha. Tunataka kila namba tusajili wachezaji watatu watatu na tunataka tuvunje rekodi ya kusajili makocha wengine 2 kwa pamoja, tuwe na makocha 3 kwenye timu (Lampard, Tuchel, Alegri), au nasema uongo ndugu zangu?
Yea kwa Abramovic anavyotatua matatizo sibishi
 
Sis City tunakuja kuvunja vunja hiyo inayoitwa Stanford Bridge iliyoko hapo London
 
Fununu za usajili zinasema Chelsea inamfukuzia Donnaruma. Yaani ikimsajili itakua na makipa wawili ambao kiwango chao kinawaruhusu kua first team.

Nafasi ya ukipa hadi umpiku mwenzako ni ngumu sana. Martinez akaona bora aende Villa ili awe kikosi cha kwanza, Mendy alikubali kuja chelsea akijua wazi anakua kikosi cha kwanza.

Donnaruma hawezi kuja kama hatohakikishiwa kuanza. Au labda recruitment ya chelsea ina mpango wa kumtimua mendy.

So chelsea itakua na mendy, kepa, cech na donnaruma kwenye benchi
Kepa anauzwa,

Donnaruna mkataba wake unaelekea ukingoni na isitoshe ana miaka kama 21 hiv kama sijakosea, Mendy anamiaka 28

Man utd wana 2 wazuri, de gea,henderson,wote hawa nimakipa wazuri

Cech ni wa msim huu tu, due to hali ilivyo ya corona.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom