OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,961
- 25,313
Hapa jamii forum umeshasajili wachezaji wangapi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Toka muanzishe timu 2005 ?
Hapa jamii forum umeshasajili wachezaji wangapi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Toka muanzishe timu 2005 ?
Alikimbiaje sasa wakati aliumia..Azpiculeta ,pale Wembley alikimbia mech baada ya Kukimbizwa Mara 2 na Auba
Sasa huyu babu Silva miaka 38 , tutamkataa humu nakwambia
Hakuumia yule alikimbia lawamaAlikimbiaje sasa wakati aliumia..
Tukae humuHapa jamii forum umeshasajili wachezaji wangapi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hatutaki kelele hapa lampard sio kocha na bla blaa nyingineKabla ligi kuanza mara nyingi arsenal huwaga ni bingwa..
Mmebaki kujifariji tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Haaahaaaa Anaweza kukuambia salibaNani anaweza kumuweka benchi T.Silva apo Arse8?
Huyo ni zao letu la academy,Mmebaki kujifariji tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1547658
Kikos bora Ligue 1 huyo babu Silva hayupo
Kama waliweza kuzima cheche za winga wenye kasi wa Bayern na lewandowski mpk wakashindwa kugusa mpira walau kupiga shuti kwenye penalty box ya psg Mara kibao kipindi cha kwanza kabla ya zile header alizosave kaylar navas na wakaishia kufunga goli 1 tu ....?yaan kina kipepe ndo wasumbue.....?Unafurahia kizee cha miaka 36?
Ngoja akutane na wahuni wa EPL wenye kasi , hivi anaweza kumkaba Auba au pepe kweli huyo babu?
Wewe kweli shimba ,ni msukuma wa wapi wwKama waliweza kuzima cheche za winga wenye kasi wa Bayern na lewandowski mpk wakashindwa kugusa mpira walau kupiga shuti kwenye penalty box ya psg Mara kibao kipindi cha kwanza kabla ya zile header alizosave kaylar navas na wakaishia kufunga goli 1 tu ....?yaan kina kipepe ndo wasumbue.....?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa mkuu world class defender huyu...haki walai ubingwa wenuKikos bora Ligue 1 huyo babu Silva hayupo
Una lingine?
Unamuona Gabriel hapo ,yupo north London muda huuView attachment 1547664
Hawaezi kuingia wote..unataka kusema hao ndo bora zaidi..kila mtu na maoni yake hata mimi naweza kutoa cha kwangu bora...Kikos bora Ligue 1 huyo babu Silva hayupo
Una lingine?
Unamuona Gabriel hapo ,yupo north London muda huuView attachment 1547664
Yani Kati ya mashabiki wenye kelle humu ni uyo aron ana bwebwe nyingi sana makelele kibao kabla ya league kuanz ukimsikia utwez kukumbia, yey t ndo shabiki pekee anae chukua epl wakati wa usajil league ikisha ankuambia Emery alikua msaliti [emoji1787][emoji1787]Kabla ligi kuanza mara nyingi arsenal huwaga ni bingwa..
Tuishi huku 28 August ..kumbukizi muhimu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23]next weekKule wanasajili magarasa hata stats hawaleti kutwa utasikia next week next week nyingi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji10] mkuu mbona unafoka?Wewe kweli kiazi , Kai ni world class tayari au ni potential ?
Ngoja aje aflop hapa , umesahau ulipotoa hela kwa Pazia Kepa , na yeye mlisema ni world class ,
Hata bakayoko ,alikuwa world class
Watu wanafanya smart business sio kukurupuka
View attachment 1547117
Its that time again where Arsenal becomes the leader of the table