Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Individual error inabid tuzipunguze tukiendelea kuzifanya hata mendy hawezi kutuokoa

Kai kadri siku zinavyozidi kwenda anaonesha mabadiliko leo.
Leo ndio alikuwa creator wetu tu

Timo inabidi atulie asiwe na haraka

Alonso nahisi hii ndio mechi yako ya mwisho kuanza
RJ bado anasafari ndefu ni mzuri kwenye kushambulia ila defensively ni mbovu


Trust the process
 
CHELTAKO KAMA CHELTAKOOO ILA KUMBE UKISAJILI UNAKUWA NA MWINGI SANA KAMA WA CHELTAKO . MAN UTD CHANGAMKENI NA NYIE MUWE KAMA CHELTAKO
I LOVE THIS GAME
Unaonekana wewe malezi yako hayakuwa mazuri utotoni,acha kutukanatukana hovyo jifunze ustarabu,humu wengine nisawa na wazazi wako japo hatufahamiani.
 
Kwa first half
Werner leo alikuwa anatokea kushoto
Mount akawa anatokea kulia
Havertz akawa anatokea kati
Na mbele tammy ndio akawa kama no 9
Sijui wapi inaserma kweli, media zinaripoti formation tofauti
Wengine 4-2-2-2
Wengine 4-2-3-1
Nilivyoona uwanjan i, kweli timo alicheza kushoto
Ila Mount na Kai sijawaelewa kwa sababu mara Kai kulia mara kati, mara Mount kulia mara kati, Tammy naye alikuwa hatulii kama No. 9 anavyocheza Giroud, amra kushoto mara kulia mara katikati
Najua Lampard amewapa huo uhuru, ila uhuru huo ukitukima vibaya timu itashindwa kufanya mashabulizi ya kupanga. Kwa uelewa wangu mdogo ningependa Striker asitangetange, wanaoruhusiwa kucheza wide ni Werner na Mount, Havertz naye anacheza wide ila nyuma ya striker
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom