Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Nilisema klopp alichosema kuwa Chelsea wanakurupuka kusajili ndio haya endeleeni kuona klopp anamdomo yule ni genius

Lampard anakuambia msimu ulioisha ajasajiri sasa hivi hakuna namna lazima asajiri.

Anasajiri Kwa sifa anafiriki akisajiri kwa sifa ndio atachukua kombe.

Nachokiona atakuja na kizingizio cha wachezaji hawajaelewana
 
Hili goli la tatu la kusawazisha la Chelsea Kai anaonekana alishika mpira ila imeonekana siyo faulo.

Lakini hakuonyesha juhudi za kuukwepa mpira.

Southern Highland Tammy anaprove kua useful kuliko Werner as I pointed out earlier.

Na bado nilikua sahihi nilivyosema ushindi wa 6 hauna maana yoyote kwakua timu mliyokutana nayo haina hadhi.

Either way Kai ni Kante mwenye skills, yuko vizuri. Alonso hamna kitu. James anapiga mitungi hatari, Thiago ni liability, Caballero ni Kepa now tuangalie yajayo.
 
Takataka kama takatak@
1600596845006.jpg
 
Mkuuu lembu hapo tatzo hyo alonso plzzz shida ipo kwa kocha kwan wachezaji wanashida gan??? Ben shida nn? Alisema kwenye press pulisc na zych wako fin azplicueta unamuweka bench kwen KWA HERUFI KUBWA KOCHA PALE HAKUN THEN HAJUI HATA KUPANGA KIKOS MIE CJAWAH ONA KOCHA WA KINGEREZA AKAFANYA VZR ZAID YA FERG BAS
Noo puli na ziyech hajasema wako fine
Alisema anaexpect warudi next week or wiki 2 zijazo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom