Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

RUDGER + CHRISTENSEN + ZOUMA + TOMORI = THIAGO SILVA
Cash Money Forever Exactly, Kama tukimsajili Thiago Silva itakuwa usajili mzuri sana.Defense yetu sio kwamba Ni mbaya kama watu wanavyofikiri shida Ni kukosekana kwa defender mwenye sifa ya leadership ndio maana wakina zouma sometime wachezaji nje ya position na kufanya mistake unnecessary, muangalie Zouma alivyokuwa anacheza na Terry alikuwa bonge la defender kwa sababu alikuwa anaongozwa hata rudiger alivyokuwa anacheza na David Luiz alikuwa Bora kwasababu ya kuongozwa na hata anavyocheza na boateng Team ya Taifa.Ujio wa Thiago Silva utaisaidia Sana defense yetu
 
Hivi kwanini tusimchukue Alfonso Davies au Coman ..wale wanapatikana kwa bei chee sana.
 
Beki gani inaweza kumuweka nje Thiago Silva apo Arse8
Acha bangi basi, [emoji1787][emoji1787]
Kushabikia hiki kikundi cha panya road kusikutoe akili,

Babu Thiago anapataje namba kwa Gabriel na Saliba?

Kazi na umri, jua lishazama pale anakuja kula pension yake hapo cheltyako
 
Cheltako haija/haito wahi kuwa timu kubwa,
Ni takataka tu kama takataka zingine,
Bora ya QPR

[emoji837][emoji837][emoji837][emoji837][emoji837][emoji837][emoji837][emoji837][emoji837][emoji837][emoji837][emoji837][emoji837][emoji837][emoji837][emoji837][emoji837]
Muwage na heshima nyinyi vitoto. Kama timu yako haipo hapa wewe ni mtoto tu....

Hamna jipya.
EgBEzOGWsAIXhGv.jpg
 
Kitambo kidogo kuna jamaa nilifahamiana naye alikuwa na demu mzuri ila alikuwa hamjali. Siku moja nikajikuta tu nimekaa na yule dada nikaongea naye kwa dakika kama kumi hivi kawaida tu na ku flirt kidogo demu akawa amefurahi sana. Vicheko meno yote nje na pozi za kunipiga vikofi vya kimahaba kwenye bega na kifuani. Nilikuwa na haraka kwa hiyo nilimaliza maongezi nae nikaendelea na shughuli zangu. Tulivyomaliza maongezi yule dada akaenda moja kwa moja kwa bwana wake na kumwambia rasmi kuwa anamuacha na baada ya kumuacha akaja kwangu. Basi tangu siku hiyo yule jamaa na marafiki zake walikuwa wakiwa na mimi watamsema vibaya sana yule demu, mpaka story za mabaya aliyofanya kipindi cha nyuma. Mimi sikuwa mtu wa kuhukumu mtu kwa mambo yaliyopita so nikwapotezea tu na nikaenjoy life.

Sasa wao wameshindwa kumjali Willian kwa mkataba mzuri, amekuja kwetu, na wao wanashinda kumsema vibaya. Mara wamuite mstaafu, mara waseme hajui mpira...Sisi hatujali.

COYG
 
Kitambo kidogo kuna jamaa nilifahamiana naye alikuwa na demu mzuri ila alikuwa hamjali. Siku moja nikajikuta tu nimekaa na yule dada nikaongea naye kwa dakika kama kumi hivi kawaida tu na ku flirt kidogo demu akawa amefurahi sana. Vicheko meno yote nje na pozi za kunipiga vikofi vya kimahaba kwenye bega na kifuani. Nilikuwa na haraka kwa hiyo nilimaliza maongezi nae nikaendelea na shughuli zangu. Tulivyomaliza maongezi yule dada akaenda moja kwa moja kwa bwana wake na kumwambia rasmi kuwa anamuacha na baada ya kumuacha akaja kwangu. Basi tangu siku hiyo yule jamaa na marafiki zake walikuwa wakiwa na mimi watamsema vibaya sana yule demu, mpaka story za mabaya aliyofanya kipindi cha nyuma. Mimi sikuwa mtu wa kuhukumu mtu kwa mambo yaliyopita so nikwapotezea tu na nikaenjoy life.

Sasa wao wameshindwa kumjali Willian kwa mkataba mzuri, amekuja kwetu, na wao wanashinda kumsema vibaya. Mara wamuite mstaafu, mara waseme hajui mpira...Sisi hatujali.

COYG
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mkuu wewe ni mwanafasihi?
Safi sana hawa ukiwaelezea hivihivi hawaelewi mpaka uwawekee mifano kama hii.
 
Kitambo kidogo kuna jamaa nilifahamiana naye alikuwa na demu mzuri ila alikuwa hamjali. Siku moja nikajikuta tu nimekaa na yule dada nikaongea naye kwa dakika kama kumi hivi kawaida tu na ku flirt kidogo demu akawa amefurahi sana. Vicheko meno yote nje na pozi za kunipiga vikofi vya kimahaba kwenye bega na kifuani. Nilikuwa na haraka kwa hiyo nilimaliza maongezi nae nikaendelea na shughuli zangu. Tulivyomaliza maongezi yule dada akaenda moja kwa moja kwa bwana wake na kumwambia rasmi kuwa anamuacha na baada ya kumuacha akaja kwangu. Basi tangu siku hiyo yule jamaa na marafiki zake walikuwa wakiwa na mimi watamsema vibaya sana yule demu, mpaka story za mabaya aliyofanya kipindi cha nyuma. Mimi sikuwa mtu wa kuhukumu mtu kwa mambo yaliyopita so nikwapotezea tu na nikaenjoy life.

Sasa wao wameshindwa kumjali Willian kwa mkataba mzuri, amekuja kwetu, na wao wanashinda kumsema vibaya. Mara wamuite mstaafu, mara waseme hajui mpira...Sisi hatujali.

COYG
Kwahyo unajisifia kwa kumjali mpnz wa mwenzako au unajisifu hukuwa na demu na umepata mteremko ambao ulikosa matunzo kutokana na kukosa dhamani kwa mpnz wake?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mkuu wewe ni mwanafasihi?
Safi sana hawa ukiwaelezea hivihivi hawaelewi mpaka uwawekee mifano kama hii.

Hahaha hapana boss, mimi mtu simple tu. Ila nimewaona hawa ni simple zaidi , hivyo nikaona niwape mfano hai mwepesi
 
Kwahyo unajisifia kwa kumjali mpnz wa mwenzako au unajisifu hukuwa na demu na umepata mteremko ambao ulikosa matunzo kutokana na kukosa dhamani kwa mpnz wake?

Sijajisifia hata kidogo boss. Ujumbe huu haunihusu mimi kabisa, ujumbe unahusu mwana aliyeshindwa kutunza kwa hiyo akaachwa. Isingekuwa mimi nimeongea nae ikawa aliongea na wewe vile vile, angemuacha vile vile na kuja kwako wewe.
 
Kitambo kidogo kuna jamaa nilifahamiana naye alikuwa na demu mzuri ila alikuwa hamjali. Siku moja nikajikuta tu nimekaa na yule dada nikaongea naye kwa dakika kama kumi hivi kawaida tu na ku flirt kidogo demu akawa amefurahi sana. Vicheko meno yote nje na pozi za kunipiga vikofi vya kimahaba kwenye bega na kifuani. Nilikuwa na haraka kwa hiyo nilimaliza maongezi nae nikaendelea na shughuli zangu. Tulivyomaliza maongezi yule dada akaenda moja kwa moja kwa bwana wake na kumwambia rasmi kuwa anamuacha na baada ya kumuacha akaja kwangu. Basi tangu siku hiyo yule jamaa na marafiki zake walikuwa wakiwa na mimi watamsema vibaya sana yule demu, mpaka story za mabaya aliyofanya kipindi cha nyuma. Mimi sikuwa mtu wa kuhukumu mtu kwa mambo yaliyopita so nikwapotezea tu na nikaenjoy life.

Sasa wao wameshindwa kumjali Willian kwa mkataba mzuri, amekuja kwetu, na wao wanashinda kumsema vibaya. Mara wamuite mstaafu, mara waseme hajui mpira...Sisi hatujali.

COYG
Yale yale ya petr cech badae msije aanza kulaumu
Muda utaongea
 
Kitambo kidogo kuna jamaa nilifahamiana naye alikuwa na demu mzuri ila alikuwa hamjali. Siku moja nikajikuta tu nimekaa na yule dada nikaongea naye kwa dakika kama kumi hivi kawaida tu na ku flirt kidogo demu akawa amefurahi sana. Vicheko meno yote nje na pozi za kunipiga vikofi vya kimahaba kwenye bega na kifuani. Nilikuwa na haraka kwa hiyo nilimaliza maongezi nae nikaendelea na shughuli zangu. Tulivyomaliza maongezi yule dada akaenda moja kwa moja kwa bwana wake na kumwambia rasmi kuwa anamuacha na baada ya kumuacha akaja kwangu. Basi tangu siku hiyo yule jamaa na marafiki zake walikuwa wakiwa na mimi watamsema vibaya sana yule demu, mpaka story za mabaya aliyofanya kipindi cha nyuma. Mimi sikuwa mtu wa kuhukumu mtu kwa mambo yaliyopita so nikwapotezea tu na nikaenjoy life.

Sasa wao wameshindwa kumjali Willian kwa mkataba mzuri, amekuja kwetu, na wao wanashinda kumsema vibaya. Mara wamuite mstaafu, mara waseme hajui mpira...Sisi hatujali.

COYG
Naomba uje kurudia hii story baada ya Octoba 2020
 
BREAKING NEWS: Chelsea FINALLY agree £90m Kai Havertz deal with Bayer Leverkusen to bring the midfielder to London this week as they prepare final paperwork for their new record signing
  • Chelsea have finally agreed a fee with Bayer Leverkusen for Kai Havertz
  • The German is on the verge of joining Chelsea in a deal worth £90m
  • Havertz is set to fly to London this week to conclude the finer details
  • He is expected to put pen to paper on a five-year contract at Stamford Bridge
1598271554209.png
 
BREAKING NEWS: Chelsea FINALLY agree £90m Kai Havertz deal with Bayer Leverkusen to bring the midfielder to London this week as they prepare final paperwork for their new record signing
  • Chelsea have finally agreed a fee with Bayer Leverkusen for Kai Havertz
  • The German is on the verge of joining Chelsea in a deal worth £90m
  • Havertz is set to fly to London this week to conclude the finer details
  • He is expected to put pen to paper on a five-year contract at Stamford Bridge
View attachment 1546762
lembu Habari nzuri Sana swali je Kai Ni mzuri Sana wakuteneza nafasi nyingi za goals? Binafsi sijawahi kumuona akicheza so naomba unijibie swali langu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom