SteveMollel
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 8,803
- 25,444
Kwa Liverpool mkasema ni red card ilisababisha. Haya na hapa vipi?



Kuna vikos vya kwenye on paper na ground ni tofauti kabisaMuda n mwl mzuri nimeamin wakati mnasajiri watu tulikosa usingizi hii ndio inaitwa msuli TEMBO tokeo SISIMIZI

mm nilikuwa siamini , niliamini kwa emery, Una Auba ,laca,pepe, Ceballos, Xhaka, toreira , Leno, Bellerin ,KT, luiz ,Nimescreenshot hii comment. Kuna watu hua wanabisha kua humu hua hamumkatai LampardSIKU LAMPARD AKIFUKUZWA UKOCHA CHELSEA NITARUDI TENA HAPA KUWAJOIN WADAU KWA KUCHANGIA/KUJADILI MADA NA COMMENTS N.K.
KILALAHERI THE BLUES MSIMU 2020/2021.
🤣🤣🤣Vichwa fc leo nalala hapa, lazima mtuambie tabia ya kugongwa na watoto wadogo mmeanza lini???
Mkuuu lembu hapo tatzo hyo alonso plzzz shida ipo kwa kocha kwan wachezaji wanashida gan??? Ben shida nn? Alisema kwenye press pulisc na zych wako fin azplicueta unamuweka bench kwen KWA HERUFI KUBWA KOCHA PALE HAKUN THEN HAJUI HATA KUPANGA KIKOS MIE CJAWAH ONA KOCHA WA KINGEREZA AKAFANYA VZR ZAID YA FERG BASkuanzia sasa Alonso akipangwa sitapoteza muda wangu kuangalia mpira.
Wengine wanaonekana hawajui kucheza kwa sababu ya kenge mmoja tu
Kwa hiyo sisi tufanyeje? Pita vileNilisema klopp alichosema kuwa Chelsea wanakurupuka kusajili ndio haya endeleeni kuona klopp anamdomo yule ni genius![]()
Sometime morali ni tiba tosha kuliko technicKuna vikos vya kwenye on paper na ground ni tofauti kabisa
mm nilikuwa siamini , niliamini kwa emery, Una Auba ,laca,pepe, Ceballos, Xhaka, toreira , Leno, Bellerin ,KT, luiz ,
Unawaogopa Watford
Hivo sitishiki na usajiri kama huna tactics za kueleweka
Graham potter kamu outsmart Ole guna kuwa pamoja na kina pogba , magwaya wa 80, Bruno. ,kwenye tactic ni mweupe sana