Al Zagawi
JF-Expert Member
- Mar 17, 2009
- 2,528
- 1,621
Siku hizi Barca wanatumia nembo ya Qatar Foundation
UNICEF iko nyuma, juu kidogo ya masaburi!!!!
Siku hizi Barca wanatumia nembo ya Qatar Foundation
yaani mimi hata kulala sitaki...nakesha leo kwa furaha...!Najisikia rahaaaäaa mpaka basi yani
Mkuu usiku wa leo kama barca linakuuma kweli unaweza ukamuangalia waifu lakini kwenye sura ya waifu ukaona torres amekuja ghafla. Think! excellent think
we mkare...!UNICEF iko nyuma, juu kidogo ya masaburi!!!!
yaani mimi hata kulala sitaki...nakesha leo kwa furaha...!
aaah mi niko poa bluz forevermajibu ya maumivu hayooooooooo!
sura ya toress ikiniijia spid ya ku-MALIMA inaongezeka...
Finger Xed mkuuMwaka huu umewatupa mkono but you still have a very good team hopefully 2013 will be a better year as compared to 2012.
Mweeh! una vituko Kloro...leo ningekuwa na mchuchu hapa angenitolea nje mdushelele, yaani kanywea huko aliko kama vile Barca ndugu zake..halafu tena ye ni mshabiki wa Arsenal ule ugonjwa mwingine!! kweli football is fun!
nilishakushauri sana usichabikie wauza mikate,ona sasa!
Sijui uko wapi..ila mie sasa nimetulia kwenye bathtub na glass ya red wine na kamuziki pembeni!! Nacheka na comments za hii mechi hapa JF..Life is Good!!
Watafungwa na Madrid finale.mbona chelsea wanachukua hili kombe!
eti oooh fainali barca na real madrid.........na game ya kesho ......... yeyote anayeweza kuitabiri...!
leo wameaibishwa sana.....
Kumbe FA nawe unapitaga huku? Ndio mara ya kwanza kukuona, kama huna chama basi nina membership cards za Arsenal nikupitishie ili ujiunge na chama letu hapa jamvini? 🙂🙂