Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 16,025
- 27,365
Hiyo picha ni sawa na Arsenal kujaribu kuingia top four
Hiyo picha ni sawa na Arsenal kujaribu kuingia top four
Mkuu umepanick mnoo [emoji23][emoji23][emoji23]Sasa mmevuna nini msimu huu wewe kenge?
LukakuWelcome
Karibu karibu sana timo werner
Hapa ndio zizini au kiufupi darajani
Ukikaa vibaya hapa unaweza kupotea kama maji yaliyo mwagwa juu ya ardhi kaka[emoji23]
Ngoja nikukumbushe kuhusu streka zote zilizo pita hapa kabula yako
Naam kuna msimu nahisi kama 2005/6 pale Ac milan palikua na kijana mmoja anaitwa andry shevchenko
Alikiwasha balaa hadi balloon doo akabeba
Ndipo José mourinho akamua kuingia mfukoni kumleta darajani
Kumbe bwana matarajio yake haya kua kama alivyo taka kilicho tokea akaja kua Moja kati ya wachezaji Wabovu Ipielo
Tuache. Hilo msimu wa 2010/11 pale Liverpool palikua na kijana mmoja anaitwa Fernando Torres
Alikua ni moto fire Chelsea wakaingia mfukoni kutoa dau LA pound million 50 kumsajili kwa kipindi kile nipesa ndefu
Akatua darajani kwa mbwembwe kilicho fuatia akawa sio toress yule tuliye mzoea
Ghafula akageuka
Walaji Mishahara Ya Bure Pale darajani
Kumbukumbu pekee iliyo baki kwake ni goli lake LA uefa vs Barcelona[emoji23]
Tuache hilo wakaingia tena kwa kijama Fulani kutoka Africa samweli etoo
Huyu naye akaishia kuzozana na mourinho kuhusu umri wake halisi
Ukiacha hatrick vs man united
Hakuna cha maana alichoweza kufanya[emoji23]
Tumuache huyo tuje kwa Alvaro morata au mrata
Huyu ni kituko zaidi[emoji23]
Kwani yeye alikua kama streka aliye katwa miguu kwani asipo funga kichwa ndio basi
Yani utofauti wake na mbwana samatta ni rangi[emoji23]
Tuache hilo wakaja kuingia choo cha kike kwa loc Remy au Remy ongala
Tumuache huyo kuna jamaa wakuitwa Gonzalo higuan
Huyu naye wakajipiga za mbafu[emoji23]
Wakaona kutuliza mioyo ya mashabiki subiri twende arsenal tukajiokotee gari la mkaa giroud[emoji23]
Kubwa kuliko
Kuna huyu MTU bado yupo hapo darajani tambi abulahamu
Wao wanamuita dlogba aliyekonda
Huyu goli zake nyingi ni zamabeki kujigonga
Kwani hana goli LA nje ya box tangu anze soccer[emoji23]
Bila kumsahau batshuayi bora hata Abraham huyu ndio uozo mtupu
Lukazigo. Na homa ya vipindi demba Ba
Nakwenda zangu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji125][emoji125][emoji125]View attachment 1547191
Kusanya mataji yako yote mpaka ya daraja la pili kule kisha njoo tupige hesabu, sio unadeveradevera hapa
Hahaa mkuu Hilo swali gumu kwao kujibuUna Uefa?
Nafasi anayocheza Willian inawachezaji wengine kama 800. Thiago ni beki na pia ni kiongozi ndani ya timu sisi shida yetu ipo nyuma ndio maana tumepewa offer na wakala wake ya kumsajili na siyo tumepeleka offer kuomba kumsajili.Hatutaki wazee.
Kisha anakuja Thiago Silva.
[emoji23][emoji23][emoji23] wewe kichwa kinakuwasha hapo
Malang Sarr ni CB nasiyo Full BackNameona taarifa pia Chelsea wanakaribia kumsajili malang sarr wa nice ya Ufaransa.Bora huyu aje kuliko ben chillwel,huyu jamaa defensive yupo vizuri kuliko ben chillwel na Alonso.
lembu
Cash Money Forever
mart66
Its that time again where Arsenal becomes the leader of the table
Latest EPL standings[emoji460]
Team P W D L GD Pts
1 Arsenal 0 0 0 0 0 0
2 Aston Villa 0 0 0 0 0 0
3 Brighton 0 0 0 0 0 0
4 Burnley 0 0 0 0 0 0
5 Chelsea 0 0 0 0 0 0
6 C Palace 0 0 0 0 0 0
7 Everton 0 0 0 0 0 0
8 Fulham 0 0 0 0 0 0
9 Leeds 0 0 0 0 0 0
10 Leicester 0 0 0 0 0 0
11 Liverpool 0 0 0 0 0 0
12 Man City 0 0 0 0 0 0
13 Man Utd 0 0 0 0 0 0
14 Newcastle 0 0 0 0 0 0
15 Sheff Utd 0 0 0 0 0 0
16 Southampton 0 0 0 0 0 0
17 Tottenham 0 0 0 0 0 0
18 West Brom 0 0 0 0 0 0
19 West Ham 0 0 0 0 0 0
20 Wolves 0 0 0 0 0
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Siyo yeye Sarr anayetolewa kwa mkopo. Ni Tomori ndio atatolewa kwa mkopoUyo ni free agent kwa taarifa Chelsea wanamtaka then watamtoa kwa mkopo
[emoji23][emoji23][emoji23] daahUzee wa luiz sio sawa na thiago we ulisikia wapi tiago ni mtu wa maboko?? [emoji23] [emoji23] Luiz msiposhinda anatumbukiza kwenu
Tomori ndio atatolewa kwa mkopo na sio SarrHuyo dogo anacheza beki wa kati na si pembeni, pia watamtoa kwa mkopo endapo atajiunga na Chelsea.
Hahaa mkuu Hilo swali gumu kwao kujibu
Nimemfatilia dogo yuko vizuri sana anaonyesha ni promising player hata kwa miaka ijayo. Kulingana na matatizo yetu kwenye backline itakua ni ujinga kumtoa naye kwa mkopo. So anasubiliwa afike ili ajaze nafasi ya TomoriMkuu pia huyo dogo atatolewa kwa mkopo, jaribu kufuatilia.
Dawa ya kumaliza haya matusi ni kuwafanyizia mtu mabya ligi ikianza mfunge domo kaya panaMtoto wa kiume ukiwa unashabikia Chelmatako unatupa wasiwasi,
Chelmatako
Chelmatako
Chelmatako
Chelmatako
Chelwowowo
Chelwowowo
'... ina wachezaji wengine 800..' bodi ya ligi imewaruhusu kuwa na kikosi cha watu wote hao?Nafasi anayocheza Willian inawachezaji wengine kama 800. Thiago ni beki na pia ni kiongozi ndani ya timu sisi shida yetu ipo nyuma ndio maana tumepewa offer na wakala wake ya kumsajili na siyo tumepeleka offer kuomba kumsajili.
Halafu pia hatujawahi sema hatutaki wazee kama ingekua ivyo Willian asingepewa offer ya mkataba wa miaka miwili. Tulichosema na ninachosema Willian huwa ni mvivu hasa kama kuna mchezaji mwingine mkubwa zaidi yake. Tumekaa naye muda mrefu huwa anakawaida ikifika muda wa kuongeza mkqtaba ndio anajikuta kujiwajibisha ili apate anachotaka.
Wewe unahisi tunaezaruhusiwa? Nimesema 800 nikimaanisha wengi sana'... ina wachezaji wengine 800..' bodi ya ligi imewaruhusu kuwa na kikosi cha watu wote hao?
Mimi ninavyojua haiwezekani. Ndiyo nakusikia wewe hapa ndiyo maana nimekuuliza.Wewe unahisi tunaezaruhusiwa? Nimesema 800 nikimaanisha wengi sana
Thiago ni mzuri. Ana skills za kushambulia anaanzisha mashambulizi, siyo mtu wa physical sana, stamina low pia ni injury prone.