Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Unachokombilia eti kwenye mechi 10 kwann usifanye overall michuano yote😀....overall michuano yote Kai ana goli 4 ....Werner mpk sasa anacontribution ya goli 8 na ukame wake wa mechi 10.......na huu msimu wao wa Kwanza ...huyo comrade kipepe hamna kitu msimu wake wa pili Ile assist ya FA ni dondokee Tu hamna lolote...yaan busy unamsifia comrade kipepe kabisa😂😂😂
Ambacho hujui ni kwamba Pepe hana namba. The only way ningekufanyia rekodi ni kwa namna hiyo. Hata nyinyi mnavyosema werner na kai mmepigwa mnaangalia michuano yote au selected few?
 
Ambacho hujui ni kwamba Pepe hana namba. The only way ningekufanyia rekodi ni kwa namna hiyo. Hata nyinyi mnavyosema werner na kai mmepigwa mnaangalia michuano yote au selected few?
Kwahyo mnaspend hela yote ili mtu akae benchi ...na hela yenyewe mnalipa kwa mafungu😂
 
Ambacho hujui ni kwamba Pepe hana namba. The only way ningekufanyia rekodi ni kwa namna hiyo. Hata nyinyi mnavyosema werner na kai mmepigwa mnaangalia michuano yote au selected few?
Na Nani humu uliemuona anasema Werner tumepigwa Kama si shabiki z nyumbu au nyie arsenyeto
 
Kwahyo mnaspend hela yote ili mtu akae benchi ...na hela yenyewe mnalipa kwa mafungu😂
Hahaha dah akili mali. Katika 200M zilizotumika kusajili zaidi ya 153M imetumika kwaajili ya werner na kai. Baada ya performance ya hovyo kocha kasema waachwe wazoee ligi.

All that money ili mtu aje kuzoea ligi. Inakuingia akilini? Tumewafunga tatu kwa performance ya wachezaji 3 ambao thamani yao jumla 6M.
 
Hahaha dah akili mali. Katika 200M zilizotumika kusajili zaidi ya 153M imetumika kwaajili ya werner na kai. Baada ya performance ya hovyo kocha kasema waachwe wazoee ligi.

All that money ili mtu aje kuzoea ligi. Inakuingia akilini? Tumewafunga tatu kwa performance ya wachezaji 3 ambao thamani yao jumla 6M.

ni kweli wamenunuliwa bei kubwa lkn huu ndo Kwanza msimu wao wa Kwanza ....
Comrade kipepe msimu wa pili bado tunalipa kwa mafungu aje akae benchi😥😂.....mnakazania kuifunga Chelsea na hao wachezaji wa bei hyo....je nyie mliofungwa n Burnley ...wachezaji wa Burnley Wana thamani km lile lundo la kina comrade kipepe😁
 
Comrade kipepe msimu wa pili bado tunalipa kwa mafungu aje akae benchi😥😂.....mnakazania kuifunga Chelsea na hao wachezaji wa bei hyo....je nyie mliofungwa n Burnley ...wachezaji wa Burnley Wana thamani km lile lundo la kina comrade kipepe😁
Burnley? Uliangalia mechi au unafuatilia livescore?
 
Comrade kipepe msimu wa pili bado tunalipa kwa mafungu aje akae benchi😥😂.....mnakazania kuifunga Chelsea na hao wachezaji wa bei hyo....je nyie mliofungwa n Burnley ...wachezaji wa Burnley Wana thamani km lile lundo la kina comrade kipepe😁

Arsenal haikazani kuifunga chelsea, chelsea na man u ni vibonde wa Arsenal. Too blind unaona bei ya Pepe ila hauoni bei ya kai na werner. Pepe kashaipa Arsenal trophy, kai na werner wameipa nini chelsea?

Kulipa kwa awamu ni namna nyingine ya kudeal na financial fair play, thamani ya Pepe ya 62M mbona ni pesa ndogo kwa klabu yenye trophies nyingi na historia kubwa kama Arsenal?

Unafikiri bayern inavyosajili kwa mkopo ni kwa vile haina pesa? Au psg kumsajili icardi kwa mkopo ni kwavile haikua na pesa?

Ila sitarajii uelewe hivyo vitu. Level yako ya uelewa katika mpira ni ndogo ya chini mno mpaka unatia aibu.
 
Arsenal haikazani kuifunga chelsea, chelsea na man u ni vibonde wa Arsenal. Too blind unaona bei ya Pepe ila hauoni bei ya kai na werner. Pepe kashaipa Arsenal trophy, kai na werner wameipa nini chelsea?

Kulipa kwa awamu ni namna nyingine ya kudeal na financial fair play, thamani ya Pepe ya 62M mbona ni pesa ndogo kwa klabu yenye trophies nyingi na historia kubwa kama Arsenal?

Unafikiri bayern inavyosajili kwa mkopo ni kwa vile haina pesa? Au psg kumsajili icardi kwa mkopo ni kwavile haikua na pesa?

Ila sitarajii uelewe hivyo vitu. Level yako ya uelewa katika mpira ni ndogo ya chini mno mpaka unatia aibu.
Sasa unawajudge VP Kai na Werner kwenye suala la trophies wkt huu ni msimu wao wa Kwanza.! Na uelewa wako wa soka😂😂..umeshupalia kweli Pepe kuwapa trophy ya fa maskini🤣....wewe na uelewa wako wa soka unaendeleaje hapo u17 squad ya arsenal
 
Arsenal haikazani kuifunga chelsea, chelsea na man u ni vibonde wa Arsenal. Too blind unaona bei ya Pepe ila hauoni bei ya kai na werner. Pepe kashaipa Arsenal trophy, kai na werner wameipa nini chelsea?

Kulipa kwa awamu ni namna nyingine ya kudeal na financial fair play, thamani ya Pepe ya 62M mbona ni pesa ndogo kwa klabu yenye trophies nyingi na historia kubwa kama Arsenal?

Unafikiri bayern inavyosajili kwa mkopo ni kwa vile haina pesa? Au psg kumsajili icardi kwa mkopo ni kwavile haikua na pesa?

Ila sitarajii uelewe hivyo vitu. Level yako ya uelewa katika mpira ni ndogo ya chini mno mpaka unatia aibu.
Ndo maana mnalipa kwa mafungu hii pesa unamnunua tuanzebe Tu😂😂😂
 

Attachments

  • IMG_20210101_154818.jpg
    IMG_20210101_154818.jpg
    32.8 KB · Views: 6
Sasa unawajudge VP Kai na Werner kwenye suala la trophies wkt huu ni msimu wao wa Kwanza.! Na uelewa wako wa soka😂😂..umeshupalia kweli Pepe kuwapa trophy ya fa maskini🤣....wewe na uelewa wako wa soka unaendeleaje hapo u17 squad ya arsenal
Aisee we ni chapati
 
Umeongea ukweli mtupu.

Chelsea tulitaka mchezaji kiungo aina ya Fabregas brain wa timu, matokeo yake tumeletewa wachezaji wa ajabu ajabu.

Tunahitaji kiungo mwenye uwezo wa kutengeneza mashambulizi, kuassist na kufunga kama BRUNO, KDB. Mchezaji ambaye atakuwa brain ya timu.

Kweli Ukiangalia Chelsea kwenye kutengeneza shambulio ni COMEDY tupu.

Lazima usajili mwingine ufanyike kumsajili AM. Kwenye kikosi chetu cha sasa sioni mchezaji aina ya FABREGAS, BRUNO, au KBD.
Hapa hata sikubaliani na wewe, shida hata sio wachezaji, shida ni kocha. Wachezaji ni wazur tu. Lampard hat apewe akina messi timu nzima hana hat uwezo wa kumfunga Mwadui Fc.
Kocha unampangaje mtu kama Joginho akiwa uwanjani yeye ni kutoa ishara kwa vidole mpasie yule!!,utasema yupo uwanjani kutoa maelekezo badala ya kujiposition na kuomba pasi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom