Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hili goli la tatu la kusawazisha la Chelsea Kai anaonekana alishika mpira ila imeonekana siyo faulo.

Lakini hakuonyesha juhudi za kuukwepa mpira.

Southern Highland Tammy anaprove kua useful kuliko Werner as I pointed out earlier.

Na bado nilikua sahihi nilivyosema ushindi wa 6 hauna maana yoyote kwakua timu mliyokutana nayo haina hadhi.

Either way Kai ni Kante mwenye skills, yuko vizuri. Alonso hamna kitu. James anapiga mitungi hatari, Thiago ni liability, Caballero ni Kepa now tuangalie yajayo.
Leo kai yupo vzuri....c nyinyi mlisema flop
 
Hili goli la tatu la kusawazisha la Chelsea Kai anaonekana alishika mpira ila imeonekana siyo faulo.

Lakini hakuonyesha juhudi za kuukwepa mpira.

Southern Highland Tammy anaprove kua useful kuliko Werner as I pointed out earlier.

Na bado nilikua sahihi nilivyosema ushindi wa 6 hauna maana yoyote kwakua timu mliyokutana nayo haina hadhi.

Either way Kai ni Kante mwenye skills, yuko vizuri. Alonso hamna kitu. James anapiga mitungi hatari, Thiago ni liability, Caballero ni Kepa now tuangalie yajayo.
Timu nzur ila mwalimu tatz
 
Hili goli la tatu la kusawazisha la Chelsea Kai anaonekana alishika mpira ila imeonekana siyo faulo.

Lakini hakuonyesha juhudi za kuukwepa mpira.

Southern Highland Tammy anaprove kua useful kuliko Werner as I pointed out earlier.

Na bado nilikua sahihi nilivyosema ushindi wa 6 hauna maana yoyote kwakua timu mliyokutana nayo haina hadhi.

Either way Kai ni Kante mwenye skills, yuko vizuri. Alonso hamna kitu. James anapiga mitungi hatari, Thiago ni liability, Caballero ni Kepa now tuangalie yajayo.
Mkuu wakati mwingine mna comment kwa sababu hamjapata mlichotarajia. Tammy ni potential na daily huwa naambia ndugu zangu humu ila siyo kumzidi Timo. Huyu mjerumani ni kisanga mkuu sema basi tu timu haijakaa sawa. Uwepo wake uwanjani ni threats kwa mpinzani wewe ngoja wakati utaongea.
 
CHELSEA KAMA CHELSEA ILA KUMBE UKISAJILI UNAKUWA NA MWINGI SANA KAMA WA CHELTAKO . MAN UTD CHANGAMKENI NA NYIE MUWE KAMA CHELSEA
I LOVE THIS GAME
 
Sielewi kinachotokea
Sielewi kabisa
goli la kwanza la Alonso
la pili la Silva
La tatu la Alonso
Mabeki watatu wamefunga bado Christensen
Alonso tutaanza kumuona kwenye carabao na fa tena dhid ya vitim vya champiomship
 
KIKUNDI CHA VIKOBA CHAPATIKANA LONDON VIJORA VINASHONWA VYA KILA RANGI
........ NYIE.....DUNIA HAIKO FAIR HAKI YA NANI
 
Bado Lampard anaonekana mzaifu kwenye kupanga timu
Wachezaji aliowasajili msimu huu ndio watakaomfukuzisha ukocha
Alonso hafai hata kuka benchi, anafanya makosa halafu hajifunzi. Roho imeniuma sana kwa goli la kwanza na la tatu, anamfanyia mtu marking halafu mpira unapigwa yeye anamuacha, so fool, hakuna mchezaji mjinga duniani kuliko Alonso, kaozesha timu nzima leo,
Reece James ana shida kwenye kukaba tangu aingizwe kwenye first team. Ni mzuri tu kwenye kushambulia, ni heri kocha angemfanya winga kuliko beki
Hudson Odoi anastahili sasa kuongezewa muda wa kucheza na ak,iendelea hivi aanze mechi kubwa, napenda movement zake akiwa na mpira na hata akiwa hana mpira. Ndiuo maana Bayern wanamzengea. Yuko powerful, skillfull anazo sifa zote za kuwa forward mzuri
Upangaji wa timu sikuipenda leo ndio maana mwanzoni nilisema sielewi
 
Bado Lampard anaonekana mzaifu kwenye kupanga timu
Wachezaji aliowasajili msimu huu ndio watakaomfukuzisha ukocha
Alonso hafai hata kuka benchi, anafanya makosa halafu hajifunzi. Roho imeniuma sana kwa goli la kwanza na la tatu, anamfanyia mtu marking halafu mpira unapigwa yeye anamuacha, so fool, hakuna mchezaji mjinga duniani kuliko Alonso, kaozesha timu nzima leo,
Reece James ana shida kwenye kukaba tangu aingizwe kwenye first team. Ni mzuri tu kwenye kushambulia, ni heri kocha angemfanya winga kuliko beki
Hudson Odoi anastahili sasa kuongezewa muda wa kucheza na ak,iendelea hivi aanze mechi kubwa, napenda movement zake akiwa na mpira na hata akiwa hana mpira. Ndiuo maana Bayern wanamzengea. Yuko powerful, skillfull anazo sifa zote za kuwa forward mzuri
Upangaji wa timu sikuipenda leo ndio maana mwanzoni nilisema sielewi
Mtatubu mbona? Mpaka muite maji "mma"
 
Mkuu wakati mwingine mna comment kwa sababu hamjapata mlichotarajia. Tammy ni potential na daily huwa naambia ndugu zangu humu ila siyo kumzidi Timo. Huyu mjerumani ni kisanga mkuu sema basi tu timu haijakaa sawa. Uwepo wake uwanjani ni threats kwa mpinzani wewe ngoja wakati utaongea.
Mimi kwa gemu zake mbili za mwanzo nikasema soon atakua anampokea kijiti Tammy au Giroud. Huyu Timo hana skills nyingi ila ana speed na ninafikiri ndiyo kinachomshinda.

Mimi nimeongea hayo maneno baada ya zile gemu mbili, gemu hii kaanzishwa na Tammy. Means hayupo reliable so imewekwa hivyo ili yeyote ascore.

Mimi nilijua leo mnashinda ambao nilijua watafungwa ni Man U na nilisema humu kua Man u anafungwa ila West Brom kwa rekodi yao niliamini mnawapiga. So sijakoment kwa kukosa nilichotaka.
 
Mkuu wakati mwingine mna comment kwa sababu hamjapata mlichotarajia. Tammy ni potential na daily huwa naambia ndugu zangu humu ila siyo kumzidi Timo. Huyu mjerumani ni kisanga mkuu sema basi tu timu haijakaa sawa. Uwepo wake uwanjani ni threats kwa mpinzani wewe ngoja wakati utaongea.
Wachezaji woote watabadilika kwa sababu ya ushindani isipokuwa Alonso, sikio la kufa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom