Mc Tilly Chizenga
JF-Expert Member
- Feb 7, 2012
- 4,641
- 3,686
Hapo kwenye red ni timu moja tu iliyowahi kuchukua mara mbili, AC Milan ilichukua 1989 na 1990
NOT in Champions league era!
Hapo kwenye red ni timu moja tu iliyowahi kuchukua mara mbili, AC Milan ilichukua 1989 na 1990
Ni kitu kilekile, ndio maana unasikia Madrid wanafukuzia ubingwa wa 10 Champion League, la sivyo wasinge hesabia vikombe za zamani.NOT in Champions league era!
Mwisho wa siku utatupa pongezi.Watu hamjitokezi mpaka mshinde. Sredi ilikua imedoda. Hongereni wakuu. Mmewarahisishia shughuli wanaocheza leo.
.....hahaha, usijekimbia kijiwe! .....komaeni kama sie 'wakazi wa mabondeni' mafuriko kwake mtoni, yanapita tu....
Umewaacha wapi kina Peasant, masanilo, aljuniortz, ......? karibu tena,....
Ule wakati wa kuwafumba midomo watu flani unawadia!
fainali itakuwa kazi kubwa maana ivanovic,meireles,ramires na terry hawatacheza kutokana na kadi...ila fainali ni fainali chochote kinaweza kutokea.
Watu hamjitokezi mpaka mshinde. Sredi ilikua imedoda. Hongereni wakuu. Mmewarahisishia shughuli wanaocheza leo.
Hawana chao kombe la Ligi, Madrid akishinda gemu moja tu tayari ashachukue UbingwaTell them.
Huenda hata kombe la ligi kuu ya Hispania wakakosa mwaka huu
fainali itakuwa kazi kubwa maana ivanovic,meireles,ramires na terry hawatacheza kutokana na kadi...ila fainali ni fainali chochote kinaweza kutokea.
Thubutu, mtacheza fainali lakini CL inaenda Real Madrid na FA inaenda Liverpool...am speechless...! the CL and FA are ours...no doubt!
Ramirez kaweka mguu juu ya kichwa cha Erick Abidal