Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Individual error inabid tuzipunguze tukiendelea kuzifanya hata mendy hawezi kutuokoa

Kai kadri siku zinavyozidi kwenda anaonesha mabadiliko leo.
Leo ndio alikuwa creator wetu tu

Timo inabidi atulie asiwe na haraka

Alonso nahisi hii ndio mechi yako ya mwisho kuanza
RJ bado anasafari ndefu ni mzuri kwenye kushambulia ila defensively ni mbovu


Trust the process
Timo na mwenzie Tammy km wangetulia kipindi cha kwanza wangefunga magoli....kai havertz atazidi kuwaumbua...shukran za dhati Leo ziende kwa mason mount aisee DG naona Leo amehustle sana hata magoli yote 3 kuna michango yake ...Alonso ..Silva bad day in the office .....Alonso naye hajawahi kuwa fullback mzuri Bali ni wingback cjui lamp hajaliona hilo
 
SIKU LAMPARD AKIFUKUZWA UKOCHA CHELSEA NITARUDI TENA HAPA KUWAJOIN WADAU KWA KUCHANGIA/KUJADILI MADA NA COMMENTS N.K.

KILALAHERI THE BLUES MSIMU 2020/2021.
Makosa ya lamps leo yalikuwa yapi???

Kosa nililoliona mimi ni kutokuwepo kwa Chilwel tu ila mengine sisi wenyewe mashabiki smtime huwa tunapenda Rj aanze badala ya Azp

Mida ya jioni ilitumwa kama predicted line up
Ambao waliokosa alikuwa ni zouma na chilwel

Mengine wechazaj ndio wanaofanya makosa
Alonso goal la kwanza kichwa anachopiga anampigia adui

Tupe makosa ya lamps uliyoyaona??
 
Lampard anakuambia msimu ulioisha ajasajiri sasa hivi hakuna namna lazima asajiri.

Anasajiri Kwa sifa anafiriki akisajiri kwa sifa ndio atachukua kombe.

Nachokiona atakuja na kizingizio cha wachezaji hawajaelewana
Tulia ivyo ivyo, timu itàkaa sawa tu. Wote mtapotea humu
#CFC 💙💙💙
 
Timo na mwenzie Tammy km wangetulia kipindi cha kwanza wangefunga magoli....kai havertz atazidi kuwaumbua...shukran za dhati Leo ziende kwa mason mount aisee DG naona Leo amehustle sana hata magoli yote 3 kuna michango yake ...Alonso ..Silva bad day in the office .....Alonso naye hajawahi kuwa fullback mzuri Bali ni wingback cjui lamp hajaliona hilo
Nakubaliana na wewe
Huwa nashangaa watu wanaombeza mount na kusema lamps huwa anampendelea ila dg anajituma sana
I wish CHO angekuwa kama mount jinsi anavyojituma
Naona sahiv haters wamegeukia usajili wameacha kumzungumzia kai tena

Soon wataacha kumuongea Timo.


Alonso anashindwa kujifunza makosa yake anayoyafanya nadhani hii ndio mechi yale ya mwisho kuanza
 
Timo na mwenzie Tammy km wangetulia kipindi cha kwanza wangefunga magoli....kai havertz atazidi kuwaumbua...shukran za dhati Leo ziende kwa mason mount aisee DG naona Leo amehustle sana hata magoli yote 3 kuna michango yake ...Alonso ..Silva bad day in the office .....Alonso naye hajawahi kuwa fullback mzuri Bali ni wingback cjui lamp hajaliona hilo
Ni kweli, Timo fest hafu kagonga besela za kutosha. Tammy na yeye hakutulia kabisa
 
Usijipe moyo wewe, huyo Kai hamna kitu..

Anacheza kama demu bhana! Mmepigwa pale lazima mkubali.
 
IMG_20200926_224847.jpg
IMG_20200926_224850.jpg
IMG_20200926_224852.jpg
 
Timo na mwenzie Tammy km wangetulia kipindi cha kwanza wangefunga magoli....kai havertz atazidi kuwaumbua...shukran za dhati Leo ziende kwa mason mount aisee DG naona Leo amehustle sana hata magoli yote 3 kuna michango yake ...Alonso ..Silva bad day in the office .....Alonso naye hajawahi kuwa fullback mzuri Bali ni wingback cjui lamp hajaliona hilo
Nyie mashabiki wa Chelsea chambuzi zenu sijui huwa mnazitolea wapi.

Tatizo mnapenda kujipa moyo. Ngoja nimwage ukweli wote hapa ambao huenda nyie hamuujui au hamtaki kuusema au hampendi kuusikia.

1. Until now, Kai Harvertz is not convincing! Hashawishi kabisa..

So far nimeona improvement kidogo sana kutoka kwake. Na hiyo inaonekana anapocheza na timu ndogo kama West Brom. Usitegemee kumuona akicheza na timu kama Everton au Wolves akaperform, hapo sijawataja Man City na Liverpool.

Kwanza anacheza kama demu.. Hakai na mpira, hii inaonyesha ni namna gani uwezo wake ulivyokuwa mdogo.
Kwa pesa aliyonunuliwa na nafasi anayocheza ni tofauti kabisa na uwezo wake, ana uwezo mdogo. Yani hawezi hata kupunguza mtu mmoja..
Halafu bado kuna mashabiki maandazi wanamtetea.

Nasema tena, pale kwa Havertz MMEPIGWA!

2. Kuhusu Werner niko tofauti na watu wanaomponda.. Kwa upande nategemea Werner atazoea ligi katika kipindi kifupi kuliko sajili zengine mpya.

3. Huyu Lampard ni chizi sana.. Kulikuwa na haja gani ya kumpa kitambaa cha unahodha T. Silva wakati vice captain Ng'olo Kante yupo?
Mwambieni aache kuiga mambo, ile sio PSG.
Msambaa wa watu hata English hajaijua vizuri halafu game yake ya kwanza umpe unahodha.. Inaingia akilini kweli?

4. Niliwahi kusema Mount ni bora kuliko Kai.. Hilo halibadiliki!

5. Ile sehemu ya kipa mnakazi sana kuitafutia mbadala.


Bado Chelsea ni ile ile pamoja na usajili wote.

Najua wengine itawauma kwa sababu ukweli siku zote unauma!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom