Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

1st goal. Mount
1601150258145.gif
 
Eti chelsea walikuwa wanatoka uwanjan wakawa wannaangalia nyuma walijua na wao wataitwa wapige Penalty kama Man u

 
Kwa niaba ya mashabiki wenzangu wote wa West Brom, tunasema sisi tumeridhika kugawana point na ze Blauzi.

Sisi point 1 inatutosha kabisa! Kwa sababu tunagombania kutoshuka daraja.

Sijui nyingi wenzangu ze Blauzi!
 
Kesho Man City watacheza na Leicester, kuna uwezekano tukapata jibu kama ligi itaendelea kuwa ya Man City vs Liverpool msimu huu.

Chelsea na Man Utd bado sijaona kama ni contenders kwa vikosi vyao na makocha walionao.
Bosi Chelsea itoe kabisa kwa mwaka huu labda mwakani maana Lampard hajielewi kabisa kama muda wowote anatemwa kibarua asipoijenga Chelsea vizuri kiushindani
 
Leo nimefurahi kwa jinsi Odoi alivyogeuka kuwa mkombozi. Mechi ya leo imempa confidence kubwa na mechi zijazo atakuwa onfire
 
Kama unamuelewa Lampard ebu niambieni ni formation ipi iliyotumika katika mechi na West Brom
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom