kwani wewe umeanza kuangalia mpira lini...drogba ame copy na ku paste komedi za barca nashangaa unamshangaa drogba...nyinyi wenye vilomolomo mtakuwa ni arsenal au manu(wake wa barcelona maana kila mkikutana nae mnapigwa bao za kutosha)...!
Unajua mkuu, siamini kuwa ni wewe uliyeandika tena hii hapa! Usijifanye kusahau wakati C. Ronaldo anajiangusha kwenye Premier League, usitudanganye kuwa wakati wachezaji wa B.Munich na R. Madrid wanajiangusha pale Allianz Arena haukuona! Mmekuwa mkitudanganya hapa kuwa Barça wanabebwa, ingefaa mtuambie kama Munich au Madrid walibebwa? Wachezaji wao wangapi waliadhibiwa kwa kuharibu flow ya mechi kwa kujiangusha kwao?! Na drogba je, Hebu kuweni wanaume kamili mseme..alibebwa??! Kwenye mechi za kwanza za semi-final ukiorodhesha timu zilizoongoza kwa ku-dive Barça itakuwa ya mwisho! Huo ndiyo ukweli na ukiondoa unazi utauona.Mkuu punainen-red unajua nini barca wanajua tatizo huwa wanadrogba mpaka basi ndio maana alivyofanya drogba jana iliwauma hilo ndi linawaumiza kichwa kweli wacatalonya..
Haaahaaahaaaa! Umeridhika baada ya kutangaza kuwa mimi ni Ars8 au Man6...?!?! Ungekuwa siyo mshabiki mpiga kelele ungeshang'amua kuwa mashabiki wengi wa timu hizo ulizotaja wanaisuport Chel5 iifunge Barça! Hapa ungejaribu lingine badala ya kuanza ku-guess nani ni mshabiki wa timu gani. Drogba ni mchezaji mzuri, lkn tangu zamani anajulikana anapenda kujiangusha na kuwalalamikia marefa...hiyo ni sifa yake mojawapo, kwa hiyo msijaribu kuihamishia kwingine.kwani wewe umeanza kuangalia mpira lini...drogba ame copy na ku paste komedi za barca nashangaa unamshangaa drogba...nyinyi wenye vilomolomo mtakuwa ni arsenal au manu(wake wa barcelona maana kila mkikutana nae mnapigwa bao za kutosha)...!
Unajua mkuu, siamini kuwa ni wewe uliyeandika tena hii hapa! Usijifanye kusahau wakati C. Ronaldo anajiangusha kwenye Premier League, usitudanganye kuwa wakati wachezaji wa B.Munich na R. Madrid wanajiangusha pale Alianze Arena haukuona! Mmekuwa mkitudanganya hapa kuwa Barça wanabebwa, ingefaa mtuambie kama Munich au Madrid walibebwa? Wachezaji wao wangapi waliadhibiwa kwa kuharibu flow ya mechi kwa kujiangusha kwao?! Na drogba je, Hebu kuweni wanaume kamili mseme..alibebwa??! Kwenye mechi za kwanza za semi-final ukiorodhesha timu zilizoongoza kwa ku-dive Barça itakuwa ya mwisho! Huo ndiyo ukweli na ukiondoa unazi utauona.
i missed this forum...
duh hii wiki is jus too gud for me...i love chelsea!
thanks to di Matteo for bringing back our heroes..Malouda, Mikel, essien, Kalou et al..AVB alikua ameshatufanya tuamini they were gud for nothing...now ndio wanaotusaidia na hili wimbi la mechi nyingi within few days.
na hili nadhani ndilo linalotusaidia..wakijipanga jinsi ya kumtoka drogba anapangwa torres..na bado sturridge anabaki reserve...! this thing really confuses our ooponents...proof of this?? angalia game na arsenal j'mosi ...they cant predict our game!!!
.....hahaha, usijekimbia kijiwe! .....komaeni kama sie 'wakazi wa mabondeni' mafuriko kwake mtoni, yanapita tu....
Umewaacha wapi kina Peasant, masanilo, aljuniortz, ......? karibu tena,....
jamaa wanategemewa kuomba penalty like this
How to DEFEAT Barcelona (My 6 points advice to Real Madrid)
1. Get close to them and force them to make errors
2. The keeper and the back four needs to be alert and at its best.
3. Force Barca to shoot from Outside.
4. Take advantage of Aerial weaknesses (corners, crosses and long balls)
5. Target Valdes (the error prone goalkeeper)
6. Keep Dani Alves Behind (Stop him from attacking)