DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,979
- 11,816
Mnaiaibisha London nyie ChelNGONGINGOMilembe bado inawahitaji wengi hasa baadhi ya Nguchiro kutoka Arsenyeto
Mnaiaibisha London nyie ChelNGONGINGOMilembe bado inawahitaji wengi hasa baadhi ya Nguchiro kutoka Arsenyeto
Unaandika hayo huku ukijua fika wewe underdog kwą GunnersMbio ndefu za Epl zinafahamika, ndio kwanza tumeanza mbio hizo bado mechi 37.
Kawaida yao kuanza mbio na nguvu ya soda, mwisho wa mbio wanaishia kwenye mid table position.
Sisi tuendelee kuchochea taratibu moto wetu wa nishati ya uranium baadae ni kuwalipua tuu.
Ngoja kwanza hawa wazamiaji wapungue. Sasa hivi watatuvurugaWazee mbona hatuongelei next mechi vs Liverpool?
Hapo pembeni kulia kwenye uwanjani wenu umefafanana na machinjio ya zamani hapa Arusha, Poleni sanaView attachment 1570562View attachment 1570563Mbingu na ardhi
😂😂😂😂😂😂Hapo pembeni kulia kwenye uwanjani wenu umefafanana na machinjio ya zamani hapa Arusha, Poleni sana
Kwanza taja uko kijiji gani wewe kalabaho tuView attachment 1570628London is Red, tulia wewe kiazi,kuna ground ipo empty haitumiki ipo pale pembeni kama vipi tuwaazime mchezee mechi ule uwanja wenu unatia aibu London,maana sehemu nyingine una vipara,na washabiki wanakaa kwenye mabenchi,
munatuaibisha
Kweli kabisa mkuu hatami nawaona haahaaaKuna watu humu wanatafuta wanaume wa kuwaoa, sisi tunadhani mashabiki kumbe wako kazini, kelele nyingi akishaibua BUZI anatulia
Mtawatambua kwa maandishi yao
Kama VP tunadiscuss afu tunawaignore hawa arse anal na woman unitedNgoja kwanza hawa wazamiaji wapungue. Sasa hivi watatuvuruga
Sent from my TECNO LB6 using JamiiForums mobile app
Hawatoamini ila Chelsea ndiye bingwa msimu huu.Chelsea FC imecheza michezo miwili ya kufungua ligi siku ya jumatatu tofauti na jana,
mara zote hizo mbili wamefanikiwa kunyanyua titles, 2014-2015 na 2016-2017.
Here we go blues.!
Na ilichukua sekunde 98 hizo pasiAfter their goal, Brighton did not touch the ball until after Reece blasted Chelsea back into the lead.
There were 19 passes in total in the lead-up to the goal, starting with Werner kicking off. Jorginho played four of them, including the final one (assist) to James. Response.
Baada ya BHA kufunga goal la kusawazisha na kufanya matokeo kuwa 1-1 hawakugusa mpira kabisa mpaka Reece James alipofumua ile Nuclear Bomb na hapo zilitembezwa pass kama 19.
Sent from my TECNO LB6 using JamiiForums mobile app
Hizi mbarara za cheltako hazijielewiNyie kuna mchezaji wenu nasikia analalamika kuwa alikabwa na watu watatu ...vipi sasa akikutana na wahuni otamendi na fernandinho atasema nini?
shumizi fcWe takataka tarehe 1 ndio Utajua hujui nyau ww
masikini weeeeeeeeeeh ulishasahau kuwa hili jina la cheltako ulijipa mwenyewe na ushahidi upo,ukisema suuuuuuuuuuuuuu naingia maktaba nakuletea sasa hivi,Hivi nyie mashabiki wa Arsenal manjua maana ya Arsenal
Imetokana na maneno mawili
Arse meaning
- Arse
- Anal
Person's Buttocks or Anus, Rectum.
Anal meaning - undisclosed
Au ngoja niseme
Relating to or situated near the anus.
Maana kamili unganisha unapata Matako na hiyo nyingine ni kali zaidi
Ndio maana wako hivyo mimi sikujua
Hata uende kwa mganga wa kienyeji haitabadili maana yamasikini weeeeeeeeeeh ulishasahau kuwa hili jina la cheltako ulijipa mwenyewe na ushahidi upo,ukisema suuuuuuuuuuuuuu naingia maktaba nakuletea sasa hivi,
sema cheltako oyeeeeee,sasa ole wako usiseme sasa hivi nakuletea rundo la ushahidi na hapatakalika hapa,