Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Nameona taarifa pia Chelsea wanakaribia kumsajili malang sarr wa nice ya Ufaransa.Bora huyu aje kuliko ben chillwel,huyu jamaa defensive yupo vizuri kuliko ben chillwel na Alonso.
lembu
Cash Money Forever
mart66
Umetumia vigezo vipi kutoa hiyo rating comparison na Ben Chilwell
Ukiwalinganisha kwa kutumia data za fifa 20 BenChilwell amempita karibu vigezo vyote vya kuposess, kudefend na kushambulia ambazo ndizo sifa za any LB
Benchilwel yuko above 80% workrate kwenye tackle na marking wakati Malang Sarr yuko nearly 70% work rate kwenye maeneo hayo, hapo bado hana uzoefu na EPL
Benchilwell anazidiwa na watu kama akina Alex Telles tu
Hata Alonso anamshinda Chilwell kwenye possesion na ushambuliaji isipokuwa kwenye ukabaji Chilwel ni bora zaidi ya Alonso
Kama ni huyo Malang Sarr naona bore tumsajili Chilwell kwa maoni yangu
 
Ngoma sio yako .......
Welcome

Karibu karibu sana timo werner

Hapa ndio zizini au kiufupi darajani

Ukikaa vibaya hapa unaweza kupotea kama maji yaliyo mwagwa juu ya ardhi kaka[emoji23]

Ngoja nikukumbushe kuhusu streka zote zilizo pita hapa kabula yako

Naam kuna msimu nahisi kama 2005/6 pale Ac milan palikua na kijana mmoja anaitwa andry shevchenko

Alikiwasha balaa hadi balloon doo akabeba

Ndipo José mourinho akamua kuingia mfukoni kumleta darajani

Kumbe bwana matarajio yake haya kua kama alivyo taka kilicho tokea akaja kua Moja kati ya wachezaji Wabovu Ipielo

Tuache. Hilo msimu wa 2010/11 pale Liverpool palikua na kijana mmoja anaitwa Fernando Torres

Alikua ni moto fire Chelsea wakaingia mfukoni kutoa dau LA pound million 50 kumsajili kwa kipindi kile nipesa ndefu

Akatua darajani kwa mbwembwe kilicho fuatia akawa sio toress yule tuliye mzoea

Ghafula akageuka

Walaji Mishahara Ya Bure Pale darajani

Kumbukumbu pekee iliyo baki kwake ni goli lake LA uefa vs Barcelona[emoji23]

Tuache hilo wakaingia tena kwa kijama Fulani kutoka Africa samweli etoo

Huyu naye akaishia kuzozana na mourinho kuhusu umri wake halisi
Ukiacha hatrick vs man united

Hakuna cha maana alichoweza kufanya[emoji23]

Tumuache huyo tuje kwa Alvaro morata au mrata

Huyu ni kituko zaidi[emoji23]

Kwani yeye alikua kama streka aliye katwa miguu kwani asipo funga kichwa ndio basi

Yani utofauti wake na mbwana samatta ni rangi[emoji23]

Tuache hilo wakaja kuingia choo cha kike kwa loc Remy au Remy ongala

Tumuache huyo kuna jamaa wakuitwa Gonzalo higuan
Huyu naye wakajipiga za mbafu[emoji23]

Wakaona kutuliza mioyo ya mashabiki subiri twende arsenal tukajiokotee gari la mkaa giroud[emoji23]

Kubwa kuliko

Kuna huyu MTU bado yupo hapo darajani tambi abulahamu

Wao wanamuita dlogba aliyekonda

Huyu goli zake nyingi ni zamabeki kujigonga

Kwani hana goli LA nje ya box tangu anze soccer[emoji23]

Bila kumsahau batshuayi bora hata Abraham huyu ndio uozo mtupu

Lukazigo. Na homa ya vipindi demba Ba

Nakwenda zangu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji125][emoji125][emoji125]View attachment 1547191
Umeandika huku ukiwa na hasira
 
Hua unakuepo hapa wenzako wakisema hawataki wazee ndiyo maana inawapelekea Arsenal?
Uzee wa luiz sio sawa na thiago we ulisikia wapi tiago ni mtu wa maboko?? [emoji23] [emoji23] Luiz msiposhinda anatumbukiza kwenu
 
Chelsea wakiwa UEFA wakakutana na Ajax. Wakapigiwa mpira wakazidiwa kila angle kisha zikaanza kutembea red kwa Ajax.

Hahaha na hakuna aliyekuja kusema Ajax ilionewa. Red zilikua za ajabu ajabu. Zilikua red ngapi? 2 au 4?

How time flies. Leo Kovacic kala yellow mbili eti watu wanakwambia yeye ndiyo kakanyagwa, kwani kabla ya kumkanyaga mtu ilikuaje akaenda huku amenyanyua six meno yamelenga mguu wa Xhaka?

We all know huwezi kuzuia mtu kwa kumletea zote (sina lugha nzuri hapa ila aliyecheza mpira anaelewa kwenye rafu 'zote' ni nini) kwakua ukimpata unakula straight red ukimkosa unakula yellow. Kamkosa kala yellow na mwanzo alikua na yellow pia.

Mlitaka iweje?
Chelsea walibebwa sana ile mechi yani
 
Hivi ni vituko vya mashabiki,yaani nyinyi mtabaki kuwa wapiga kelele tu haha,mlijitapa mnafukuza wazee hapa Leo mmekuja na wimbo mpya dah
Uzee wa luiz sio sawa na thiago we ulisikia wapi tiago ni mtu wa maboko?? [emoji23] [emoji23] Luiz msiposhinda anatumbukiza kwenu
 
Uzee wa luiz sio sawa na thiago we ulisikia wapi tiago ni mtu wa maboko?? [emoji23] [emoji23] Luiz msiposhinda anatumbukiza kwenu
Sawa. Kwa Chelsea hiyo kujitumbukiza na maboko ni kazi ya Zouma na Kepa. Kukosa magoli Odoi na Tammy.

Nasikia Kepa kajiuzulu kwa kuona aibu.
 
Na maboko hayo tumemaliza Top Four unasemaje wewe kijana mang'aa?
Kilichowashinda kuingia top 3 ni nini? Siyo mechi mlizopoteza kizembe?

Ikatokea kwenye mpira Wa kwanza ana 100, wa pili ana 80 wa tatu ana 60 wa nne 58, wa tano 57, wa sita 55, wa saba 52 n.k. huyu wa tatu na wa nne ni vinega tu ambavyo havina maisha marefu.

Unaiwaziea UCL huku Kepa ndiyo kipa wenu? Asipokubaliwa kujiuzulu mjiandae kwa maumivu vishandu nyinyi
 
Fikayo Tomori’s brilliant strike away at Wolverhampton Wanderers has been voted by fans as the 2019/20 Chelsea Goal of the Season

1598350093732.png
 
Chelsea hawajali hata kama Ben Chilwell kaumia, deal limekamilika na Ben Chilwell ni LB wa Chelsea, tangazo tutegemee muda wowote wiki hii.
1598351234835.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom