Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Ila tuache utani, chelsea ni kichwa cha mwandawazimu. Leo baca watabanaa mwisho wa siku 1-2
 
Jamani leo ndio mtaona vitabu vya La Masia vikifunguliwa kwa mkupuo..yatapita mashambulizi kama vita ya 3 ya dunia...Chelsea inabidi wasimame imara sana.
 
ngeleja amechukua umeme wake.sijui nikaangalizie wapi
 
...Itakuwa bomba sana kama Drogba & Co watawatungua tena leo BARCA na hivyo kuweza kuingia kwenye UEFA final hapo May 19th, 2012.
 
Guardiola ameahidi mvua ya magoli.
Nanu kuu maneno, "Tutawafunga Chelsea utadhani hakuna golkipa mlangoni".
Mimi langu jicho tu, baada ya kichapo cha juzi ni haki yao kumalizia kisasi kwa wanyonge wao.
Wanaotaka kuuona (mpira) lakini kwa Kispanish, WABOFYE HAPA
 
As I love EPL is as I hate Barca... I know today Barca will be Mourning with the ref on giving out cards on any kind of foul against them...The problem is most refs get on their sides...This is the most important thing I hate about Barca... All the BEST Chelsea....Control the midfield to the extent that Messi & Co. dont get enough supply of balls and u r done.....
 
Ndoto! tena unajidanganya.. naomba urudi baadae kushuhudia maono yako

....Mie naomba tu liwe kandanda la kukata na shoka wakishinda Chelsea itakuwa icing on the cake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom