MAMMAMIA
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 3,811
- 1,607
Hata wachambuzi wa mchezo huu kwenye TV1 ya Spain walisema hivyo hivyo - hawana Plan B. Ndio sababu waliyokuwa wanaiadhibu R.Madrid lakini angalau kwa mara hii Mourinho aliwatolea uvivu.shida ya Barca...ni very conservative na footballing policy yao...keep and pass the ball mpaka nafasi itokee, huwa hawana plan B, kwa hiyo ukicheza na watu wanaojua kucheza zonal marking kama Chelsea, laizima wapate tabu