Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

The big boss
images%20(1).jpeg
 
Nilichofurahi ni kwamba hakununuliwa kwa mil 80 kama walivyotaka LCFC
kibaya ni kwamba LCFC watamnunua replacement bora kwa bei chee
 
Chelsea deal done Summer Window 2020
  1. Hakim Ziyech - RW/CAM
  2. Timo Werner - Striker/LW
  3. Kai Havertz - CAM/LW
  4. Ben Chilwell - LB
  5. Thiago Silva - CB
  6. Mallaga Sarr - CB
  7. Xavier Mbuyamba - CB
Sita tayari bado moja
Kai Havertz ndani ya siku moja au mbili
 
Huyo takataka Chilwell bado ni majeruhi hivyo michezo ya mwanzo ataikosa kama Pulisic.
Japo ni kweli Chilwell ni mchezaji wa kawaida sana ila ni vyema tuwe na subira kuliko kuanza hukumu mapema, hatuwezi jua pengine akabadilika na kuwa LB mzuri Europe!!!

Ndio keshakua mchezaji wetu tupunguze kejeli
 
Sita tayari bado moja
Kai Havertz ndani ya siku moja au mbili
Kai,silva na sarr hao wote deal zishakamalika ila bado hazijawa confirmed so ukisema sita tayari naona sio sawa
Mchezaj anakuwa halali tu pale team mbili zinapoconfirm deal lake
 
hii timu haina tofauti na utopolo,mpaka sasa washasajili wachezaji kumi na bado kuna kibabu nasikia kinatoka farmers league kinakuja kufata pesa zake za kustaafu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom