AKASINOZO
JF-Expert Member
- Aug 22, 2016
- 1,367
- 2,219
Beki mstafi na sokratis kwann hata lingard asifunge sembuse foward kama hazad na giroud[emoji38][emoji38] Aisee Cech na Emery walikuwa ma agents wa Chelsea wametumwa kutuangamiza. Kipa dakika chache tu kwetu amekuja kufungwa magoli mengi zaidi kuliko career yake nzima. Chelsea wanatangaza kabisa kuwa Cech atarudi kuwa kiongozi Chelsea baada ya Europa Final alafu Emery anamweka golini [emoji38][emoji38]. Huyiu Willian hata akiwa spy angalau ni outfield player hawezi kutufungisha sana tusimshtukie. [emoji38]