Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Alvaro Morata, mchezaji mwenye bahati
Alinunuliwa Chelsea mil 74 akauzwa mil 58 akaipa Chelsea hasara ya mil 26
Alitoka AM na bado AM wakamnunua kwa pesa nyingi kutoka Chelsea
Alitoka Juventus na hakucheza vizuri sana lakini amerudi tena Juve na wakamkubali kumchukua wakijua aliflop huko
Huyu huyu Morata akirudi Chelsea wanaweza kumnunua tena
Akirudi Real Madrid wanaweza wakamnunua tena
Alvaro Morato World Floper na bado anauzwa bei kubwa
1601041570738.png
 
CHELSEA KAMA CHELSEA Jamani nina swali langu lingine....hivi mkikuta huyu Mendy nae ni version ya KEPA itakuwaje? Kazi kwenu wazee wa kusajili kila mnaemuona mtaani

Sent from my Infinix X608 using JamiiForums mobile app
 
Petr Cech alisajiliwa akitokea Rennes na kuja kuwa Kipa bora kuwahi kutokea Duniani
Edouard Mendy naye kasajiliwa akitokea Rennes na kama mahesabu yanalandana naye atakuwa BIG name ndani ya jezi ya Chelsea
Mend ni muafrika. Una rekod za kipa muafrika hapo EPL ?


Kuna Mtu kauliza swali

... mkikuta huyu Mendy nae ni version ya KEPA itakuwaje? Kazi kwenu wazee wa kusajili kila mnaemuona mtaani
 
Jorginho to Arsenal
Chelsea 'to make last-ditch attempt to sign West Ham's Declan Rice' - which could pave the way for Jorginho to join Arsenal as Mikel Arteta's desperate search for a new midfielder goes on
  • Chelsea have not yet given up hope of signing Declan Rice this summer
  • West Ham don't want to sell but Chelsea will make a last attempt to sign him
  • And they could sell Arsenal target Jorginho to help facilitate a deal
  • Arsenal have identified Jorginho as an alternative to Lyon's Houssem Aouar
1601098042994.png
 
Rudiger Chelsea Exit
Chelsea receive loan offer from PSG for Antonio Rudiger... but are considering selling the out-of-favour defender amid interest from Barcelona FC and AS Roma
  • PSG have submitted a loan offer for Chelsea defender Antonio Rudiger
  • The French champions proposed a loan with option to buy the defender
  • Chelsea are considering trying to sell the German international permanently
1601096408972.png
 
Taarifa za udaku zinasema kuwa Chelsea imemwambia Reuben Loftus Cheek kwamba anaweza kusepa
 
Wanaosema Lampard anawapendelea waingereza tu ebu tushirikishe ubongo kidogo kwenye mambo haya
  1. Wachezaji wote waliosajiliwa hakuna hata mwingereza isipokuwa Ben Chilwell tu, na hapo je waingereza wanapendelewa?
  2. RLC ni mwingereza na yuko out of form kwenye mfumo wa Lampard, je anaendelea kupendelewa?
  3. Barkley ni mwingereza amabye kwa kweli ubora wake umeshindwa kuonekana kwenye mfumo wa Lampard, je anaendelea kupendelewa?
  4. Danny Drinkwater mwingereza ambaye kwa kweli baada ya kutoka Leicester city, mpira wake ni kama umekufa, je anaendelea kupendelewa?
  5. Tariq Lamptey alikuwa ni mwingereza kijana machachari anayekiwasha kule Brighton kwa sasa, Aliondoka kwa kutopewa muda wa kutosha Chelsea chini ya Lampard mwingereza mwenzake, Je hapo nako Lampard ana upendeleo?
  6. Odoi ni mwingereza je anapendelewa?
  7. Tomori ni mwingereza je anapendelewa?
Kwa sasa hivi hawa wachezaji ndio wanaopewa nafasi kwenye first team

  1. Abraham/Giroud
  2. Werner
  3. Havertz
  4. Mount
  5. Kante
  6. Kovacic
  7. Alonso
  8. Zouma
  9. Christensen
  10. Reece James
  11. Kepa
Wengine watakaopendelewa huko mbeleni kama forms zao zitaendelea kuwa nzuri ni
  1. Pulisic
  2. Mendy
  3. Giroud
  4. Ziyech
  5. Benchilwell
  6. Silva
  7. Azpilicueta
Katika lile kundi la kwanza la wachezaji 11, waingereza ni 3 tu ambao ni Abraham, Mason Mount na Reece James
Katika lile kundi la pili la wachezaji 7 mwingereza ni mmoja tu ambaye ni Benchilwell
katika wachezaji 18 watakaounda benchi la first team waingereza ni 4 tu kati ya 17
Tukisema wanaomchukia Lampard ni kwa sababu ya chuki binafsi dhidi ya waingereza hamtuelewi, takwimu zinajieleza zenyewe
 
Rudiger Chelsea Exit
Chelsea receive loan offer from PSG for Antonio Rudiger... but are considering selling the out-of-favour defender amid interest from Barcelona FC and AS Roma
  • PSG have submitted a loan offer for Chelsea defender Antonio Rudiger
  • The French champions proposed a loan with option to buy the defender
  • Chelsea are considering trying to sell the German international permanently
View attachment 1581124
Chelsea watafanya kosa kubwa Sana Kama watamuuza rudiger
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom