BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,769
- 288,283
Hawa wazembe wa buluu washaharibu usiku wangu. Leo mimi na waifu ni mzungu wa nne tu. Nyambaaf zao chelsea
Hehehehe imekula kwako leo Mkuu KLQ...Pole sana jaribuni tena mwakani 🙂🙂
Hawa wazembe wa buluu washaharibu usiku wangu. Leo mimi na waifu ni mzungu wa nne tu. Nyambaaf zao chelsea
Barca nje ! Finaile Madrid vs. Chelsea. Bingwa Madrid
Mkuu usiku wa leo kama barca linakuuma kweli unaweza ukamuangalia waifu lakini kwenye sura ya waifu ukaona torres amekuja ghafla. Think! excellent think
Bado nimeushikiria msimamo wangu kuwa Fainali ni Madrid vs. Chelsea na bingwa mwaka huu ni Madrid (rejea post yangu #7413 tarehe 19.04.2012 saa 21:17 kwenye uzi huu)
Hongera sana Chelsea.
Hehehehe imekula kwako leo Mkuu KLQ...Pole sana jaribuni tena mwakani 🙂🙂
hehehe dah! mkuu una moyo wa ujasiri kweli aiseesura ya toress ikiniijia spid ya ku-MALIMA inaongezeka...
nusu fainali ya kwanza nililamba dola 100 na leo nimelamba dola 100...nitakesha niki-MALIMA LEO
kwani waifu ndo kacheza mpira?
Mwaka wa Mourinho huu....Mkuu hii inauma sana, La liga yenyewe anaichukua Morinyo, na leo hapa blues washatusambaratisha.
Bayern nawachukia sana lakini for this season nainua mikono hili cup walinyakue watoto wa hitler tu.
No to Chelsea
Big No to Madrid
Mkuu hii inauma sana, La liga yenyewe anaichukua Morinyo, na leo hapa blues washatusambaratisha.
Bayern nawachukia sana lakini for this season nainua mikono hili cup walinyakue watoto wa hitler tu.
No to Chelsea
Big No to Madrid
Mkuu usiku wa leo kama barca linakuuma kweli unaweza ukamuangalia waifu lakini kwenye sura ya waifu ukaona torres amekuja ghafla. Think! excellent think