Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mimi ninavyojua haiwezekani. Ndiyo nakusikia wewe hapa ndiyo maana nimekuuliza.

Na kuhusu uvivu wa Willian hapo na Giroud inabidi mumteme kama kweli maana tangu Timo aje amekua anajituma isivyo kawaida.

Pia unasema hamjawahi sema hamtaki wazee kwahiyo wenzako wakiwa wanasema hapa hamtaki wazee hua unakua wapi?
Giroud ana stats nzuri toka akiwa Arsenal. Sasa ivi wengi wanamuona amewasha moto ni kwa sababu amepewa playing time ya kutosha.
 
Nasikia dogo baada ya mkataba wake kuisha katika klabu ya Nice aligoma kuongeza mkataba baada ya kusikia Chelsea wanamtaka. Binafsi bado sijamfutialia kuona ubora wake
Huyo jamaa yupo vizuri especially kwenye ukabaji.
 
Its that time again where Arsenal becomes the leader of the table

Latest EPL standings[emoji460]

Team P W D L GD Pts

1 Arsenal 0 0 0 0 0 0
2 Aston Villa 0 0 0 0 0 0
3 Brighton 0 0 0 0 0 0
4 Burnley 0 0 0 0 0 0
5 Chelsea 0 0 0 0 0 0
6 C Palace 0 0 0 0 0 0
7 Everton 0 0 0 0 0 0
8 Fulham 0 0 0 0 0 0
9 Leeds 0 0 0 0 0 0
10 Leicester 0 0 0 0 0 0
11 Liverpool 0 0 0 0 0 0
12 Man City 0 0 0 0 0 0
13 Man Utd 0 0 0 0 0 0
14 Newcastle 0 0 0 0 0 0
15 Sheff Utd 0 0 0 0 0 0
16 Southampton 0 0 0 0 0 0
17 Tottenham 0 0 0 0 0 0
18 West Brom 0 0 0 0 0 0
19 West Ham 0 0 0 0 0 0
20 Wolves 0 0 0 0 0

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kumbe ndo vicheko vya Aaron asernal
Anaongoza ligi tyr[emoji28][emoji28][emoji28]
 
Hahaha[emoji23] walitupigia makelele kabla msimu uliosha haujaanza kwamba tutashuka daraja kwa kuwa hatujasali na hazard ameondoka. Tumemaliza top 4

Hawaoni aibu kutupigia kelele wakati huu ambao tunasajili mauaji, tunaenda kumaliza ndani ya TOP 2.

Harvetz
Werner
Pulisic
Kante
Ziyech
Kovacic
Chilwell
Thiago
Rudger
Azipu

Sub;-

Mount
Giroud
Alonso
James
Joginho
Zouma
Christensen

Uwanja wa mazoezi tunawaacha:-

Odoi
RLC
Tammy
Barkely
Yaani hata timu B ya Chelsea Arsenal hawawezi kuifunga, Aibu yao
 
Chelsea Player of the Season 2019/20:
Mateo Kovacic announced as winner
1598387531808.png
 
Lionel Messi to Chelsea

Breaking News: Messi hands in transfer request

Rio Ferdinand has confirmed on social media that Chelsea head coach Frank Lampard is eyeing an audacious move for Lionel Messi.

The La Liga side have announced that the Argentine has requested to leave the Nou Camp this summer.

And Ferdinand posted on Twitter on Tuesday evening that he believes former teammate Lampard is plotting a sensational move for the Barcelona legend



1598387779435.png
 
Thiago Silva is due to undergo a Chelsea medical on Thursday - despite last-ditch efforts by Paris Saint-Germain to offer him a new deal.
1598388070470.png
 
Chelsea deal done Summer Window 2020
  1. Hakim Ziyech - RW/CAM
  2. Timo Werner - Striker/LW
  3. Kai Havertz - CAM/LW
  4. Ben Chilwell - LB
  5. Thiago Silva - CB
  6. Mallaga Sarr - CB
  7. Xavier Mbuyamba - CB
 
Mateo ndiye mchezaji wa msimu ChelseaView attachment 1548313
Chelsea Player of the Season for 19/20 is Mateo Kovacic. CFC[emoji838][emoji838][emoji838]

Matteo Kovacic wins our POTY!

Passing Accuracy: 90.2% [2nd]
Passes into the final 3rd: 178 [2nd]
Dribble: 77% [1st]
Tackle %: 69% [2nd]
Chances Created: 29 [4th]
Progressive Passes: 172 {4th}
Passes under Pressure: 337 [3rd]
Tackles + Interceptions: 100 [4th]

What a player [emoji1319]
 
New Back FOUR for the season 20 -21

(2)César Azpilicueta - Antonio Rüdiger - Thiago Emiliano da Silva - (3) Ben Chilwell

Hakim Ziyech Kai Havertz Werner


So far so good, tunasonga mbele. .. bado masaa machache Kai Havertz mido la uhakika kutua darajani - ni balaa tupu
 
Vile vile kibindoni kuna Hakim Ziyech and Timo Werner - ni moto
 
Kovacic anakuwa mzuri zaidi kushoto na Havertz kulia
Proposal nzuri ni hii hapa
Kovacic - Kante - Havertz

Kwani Havertz mumeshampa Mkataba? Au inaruhisika kumpanga mchezaji kikosini na kucheza bila ya kuuziwa?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom